Rais Samia wape meno TFS, anzisha kampeni ya upandaji na utunzaji Miti Tanzania nzima. Iongozwe na vijana wa kujitolea JKT

Rais Samia wape meno TFS, anzisha kampeni ya upandaji na utunzaji Miti Tanzania nzima. Iongozwe na vijana wa kujitolea JKT

Thread kama hizi huwa hazisomwi. Watu wanataka thread za kutupia picha za warembo, vituko mitandaoni, kubeti au siasa. Bahati mbaya waandishi wa thread kama hizi hapa Jamiiforums hawawezi wekwa kwenye lile kapu la story for change (Stories of change???)
Stories of Change ilikuwa idea Nzuri ila Kwa muono wangu ni kuchoreshana tu. JF watu wengi wanatumia fake id’s. Kuleta shindano humu na kuweka vile ni kutowatendea haki watu wengi wenye madini humu!

Ila All in All nchi yetu inahitaji mawazo mazuri na chanya kutoka kwa kila mtu ili iweze kuendelea Kweli!

Mambo ya hovyo yanapoteza sana muda wa watu wengi hapa Tanzania na hata Africa! Kikubwa Mungu kaweka wachache tufanye Kwa niaba ya wengi ili wengi wapone!
 
Mkuu unaweza kulia kama unapenda nature

Watu hawana elimu kabisa na serikali haiwekezi katika elimu hii ya kutunza ardhi yetu

Hapa naangalia Earthshot Price 2021
Ambapo five inspiring projects wanapewa £1m each

Ukipata hii programme angalia hata kenya wamo kwenye mchakato

Tupiganie sana na mijadala iwe mingi ili tusikike mpaka kwa Rais na ajue global warming ipo
Mkoa wa Tabora najua huwa lina joto ila joto la mwaka huu limezidi sana
Uko sahihi kabisa ndugu! Haya maeneo ya kumazingira kupata hela huko duniani ni nje nje na wala uhitaji kutumia nguvu sana!

Ni rahisi sana kupata mabilioni ya fedha kwenye hii miradi ya tukaja kuyatumia kuzalisha miti ya kutosha ya kupanda maeneo mbalimbali hapa nchini
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!

Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua miaka ya 90 mwanzoni. Hongera Kwa hili! Majiji Yanaanza kupendeza bila ya kutumia ubabe wala bunduki!

Nirudi kwenye mada yangu!

Leo napenda tena kutumia fursa hii kukushauri Mhe Rais wa JMT Mama yetu Samia Suluhu Hassan baada ya kufanya utafiti kidogo juu ya hali ya mazingira hapa Tanzania.

Kwenye utafiti wangu huu, nimegundua mambo yafuatayo ambayo yamenifanya Leo niandikie humu kukushauri!


1. Nyanda za Juu kusini hasa mikoa ya Iringa, Mbeya na Songwe kuna hatari kubwa sana ya mikoa hii kukubwa na ukame miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na shughuli za ukataji miti zinazoendelea kwa kasi kwenye mikoa hii na kasi ndogo ya kupanda Miti kwenye mikoa hii. Mikoa hii ni moja ya mikoa tegemezi kwa uzalishaji chakula. Ukataji wa Miti na kuongezeka kwa ukame kwenye mikoa hii kunaleta hatari ya mikoa hii kutozalisha chakula cha kutosha huko miaka ya mbele na kuifanya nchi kuanza kuwa tegemezi kwenye chakula!

2. Kanda ya Kati hasa Dodoma , Singida na Tabora hali ni mbaya sana. Kuna ukame mkubwa sana kwenye haya maeneo na hali ikiendelea kuwa hivi Kuna hatari kubwa hii mikoa kushindwa kabisa kuzalisha chakula. Hakuna Miti na wala Hakuna jitihada zozote kuongeza Miti na uoto kwenye maeneo haya.

Kwa Tabora ambako kulikuwa na Miti mingi, kwa sasa Kuna ukataji mkubwa sana wa miti unaofanywa na wahamiaji kutoka mikoa ya kanda ya Magharibi na kanda ya Ziwa. Wahamiaji hawa wanaharibu kweli mazingira na kusema kweli tusipoangalia hii mikoa itakuja kukosa kabisa mvua na uoto mzuri kutokana na ukataji Miti wa kutisha unaoendelea kwenye mikoa hii! Kwa sasa haizalishi chakula cha kutosha na kwa uharibifu huu wa mazingira huko mbeleni inaonekana hali itakuwa mbaya zaidi

3. Kanda ya Magharibi hasa Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi huku Pia yanayoendelea sio mazuri, wahamiaji kutoka kanda ya ziwa na nchi za jirani wanaingia kwa kasi kwenye mikoa hii na kukata Miti kwa Kiwango cha kutisha. Mikoa ya Rukwa na Katavi imeanza kupata mvua kwa Kiwango kisichoridhisha na hii ni kutokana na ukataji mkubwa wa Miti unaofanyika kwenye mikoa hii.

