Rais Samia wananchi wanalia sikia kilio, nchi inaenda arijojo!

Rais Samia wananchi wanalia sikia kilio, nchi inaenda arijojo!

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Hivi kweli kipande Cha sabuni enzi za Kikwete kilipanda kikafika shilingi Mia, eti juzi kwa utawala wako kimefikia shilingi 300/; nakumbuka mtungi wa Gesi ulikuwa kama sio 25000/; ulikuwa 30000/:leo hii kweli kutoka 45000/; mpaka 60000 serikali Iko kimya?

Kilo moja ya sukari ni 2800/: kabisa aise maisha yamepanda mpaka kiberiti nacho kimeanza uzwa shilingi 200/= hii bidhaa Huwa haipandi bei holela, Sasa hivi hadi pipi kifua imepanda bei

Mh Rais Hali ya maisha kitaa inaupiga mwingi najua wanao faidi ni wenye nacho ila ni vyema ukatafakari.
 
Subiria muda karibuni tutaanza kufungia leseni wanaopandisha bei kiholela,na kwa taarifa yenu tutatoa tangazo rasmi kuhusiana wanaopandisha bei ,ili mtu asije akailaumu selikali.Kwanza unapoteza sifa ya kuwa mfanya biashala,halafu tunakuondolea luhusa ya kufanya biashala kwa maana ya leseni ,ukiludia tunataifisha kila kitu kilichopo dukani tunapeka kwenye vituo vya kulelea watoto yatima.Na kama haitoshi jina lako linahifadhiwa kijiditali ya kwamba upo red list kupata leseni mpaka ulipie. Tulieni tuajipanga ili kazi iendelee.
 
EeeenHeeee, mkuu, tutazoea tu na maisha yataendelea kama kawa

Unachosahau wewe ni kwamba rais unayemlilia alishakueleza, tena waziwazi kabisa kwamba yeye ni rais wa kundi hilo la wafanya biashara.

Mlikuwa naye hapa mmoja aliyejitangaza yeye ni wa walala hoi, mbona hatukusikia kelele?

Acha wenzako na wao wafaidi wakati wao.

Mimi ni mlala hoi, pengine kukuzidi wewe, lakini nilimuelewa barabara rais wetu alipotamka azma ya utawala wake. Tunakula kwa zamu, unajuwa? Wenzetu wakibahatika kuwa naye huyu miaka zaidi ya kumi, watakuwa wameneemeka vya kutosha. Sisi hatujui kama atapatikana wa upande wetu tena baada ya hapo.
 
Mama anasikiliza wahuni- Msoga and co. Mbolea imepanda bei kama yote. Subirini!!
 
Hivi kweli kipande Cha sabuni enzi za Kikwete kilipanda kikafika shilingi Mia, eti juzi kwa utawala wako kimefikia shilingi 300/; nakumbuka mtungi wa Gesi ulikuwa kama sio 25000/; ulikuwa 30000/:leo hii kweli kutoka 45000/; mpaka 60000 serikali Iko kimya?

Kilo moja ya sukari ni 2800/: kabisa aise maisha yamepanda mpaka kiberiti nacho kimeanza uzwa shilingi 200/= hii bidhaa Huwa haipandi bei holela, Sasa hivi hadi pipi kifua imepanda bei

Mh Rais Hali ya maisha kitaa inaupiga mwingi najua wanao faidi ni wenye nacho ila ni vyema ukatafakari.
Tuipatie ccm miaka mingine 10 itawale ili kazi iendeleee!!!!
 
Hivi kweli kipande Cha sabuni enzi za Kikwete kilipanda kikafika shilingi Mia, eti juzi kwa utawala wako kimefikia shilingi 300/; nakumbuka mtungi wa Gesi ulikuwa kama sio 25000/; ulikuwa 30000/:leo hii kweli kutoka 45000/; mpaka 60000 serikali Iko kimya?

Kilo moja ya sukari ni 2800/: kabisa aise maisha yamepanda mpaka kiberiti nacho kimeanza uzwa shilingi 200/= hii bidhaa Huwa haipandi bei holela, Sasa hivi hadi pipi kifua imepanda bei

Mh Rais Hali ya maisha kitaa inaupiga mwingi najua wanao faidi ni wenye nacho ila ni vyema ukatafakari.
Unataka Rais aibebe Tzn aipeleke sayari ya Jupiter au?

Dunia yote imekumbwa na mfumuko wa bei na huko watu wameelewa kwa sababu ni madhara ya covid 19 sasa nyie mnakalia majungu vijiweni.

Dunia haina smooth ran kila siku Mzee ,kuna nyakati ngumu tena mwaka ujao itakuwa balaa zaidi maana kuna ukame.

Mfumuko wa bei unaolialia uko kwenye 4.5-5% ,Nchi nyingine za jirani na huko Ulaya ni zaidi ya hapo.

Tanzania ni net import kutoka nchi zenye Hali hiyo then unategemea nini? 👇

Screenshot_20211212-222430.png


Screenshot_20211212-222515.png


Screenshot_20211212-222910.png


Screenshot_20211212-223019.png


Screenshot_20211213-065227.png


Screenshot_20211213-065435.png


Screenshot_20211213-065533.png


Screenshot_20211214-063622.png


Screenshot_20211212-223321.png


Screenshot_20211212-223341.png
 
alijojo au harijojo? "L" vs "R" ni janga la kitaifa.
 
