Rais Samia: Wangapi wanataka kuwa Marais

Rais Samia: Wangapi wanataka kuwa Marais

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Naangalia Movie ya Royal Tour, kuna kipande Rais anauliza wanafunzi 'Wangapi wanataka kuwa marais' wanafunzi wamenyoosha mikono wengi.

Nikawaza swali kama hili wakaulize kwenye Chama halafu kina Etwege na wenzake wanyooshe mikono kama hali itakuwa salama
 
[emoji1787][emoji1787] Kumbe muoga, Nimeona wamefuta kile kipande wana mkashifu hayati Magufuli kua alikufa kwa Covid.
 
[emoji1787][emoji1787] Kumbe muoga, Nimeona wamefuta kile kipande wana mkashifu hayati Magufuli kua alikufa kwa Covid.
Hiyo documentary aisee imewaumiza watu wengi mno.
 
Sijaona cha maana zaidi ya kufagilia usislamu wa visiwan..as if nchi hii niya wavaa kobazi.

Kulikua na haja gani ya kwenda msikitini..basi angeenda na kanisani na kwenye mapango ya kutambikia mana hii nchi ina kila aina ya imani.

Kingine picha ni low quality..yule prof sijui daktari wa UDSM alikua sahihi kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sijaona cha maana zaidi ya kufagilia usislamu wa visiwan..as if nchi hii niya wavaa kobazi.

Kulikua na haja gani ya kwenda msikitini..basi angeenda na kanisani na kwenye mapango ya kutambikia mana hii nchi ina kila aina ya imani.

Kingine picha ni low quality..yule prof sijui daktari wa UDSM alikua sahihi kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
Mi nilikuwa nahangaika kubadili channel kwa sababu ya picture quality, nilidhani inaonyeshwa tbc..kucheki kumbe ni azam tv..nikakumbuka alichosema yule dr kuhusu ubora wa picha.

Wangeomba azam wawatengenezee hizo video zingetoka na quality ya kiwango cha juu sana..labda huyo peter ange direct tu. Videos angewaachia azam.
 
Unajua sometime quality ya video inategemeana umeichekia wapi? Eg wawezakuta video imechekiwa kwenye lead to hiyo hitaiona Bora hata kwa dawa.
Pia setting za tv au uwanja wako wa video wawezakuta umesetiwa katika rangi zinazomfurahisha mmoja but mwingine aona michosho.
Nb.
Kutokana na uzoefu wangu katika film na Tv ubora wa picha hauzuii uthabiti wa kupata maudhui Bora Kama lengo kuu la wahusika lilivyoamuliwa iwe. Wazi?
 
Hayo ni madogo uki compare na zile hasara za kujenga International Airport Kijijini.
Bora hasara ya kujenga international airport kijini kuliko kuliko kukodi cd tanesco ya mabilion ya walipa kodi ya watanzania
 
Unajua sometime quality ya video inategemeana umeichekia wapi? Eg wawezakuta video imechekiwa kwenye lead to hiyo hitaiona Bora hata kwa dawa.
Pia setting za tv au uwanja wako wa video wawezakuta umesetiwa katika rangi zinazomfurahisha mmoja but mwingine aona michosho.
Nb.
Kutokana na uzoefu wangu katika film na Tv ubora wa picha hauzuii uthabiti wa kupata maudhui Bora Kama lengo kuu la wahusika lilivyoamuliwa iwe. Wazi?

Ficha mbali huu upumbavu wako ili watu wasiuone, na hata wanao wasiurithi.
 
Bora hasara ya kujenga international airport kijini kuliko kuliko kukodi cd tanesco ya mabilion ya walipa kodi ya watanzania
Kweni kakodi ili ikatumike Bumbuli? si kwa ajili ya Watanzania wote.
 
Imeumiza kikundi kidogo cha Wafuasi wa Punguwani.
Wewe unafikiri kwa nini wamefuta? Wanajua wananchi watachukia. Lakini wanasahau kwamba hii ni karne ya teknolojia, documentary ishaonekana. Watu wanakazana kumchafua marehemu, haeajui inachafua serikali yao pia mana huku tuliambiwa tatizo la moyo lkn kwenye royo tua tunaambiwa inasemekana ni Covid.
Lengo la kumchafua ni ili asahaulike, ili kuondoka kikwazo cha kutomtaja ikifika 2025 Bila ya hivyo itakuwa kazi kubwa kuwashawishi wananchi ambao walimpenda sana
 
[emoji1787][emoji1787] Kumbe muoga, Nimeona wamefuta kile kipande wana mkashifu hayati Magufuli kua alikufa kwa Covid.
Siyo kashfa, bali ndiyo hali halisi, aliipuza COVID-19 nayo COVID ikamjibu hapo na wapambe wake
 
Back
Top Bottom