Kwa sasa Tanzania inategemea mikoa hii pamoja na RUVUMA, Mbeya, Iringa na Njombe bila kusahau morogoro ila kwa hali inavyokwenda, huko mbele inaonekana ukataji huu wa kutisha wa miti kwenye mikoa yote hii, utapelekea nchi kupata mvua kwa Kiwango cha chini hivyo kupungua kwa uzalishaji wa chakula na kuanza kutegemea chakula kutoka nje!

4. Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Simiyu bila kusahau Geita, huku ndo hakufai pia! Watu wa mikoa hii wameharibu sana mikoa yao kwa kukata Miti hivyo kupelekea kutokupata kwa mvua ya kutosha na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha!

Watu wa mikoa hii sasa wanahamia mikoa ya Tabora, Rukwa , Katavi na Singida na wanachokifanya kule ndo walichofanya kwenye mikoa yao jambo lililopelekea kukubwa na ukame na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha. Ukienda katavi leo wanaingia katikati ya misitu ikiwemo hifadhi na wanakata Miti na kuanzisha mashamba! Wanafanya hivi huku wakitegemea serikali mtarasimisha hayo maeneo na kuwapa kuendelea na makazi! Wanaiweka nchi kuwa na hatari ya kuwa jangwa katika siku chache zijazo

5. Kanda ya Mashariki- Hasa Mkoa wa Morogoro na Pwani ambako wamasai baada ya kusababisha ukame maeneo ya ARUSHA sasa wamehamia kwa kasi kwenye mikoa hii ambako wanachofanya ni kukata Miti , kuharibu uoto wa asili kutokana na wingi wa MIFUGO yao. Hili linapelekea ukame kukua na kuinyemelea kwa kasi Kubwa mikoa hii ya PWANI na Morogoro.

Ushauri wangu

1. Naomba Serikali yako iache kurasimisha maeneo yanayovamia na watu hasa mapori na hifadhi. Tanzania haijaisha maeneo. Watu warudishwe kwenye maeneo yao ya asili na waelekezwe namna ya kuishi huko kwa kupanda Miti na kutunza mazingira na kufanya uzalishaji huko. Tabia hii ya kuacha watu wanavamia maeneo alafu badae wanapewa uhalali wa kuishi huko ndo inazidi kuifanya nchi yetu kuzidi kuwa jangwa na badae tutashindwa hata kuzalisha chakula cha kutosha Kwa kukosa mvua!

Kwenye hili kama Jamii ni ya wafugaji, wapewe teknolojia na wafundishwe kufuga wanyama wachache kibiashara. Suala la mtu kumiliki ng’ombe 5000 wakati hana teknolojia ya kuwalisha bila kuharibu mazingira limepitwa na wakati! Watu watu wafuge kwa teknolojia Bora ya kisasa tena kibiashara.

Ni vizuri serikali ikaanza kuweka Sheria ya kudhibiti idadi ya mifugo ya aina ya teknolojia ya ufugaji ili kuokoa mazingira yetu na uhai wetu

2. Wape meno Wakala wa Misitu wasimamiw Kweli Sheria zetu. Kwa hili napenda kukiri kuwa TFS wako vizuri ila wanarudishwa nyuma na wanasiasa. Kwenye hili Naomba wape meno TFS wasimamie misitu yote iliyovamiwa na wawaondoe watu wote waliovamia maeneo hayo!

TFS pia wapewe mandate ya kuhakikisha mapori ya misitu iliyoharibiwa vinarudishwa katika hali yake ya ubora! Hili litaokoa maeneo yetu ya kufanya nchi iendelee kupata mvua Nzuri na kuendeleza kilimo


3. Kupitia vijana wa JKT na TFS pia , naomba uanzishe kampeni kabambe ya upandaji Miti. Ethiopia waliofanya hivi miaka ya 90-2000 na sasa wamefanikiwa sana na upandaji ule wa Miti uliwawezesha kupata mvua za kutosha na sasa wameweza zalisha chakula kingi.

Naomba uanzishe hili Tanzania na kipaumbele iwe mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, kanda ya Ziwa bila kusahau Songwe na Morogoro, huku ipandwe Miti mingi ikiwezekana hata Miti Bil 1 nchi nzima na ifanyiwe kampeni ya kuitunza na kuilinda. Hapa nafikiri tutafanikiwa sana!


Naomba kuishia hapa!
Vijana hao wa CCM?
akina
1. Msando [Anayeonekana kwenye gari akichezea yuyu ya msanii wa bongo fleva]
2. Hamza.
3. Sabaya .
4. Musiba
5. Kihongosi.
6. Shaka Hamdu.
7. Ali Happy
8. Wema Sepetu?
 