Subiria muda karibuni tutaanza kufungia leseni wanaopandisha bei kiholela,na kwa taarifa yenu tutatoa tangazo rasmi kuhusiana wanaopandisha bei ,ili mtu asije akailaumu selikali.Kwanza unapoteza sifa ya kuwa mfanya biashala,halafu tunakuondolea luhusa ya kufanya biashala kwa maana ya leseni ,ukiludia tunataifisha kila kitu kilichopo dukani tunapeka kwenye vituo vya kulelea watoto yatima.Na kama haitoshi jina lako linahifadhiwa kijiditali ya kwamba upo red list kupata leseni mpaka ulipie. Tulieni tuajipanga ili kazi iendelee.

Tulia acha pupa, luhusa ni ruhusa, ukiludia ni rudia, tuajipanga ni tunajipanga, unakimbilia wapi kama kiroboto?
 
Subiria muda karibuni tutaanza kufungia leseni wanaopandisha bei kiholela,na kwa taarifa yenu tutatoa tangazo rasmi kuhusiana wanaopandisha bei ,ili mtu asije akailaumu selikali.Kwanza unapoteza sifa ya kuwa mfanya biashala,halafu tunakuondolea luhusa ya kufanya biashala kwa maana ya leseni ,ukiludia tunataifisha kila kitu kilichopo dukani tunapeka kwenye vituo vya kulelea watoto yatima.Na kama haitoshi jina lako linahifadhiwa kijiditali ya kwamba upo red list kupata leseni mpaka ulipie. Tulieni tuajipanga ili kazi iendelee.
Unataka ugomvi na watu, inflation kwa sasa ni tatizo la Dunia,China producer index iko juu na ku push bidhaa kwenda juu Sana plus freight costs kuongezeka mara dufu then mwisho wa siku ni majanga kwa Nchi zetu ambazo ni net importer..
Unaweza ona hapa 👇

Screenshot_20211212-223321.png


Screenshot_20211212-223341.png
 
Na bado.......huu ukame tutakimbiana soon
 

Mkuu The Sunk Cost Fallacy hebu twende taratibu, wakati uchumi wa dunia unaanza kuyumba kutokana na hicho unachosema covid, malighafi ya aukari, cement maji au kiberiti inatoka nje ya Tanzania?.
Kuna wakati lazima tuwe waangalifu kuwaepusha viongozi na uhalisia wa kiutawala dhidi ya wananchi wao.

Haiwezekani sukari isafiri kwa meri mwezi au miezi kutoka Brazil alafu ikifika hapa bei inakuwa chini ila ya hapa nyumbani inakiwa juu mmh!, Au cement kutoka Kenya iuzwe bei ya chini kuliko inayozakiwa hapa kwenu Tanzania, hiyo ni mifano michache tu.

Nadhani labda ungeweza kuandika kuwa wale wanaoitafuna nchi matajiri wameamua kurudisha pesa/mali zao zilizoporwa kwa miaka mitano huko nyuma kutokana na mnaouita utawala dharimu.
 
Mkuu The Sunk Cost Fallacy hebu twende taratibu, wakati uchumi wa dunia unaanza kuyumba kutokana na hicho unachosema covid, malighafi ya aukari, cement maji au kiberiti inatoka nje ya Tanzania?.
Kuna wakati lazima tuwe waangalifu kuwaepusha viongozi na uhalisia wa kiutawala dhidi ya wananchi wao.

Haiwezekani sukari isafiri kwa meri mwezi au miezi kutoka Brazil alafu ikifika hapa bei inakuwa chini ila ya hapa nyumbani inakiwa juu mmh!, Au cement kutoka Kenya iuzwe bei ya chini kuliko inayozakiwa hapa kwenu Tanzania, hiyo ni mifano michache tu.

Nadhani labda ungeweza kuandika kuwa wale wanaoitafuna nchi matajiri wameamua kurudisha pesa/mali zao zilizoporwa kwa miaka mitano huko nyuma kutokana na mnaouita utawala dharimu.
Mkuu kwani hujui hivyo vitu vinatoka nje ya nchi ukiacha sukari?

Pili swala la saruji kuuzwa bei ya chini Kenya Kuliko Tzn inachangiwa pia na uzalishaji mdogo kwetu vs demand..Kenya kuna kampuni nyingi na kubwa za saruji..

Kwa mfano hapo Kenya pia mfumuko wa bei kwa baadhi ya vitu uko juu kuliko Tzn ila kwa bidhaa wanazaozalisha wao bila kutegemea nje hazina bei..

So njia rahisi kwa sasa ni kuruhusu bidhaa kutoka nje zinazopatikana kwa bei rahisi Ili kushusha bei .
 
Ccm hoyeeeeeee
Mlivyokuwa mnaichagua hamkujua kuwa ni zimwi?
Ila unalosema lina mashiko, unajua zimwi linawaua lisiowataka wakalie viti vyake, angalia wote wanaoenda kinyume na matendo linayotaka wameuawa ama kupata matatizo,
Hili kweli zimwi na litatumaliza nchi hii tusiposhtuka,
 
Back
Top Bottom