I
Vijana hao wa CCM?
akina
1. Msando [Anayeonekana kwenye gari akichezea yuyu ya msanii wa bongo fleva]
2. Hamza.
3. Sabaya .
4. Musiba
5. Kihongosi.
6. Shaka Hamdu.
7. Ali Happy
8. Wema Sepetu?
Hao uliowataja ndo vijana wa JKT? Au umeamka na hangover ndugu?
 
I

Hao uliowataja ndo vijana wa JKT? Au umeamka na hangover ndugu?
inasemekana ni zaidi ya JKT, wengine ni "anda-kava"

sinywi, nipo mahakamani najiandaa na kesi za mention leo, si unajua kesho mapumziko, napunguza mafaili hapa mengine nataka kumpa msajili ahairishe mapema.
 
inasemekana ni zaidi ya JKT, wengine ni "anda-kava"

sinywi, nipo mahakamani najiandaa na kesi za mention leo, si unajua kesho mapumziko, napunguza mafaili hapa mengine nataka kumpa msajili ahairishe mapema.
Umeelewa mada au umekuja tu nduki ili uweke comment yako?
 
Hicho ndo kinasababisha nisitembelee Hiyo mikoa. Nakereka sana napoona huo uharibifu wa mazingira uliokithiri.Angalau mikoa ya kusini kunaafadhari. So sad.
Mbaya zaidi unapotembelea mikoa hii Kuna sehemu chache unapita mf. Kuingia Singida Mjini kutokea Manyoni unaona Kuna watu walijaribu kupanda Miti na ikakubali sasa kumbe Tatizo sio kwamba Miti haioti Ila ni uvivu na uzembe tu wa kupanda Miti na kuboresha uoto kwenye maeneo husika
 
Uko sahihi kabisa ndugu! Haya maeneo ya kumazingira kupata hela huko duniani ni nje nje na wala uhitaji kutumia nguvu sana!

Ni rahisi sana kupata mabilioni ya fedha kwenye hii miradi ya tukaja kuyatumia kuzalisha miti ya kutosha ya kupanda maeneo mbalimbali hapa nchini

Mabalozi wetu wwnakula bata tu huko nje huoni anaehangaika majina yao huwa tunayasikia mara mbili tu

Siku wanapoteuliwa na siku wwnarudishwa nyumbani basi
Kweli yako hela ziko nje nje ni suala la kuomba tu
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!

Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua miaka ya 90 mwanzoni. Hongera Kwa hili! Majiji Yanaanza kupendeza bila ya kutumia ubabe wala bunduki!

Nirudi kwenye mada yangu!

Leo napenda tena kutumia fursa hii kukushauri Mhe Rais wa JMT Mama yetu Samia Suluhu Hassan baada ya kufanya utafiti kidogo juu ya hali ya mazingira hapa Tanzania.

Kwenye utafiti wangu huu, nimegundua mambo yafuatayo ambayo yamenifanya Leo niandikie humu kukushauri!


1. Nyanda za Juu kusini hasa mikoa ya Iringa, Mbeya na Songwe kuna hatari kubwa sana ya mikoa hii kukubwa na ukame miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na shughuli za ukataji miti zinazoendelea kwa kasi kwenye mikoa hii na kasi ndogo ya kupanda Miti kwenye mikoa hii. Mikoa hii ni moja ya mikoa tegemezi kwa uzalishaji chakula. Ukataji wa Miti na kuongezeka kwa ukame kwenye mikoa hii kunaleta hatari ya mikoa hii kutozalisha chakula cha kutosha huko miaka ya mbele na kuifanya nchi kuanza kuwa tegemezi kwenye chakula!

2. Kanda ya Kati hasa Dodoma , Singida na Tabora hali ni mbaya sana. Kuna ukame mkubwa sana kwenye haya maeneo na hali ikiendelea kuwa hivi Kuna hatari kubwa hii mikoa kushindwa kabisa kuzalisha chakula. Hakuna Miti na wala Hakuna jitihada zozote kuongeza Miti na uoto kwenye maeneo haya.

Kwa Tabora ambako kulikuwa na Miti mingi, kwa sasa Kuna ukataji mkubwa sana wa miti unaofanywa na wahamiaji kutoka mikoa ya kanda ya Magharibi na kanda ya Ziwa. Wahamiaji hawa wanaharibu kweli mazingira na kusema kweli tusipoangalia hii mikoa itakuja kukosa kabisa mvua na uoto mzuri kutokana na ukataji Miti wa kutisha unaoendelea kwenye mikoa hii! Kwa sasa haizalishi chakula cha kutosha na kwa uharibifu huu wa mazingira huko mbeleni inaonekana hali itakuwa mbaya zaidi

3. Kanda ya Magharibi hasa Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi huku Pia yanayoendelea sio mazuri, wahamiaji kutoka kanda ya ziwa na nchi za jirani wanaingia kwa kasi kwenye mikoa hii na kukata Miti kwa Kiwango cha kutisha. Mikoa ya Rukwa na Katavi imeanza kupata mvua kwa Kiwango kisichoridhisha na hii ni kutokana na ukataji mkubwa wa Miti unaofanyika kwenye mikoa hii.

Kwa sasa Tanzania inategemea mikoa hii pamoja na RUVUMA, Mbeya, Iringa na Njombe bila kusahau morogoro ila kwa hali inavyokwenda, huko mbele inaonekana ukataji huu wa kutisha wa miti kwenye mikoa yote hii, utapelekea nchi kupata mvua kwa Kiwango cha chini hivyo kupungua kwa uzalishaji wa chakula na kuanza kutegemea chakula kutoka nje!

4. Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Simiyu bila kusahau Geita, huku ndo hakufai pia! Watu wa mikoa hii wameharibu sana mikoa yao kwa kukata Miti hivyo kupelekea kutokupata kwa mvua ya kutosha na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha!

Watu wa mikoa hii sasa wanahamia mikoa ya Tabora, Rukwa , Katavi na Singida na wanachokifanya kule ndo walichofanya kwenye mikoa yao jambo lililopelekea kukubwa na ukame na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha. Ukienda katavi leo wanaingia katikati ya misitu ikiwemo hifadhi na wanakata Miti na kuanzisha mashamba! Wanafanya hivi huku wakitegemea serikali mtarasimisha hayo maeneo na kuwapa kuendelea na makazi! Wanaiweka nchi kuwa na hatari ya kuwa jangwa katika siku chache zijazo

5. Kanda ya Mashariki- Hasa Mkoa wa Morogoro na Pwani ambako wamasai baada ya kusababisha ukame maeneo ya ARUSHA sasa wamehamia kwa kasi kwenye mikoa hii ambako wanachofanya ni kukata Miti , kuharibu uoto wa asili kutokana na wingi wa MIFUGO yao. Hili linapelekea ukame kukua na kuinyemelea kwa kasi Kubwa mikoa hii ya PWANI na Morogoro.

Ushauri wangu

1. Naomba Serikali yako iache kurasimisha maeneo yanayovamiwa na watu hasa mapori na hifadhi. Tanzania haijaisha maeneo. Watu warudishwe kwenye maeneo yao ya asili na waelekezwe namna ya kuishi huko kwa kupanda Miti na kutunza mazingira na kufanya uzalishaji huko. Tabia hii ya kuacha watu wanavamia maeneo alafu badae wanapewa uhalali wa kuishi huko ndo inazidi kuifanya nchi yetu kuzidi kuwa jangwa na badae tutashindwa hata kuzalisha chakula cha kutosha Kwa kukosa mvua!

Kwenye hili kama Jamii ni ya wafugaji, wapewe teknolojia na wafundishwe kufuga wanyama wachache kibiashara. Suala la mtu kumiliki ng’ombe 5000 wakati hana teknolojia ya kuwalisha bila kuharibu mazingira limepitwa na wakati! Watu wafuge kwa teknolojia Bora ya kisasa tena kibiashara.

Ni vizuri serikali ikaanza kuweka Sheria ya kudhibiti idadi ya mifugo ya aina ya teknolojia ya ufugaji ili kuokoa mazingira yetu na uhai wetu

2. Wape meno Wakala wa Misitu wasimamiw Kweli Sheria zetu. Kwa hili napenda kukiri kuwa TFS wako vizuri ila wanarudishwa nyuma na wanasiasa. Kwenye hili Naomba wape meno TFS wasimamie misitu yote iliyovamiwa na wawaondoe watu wote waliovamia maeneo hayo!

TFS pia wapewe mandate ya kuhakikisha mapori ya misitu iliyoharibiwa vinarudishwa katika hali yake ya ubora! Hili litaokoa maeneo yetu ya kufanya nchi iendelee kupata mvua Nzuri na kuendeleza kilimo


3. Kupitia vijana wa JKT na TFS pia , naomba uanzishe kampeni kabambe ya upandaji Miti. Ethiopia waliofanya hivi miaka ya 90-2000 na sasa wamefanikiwa sana na upandaji ule wa Miti uliwawezesha kupata mvua za kutosha na sasa wameweza zalisha chakula kingi.

Naomba uanzishe hili Tanzania na kipaumbele iwe mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, kanda ya Ziwa bila kusahau Songwe na Morogoro, huku ipandwe Miti mingi ikiwezekana hata Miti Bil 1 nchi nzima na ifanyiwe kampeni ya kuitunza na kuilinda. Hapa nafikiri tutafanikiwa sana!


Naomba kuishia hapa!
Mama hana roho ya uongozi hana kitu chochote deep ya moyo wake ambacho kinamkeleketa kuhusu mambo ya kuijenga tz yupo yupo tu kama gari bovu
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!

Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua miaka ya 90 mwanzoni. Hongera Kwa hili! Majiji Yanaanza kupendeza bila ya kutumia ubabe wala bunduki!

Nirudi kwenye mada yangu!

Leo napenda tena kutumia fursa hii kukushauri Mhe Rais wa JMT Mama yetu Samia Suluhu Hassan baada ya kufanya utafiti kidogo juu ya hali ya mazingira hapa Tanzania.

Kwenye utafiti wangu huu, nimegundua mambo yafuatayo ambayo yamenifanya Leo niandikie humu kukushauri!


1. Nyanda za Juu kusini hasa mikoa ya Iringa, Mbeya na Songwe kuna hatari kubwa sana ya mikoa hii kukubwa na ukame miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na shughuli za ukataji miti zinazoendelea kwa kasi kwenye mikoa hii na kasi ndogo ya kupanda Miti kwenye mikoa hii. Mikoa hii ni moja ya mikoa tegemezi kwa uzalishaji chakula. Ukataji wa Miti na kuongezeka kwa ukame kwenye mikoa hii kunaleta hatari ya mikoa hii kutozalisha chakula cha kutosha huko miaka ya mbele na kuifanya nchi kuanza kuwa tegemezi kwenye chakula!

2. Kanda ya Kati hasa Dodoma , Singida na Tabora hali ni mbaya sana. Kuna ukame mkubwa sana kwenye haya maeneo na hali ikiendelea kuwa hivi Kuna hatari kubwa hii mikoa kushindwa kabisa kuzalisha chakula. Hakuna Miti na wala Hakuna jitihada zozote kuongeza Miti na uoto kwenye maeneo haya.

Kwa Tabora ambako kulikuwa na Miti mingi, kwa sasa Kuna ukataji mkubwa sana wa miti unaofanywa na wahamiaji kutoka mikoa ya kanda ya Magharibi na kanda ya Ziwa. Wahamiaji hawa wanaharibu kweli mazingira na kusema kweli tusipoangalia hii mikoa itakuja kukosa kabisa mvua na uoto mzuri kutokana na ukataji Miti wa kutisha unaoendelea kwenye mikoa hii! Kwa sasa haizalishi chakula cha kutosha na kwa uharibifu huu wa mazingira huko mbeleni inaonekana hali itakuwa mbaya zaidi

3. Kanda ya Magharibi hasa Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi huku Pia yanayoendelea sio mazuri, wahamiaji kutoka kanda ya ziwa na nchi za jirani wanaingia kwa kasi kwenye mikoa hii na kukata Miti kwa Kiwango cha kutisha. Mikoa ya Rukwa na Katavi imeanza kupata mvua kwa Kiwango kisichoridhisha na hii ni kutokana na ukataji mkubwa wa Miti unaofanyika kwenye mikoa hii.

Kwa sasa Tanzania inategemea mikoa hii pamoja na RUVUMA, Mbeya, Iringa na Njombe bila kusahau morogoro ila kwa hali inavyokwenda, huko mbele inaonekana ukataji huu wa kutisha wa miti kwenye mikoa yote hii, utapelekea nchi kupata mvua kwa Kiwango cha chini hivyo kupungua kwa uzalishaji wa chakula na kuanza kutegemea chakula kutoka nje!

4. Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Simiyu bila kusahau Geita, huku ndo hakufai pia! Watu wa mikoa hii wameharibu sana mikoa yao kwa kukata Miti hivyo kupelekea kutokupata kwa mvua ya kutosha na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha!

Watu wa mikoa hii sasa wanahamia mikoa ya Tabora, Rukwa , Katavi na Singida na wanachokifanya kule ndo walichofanya kwenye mikoa yao jambo lililopelekea kukubwa na ukame na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha. Ukienda katavi leo wanaingia katikati ya misitu ikiwemo hifadhi na wanakata Miti na kuanzisha mashamba! Wanafanya hivi huku wakitegemea serikali mtarasimisha hayo maeneo na kuwapa kuendelea na makazi! Wanaiweka nchi kuwa na hatari ya kuwa jangwa katika siku chache zijazo

5. Kanda ya Mashariki- Hasa Mkoa wa Morogoro na Pwani ambako wamasai baada ya kusababisha ukame maeneo ya ARUSHA sasa wamehamia kwa kasi kwenye mikoa hii ambako wanachofanya ni kukata Miti , kuharibu uoto wa asili kutokana na wingi wa MIFUGO yao. Hili linapelekea ukame kukua na kuinyemelea kwa kasi Kubwa mikoa hii ya PWANI na Morogoro.

Ushauri wangu

1. Naomba Serikali yako iache kurasimisha maeneo yanayovamiwa na watu hasa mapori na hifadhi. Tanzania haijaisha maeneo. Watu warudishwe kwenye maeneo yao ya asili na waelekezwe namna ya kuishi huko kwa kupanda Miti na kutunza mazingira na kufanya uzalishaji huko. Tabia hii ya kuacha watu wanavamia maeneo alafu badae wanapewa uhalali wa kuishi huko ndo inazidi kuifanya nchi yetu kuzidi kuwa jangwa na badae tutashindwa hata kuzalisha chakula cha kutosha Kwa kukosa mvua!

Kwenye hili kama Jamii ni ya wafugaji, wapewe teknolojia na wafundishwe kufuga wanyama wachache kibiashara. Suala la mtu kumiliki ng’ombe 5000 wakati hana teknolojia ya kuwalisha bila kuharibu mazingira limepitwa na wakati! Watu wafuge kwa teknolojia Bora ya kisasa tena kibiashara.

Ni vizuri serikali ikaanza kuweka Sheria ya kudhibiti idadi ya mifugo ya aina ya teknolojia ya ufugaji ili kuokoa mazingira yetu na uhai wetu

2. Wape meno Wakala wa Misitu wasimamiw Kweli Sheria zetu. Kwa hili napenda kukiri kuwa TFS wako vizuri ila wanarudishwa nyuma na wanasiasa. Kwenye hili Naomba wape meno TFS wasimamie misitu yote iliyovamiwa na wawaondoe watu wote waliovamia maeneo hayo!

TFS pia wapewe mandate ya kuhakikisha mapori ya misitu iliyoharibiwa vinarudishwa katika hali yake ya ubora! Hili litaokoa maeneo yetu ya kufanya nchi iendelee kupata mvua Nzuri na kuendeleza kilimo


3. Kupitia vijana wa JKT na TFS pia , naomba uanzishe kampeni kabambe ya upandaji Miti. Ethiopia waliofanya hivi miaka ya 90-2000 na sasa wamefanikiwa sana na upandaji ule wa Miti uliwawezesha kupata mvua za kutosha na sasa wameweza zalisha chakula kingi.

Naomba uanzishe hili Tanzania na kipaumbele iwe mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, kanda ya Ziwa bila kusahau Songwe na Morogoro, huku ipandwe Miti mingi ikiwezekana hata Miti Bil 1 nchi nzima na ifanyiwe kampeni ya kuitunza na kuilinda. Hapa nafikiri tutafanikiwa sana!


Naomba kuishia hapa!
Waziri wa mazingira anafanya nini? Haya mambo mengine wanayaweza. Ila mpaka watumwe. Kipindi cha mvua, kila mwaka tungeweza kuweka target ya miti mingapi ipandwe. Milima kama Ulugulu miti imehs kabisa
 
Mama hana roho ya uongozi hana kitu chochote deep ya moyo wake ambacho kinamkeleketa kuhusu mambo ya kuijenga tz yupo yupo tu kama gari bovu
Wewe ni nani hadi uweze kuona Kama mtu ana roho ya Uongozi au hana?

Punguza chuki zako dhidi ya Samia! We endelea kukonda kwa chuki zako wakati Mama Samia anazidi kuwakonga nyoyo watanzania wenye akili kwa utendaji wake mahiri
 
Waziri wa mazingira anafanya nini? Haya mambo mengine wanayaweza. Ila mpaka watumwe. Kipindi cha mvua, kila mwaka tungeweza kuweka target ya miti mingapi ipandwe. Milima kama Ulugulu miti imehs kabisa
Umesema vyema kabisa! Hili suala la kupandanda Miti maeneo mbalimbali nchini linaweza kuandalia na kufanywa vizuri pale nchi inapoenda kuingia msimu wa mvua maana hili pia litapunguza gharama za umwagiliaji
 
Nakusalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano Tanzania Mama!

Kwanza nikupongeze kwa Mafanikio makubwa yanayoonekana kwenye suala la kuwahamisha Machinga na kuwapeleka maeneo rasmi. Na furaha nchi sasa imeanza kupendeza hasa majiji yetu! Nimepita Posta mpya leo na Kweli nimeiona Posta niliyoijua miaka ya 90 mwanzoni. Hongera Kwa hili! Majiji Yanaanza kupendeza bila ya kutumia ubabe wala bunduki!

Nirudi kwenye mada yangu!

Leo napenda tena kutumia fursa hii kukushauri Mhe Rais wa JMT Mama yetu Samia Suluhu Hassan baada ya kufanya utafiti kidogo juu ya hali ya mazingira hapa Tanzania.

Kwenye utafiti wangu huu, nimegundua mambo yafuatayo ambayo yamenifanya Leo niandikie humu kukushauri!


1. Nyanda za Juu kusini hasa mikoa ya Iringa, Mbeya na Songwe kuna hatari kubwa sana ya mikoa hii kukubwa na ukame miaka michache ijayo. Hii ni kutokana na shughuli za ukataji miti zinazoendelea kwa kasi kwenye mikoa hii na kasi ndogo ya kupanda Miti kwenye mikoa hii. Mikoa hii ni moja ya mikoa tegemezi kwa uzalishaji chakula. Ukataji wa Miti na kuongezeka kwa ukame kwenye mikoa hii kunaleta hatari ya mikoa hii kutozalisha chakula cha kutosha huko miaka ya mbele na kuifanya nchi kuanza kuwa tegemezi kwenye chakula!

2. Kanda ya Kati hasa Dodoma , Singida na Tabora hali ni mbaya sana. Kuna ukame mkubwa sana kwenye haya maeneo na hali ikiendelea kuwa hivi Kuna hatari kubwa hii mikoa kushindwa kabisa kuzalisha chakula. Hakuna Miti na wala Hakuna jitihada zozote kuongeza Miti na uoto kwenye maeneo haya.

Kwa Tabora ambako kulikuwa na Miti mingi, kwa sasa Kuna ukataji mkubwa sana wa miti unaofanywa na wahamiaji kutoka mikoa ya kanda ya Magharibi na kanda ya Ziwa. Wahamiaji hawa wanaharibu kweli mazingira na kusema kweli tusipoangalia hii mikoa itakuja kukosa kabisa mvua na uoto mzuri kutokana na ukataji Miti wa kutisha unaoendelea kwenye mikoa hii! Kwa sasa haizalishi chakula cha kutosha na kwa uharibifu huu wa mazingira huko mbeleni inaonekana hali itakuwa mbaya zaidi

3. Kanda ya Magharibi hasa Mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi huku Pia yanayoendelea sio mazuri, wahamiaji kutoka kanda ya ziwa na nchi za jirani wanaingia kwa kasi kwenye mikoa hii na kukata Miti kwa Kiwango cha kutisha. Mikoa ya Rukwa na Katavi imeanza kupata mvua kwa Kiwango kisichoridhisha na hii ni kutokana na ukataji mkubwa wa Miti unaofanyika kwenye mikoa hii.

Kwa sasa Tanzania inategemea mikoa hii pamoja na RUVUMA, Mbeya, Iringa na Njombe bila kusahau morogoro ila kwa hali inavyokwenda, huko mbele inaonekana ukataji huu wa kutisha wa miti kwenye mikoa yote hii, utapelekea nchi kupata mvua kwa Kiwango cha chini hivyo kupungua kwa uzalishaji wa chakula na kuanza kutegemea chakula kutoka nje!

4. Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Simiyu bila kusahau Geita, huku ndo hakufai pia! Watu wa mikoa hii wameharibu sana mikoa yao kwa kukata Miti hivyo kupelekea kutokupata kwa mvua ya kutosha na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha!

Watu wa mikoa hii sasa wanahamia mikoa ya Tabora, Rukwa , Katavi na Singida na wanachokifanya kule ndo walichofanya kwenye mikoa yao jambo lililopelekea kukubwa na ukame na kushindwa kuzalisha chakula cha kutosha. Ukienda katavi leo wanaingia katikati ya misitu ikiwemo hifadhi na wanakata Miti na kuanzisha mashamba! Wanafanya hivi huku wakitegemea serikali mtarasimisha hayo maeneo na kuwapa kuendelea na makazi! Wanaiweka nchi kuwa na hatari ya kuwa jangwa katika siku chache zijazo

5. Kanda ya Mashariki- Hasa Mkoa wa Morogoro na Pwani ambako wamasai baada ya kusababisha ukame maeneo ya ARUSHA sasa wamehamia kwa kasi kwenye mikoa hii ambako wanachofanya ni kukata Miti , kuharibu uoto wa asili kutokana na wingi wa MIFUGO yao. Hili linapelekea ukame kukua na kuinyemelea kwa kasi Kubwa mikoa hii ya PWANI na Morogoro.

Ushauri wangu

1. Naomba Serikali yako iache kurasimisha maeneo yanayovamiwa na watu hasa mapori na hifadhi. Tanzania haijaisha maeneo. Watu warudishwe kwenye maeneo yao ya asili na waelekezwe namna ya kuishi huko kwa kupanda Miti na kutunza mazingira na kufanya uzalishaji huko. Tabia hii ya kuacha watu wanavamia maeneo alafu badae wanapewa uhalali wa kuishi huko ndo inazidi kuifanya nchi yetu kuzidi kuwa jangwa na badae tutashindwa hata kuzalisha chakula cha kutosha Kwa kukosa mvua!

Kwenye hili kama Jamii ni ya wafugaji, wapewe teknolojia na wafundishwe kufuga wanyama wachache kibiashara. Suala la mtu kumiliki ng’ombe 5000 wakati hana teknolojia ya kuwalisha bila kuharibu mazingira limepitwa na wakati! Watu wafuge kwa teknolojia Bora ya kisasa tena kibiashara.

Ni vizuri serikali ikaanza kuweka Sheria ya kudhibiti idadi ya mifugo ya aina ya teknolojia ya ufugaji ili kuokoa mazingira yetu na uhai wetu

2. Wape meno Wakala wa Misitu wasimamiw Kweli Sheria zetu. Kwa hili napenda kukiri kuwa TFS wako vizuri ila wanarudishwa nyuma na wanasiasa. Kwenye hili Naomba wape meno TFS wasimamie misitu yote iliyovamiwa na wawaondoe watu wote waliovamia maeneo hayo!

TFS pia wapewe mandate ya kuhakikisha mapori ya misitu iliyoharibiwa vinarudishwa katika hali yake ya ubora! Hili litaokoa maeneo yetu ya kufanya nchi iendelee kupata mvua Nzuri na kuendeleza kilimo


3. Kupitia vijana wa JKT na TFS pia , naomba uanzishe kampeni kabambe ya upandaji Miti. Ethiopia waliofanya hivi miaka ya 90-2000 na sasa wamefanikiwa sana na upandaji ule wa Miti uliwawezesha kupata mvua za kutosha na sasa wameweza zalisha chakula kingi.

Naomba uanzishe hili Tanzania na kipaumbele iwe mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, kanda ya Ziwa bila kusahau Songwe na Morogoro, huku ipandwe Miti mingi ikiwezekana hata Miti Bil 1 nchi nzima na ifanyiwe kampeni ya kuitunza na kuilinda. Hapa nafikiri tutafanikiwa sana!


Naomba kuishia hapa!
Wewe ndio mzalendo. Swala la kutunza mazingira wizara ya mazingira sijui huwa ina kazi gani?? NEMC inasubiri Mbunge wa Chadema ajenge nyumba ndio watumwe na Sabaya kuja kubomoa
 
Umesema vyema kabisa! Hili suala la kupandanda Miti maeneo mbalimbali nchini linaweza kuandalia na kufanywa vizuri pale nchi inapoenda kuingia msimu wa mvua maana hili pia litapunguza gharama za umwagiliaji
Ni rahisi tu wananchi wanakosa uongozi. Kila kaya ikipanda miti 5-10 kwenye maeneo yao nchi nzima inaweza kuwa na impact kubwa bila kutumia gharama
 
Mkuu unaweza kulia kama unapenda nature

Watu hawana elimu kabisa na serikali haiwekezi katika elimu hii ya kutunza ardhi yetu

Hapa naangalia Earthshot Price 2021
Ambapo five inspiring projects wanapewa £1m each

Ukipata hii programme angalia hata kenya wamo kwenye mchakato

Tupiganie sana na mijadala iwe mingi ili tusikike mpaka kwa Rais na ajue global warming ipo
Mkoa wa Tabora najua huwa lina joto ila joto la mwaka huu limezidi sana
Naunga mkono hoja. Mimi ninaposafiri nakushuhudia mistu inavyochomwa moto nahuzunika sana
 
Thread kama hizi huwa hazisomwi. Watu wanataka thread za kutupia picha za warembo, vituko mitandaoni, kubeti au siasa. Bahati mbaya waandishi wa thread kama hizi hapa Jamiiforums hawawezi wekwa kwenye lile kapu la story for change (Stories of change???)
Acha kuchanganya Siasa na huo upuuzi mwingine. Siasa ndio maisha ya kila mwanadamu hapa duniani
 
Wewe ndio mzalendo. Swala la kutunza mazingira wizara ya mazingira sijui huwa ina kazi gani?? NEMC inasubiri Mbunge wa Chadema ajenge nyumba ndio watumwe na Sabaya kuja kubomoa
Asante Mkuu. Kweli kabisa hizi jitihada zilitakiwa ziwe zinafanywa na Taasisi zinazohusika na masuala ya Mazingira ila ndo ivyo zimelala hadi ziamshwe
 
Ni rahisi tu wananchi wanakosa uongozi. Kila kaya ikipanda miti 5-10 kwenye maeneo yao nchi nzima inaweza kuwa na impact kubwa bila kutumia gharama
Sahihi! Kuna njia nyingi sana za kufanikisha hili jambo ili kuokoa mazingira yetu!
 
Back
Top Bottom