johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Umeshapanic 😂Samia hana contents kabisa
Kwani Lisu ni mkubwa? 🐼Kuitwa mama ndio amwite Lissu mtoto?
Alikuwa anakwenda sana Chato enzi za Shujaa Magufuli 😄😄🌹Raila nae ni ccm tu
Muache 'mama' 🤣🤣Samia hana contents kabisa
Anajisogeza kwa mto wa Jaramogi Oginga Odinga Odinda.Samia hana contents kabisa
Kwani yeye mkubwa?Kwani Lisu ni mkubwa? 🐼
Ni mama wa akina Abdul na mke wa MchengerwaMuache 'mama' 🤣🤣
Wengine walisema January Makamba aliombaNilijua Mh. Kikwete ndiye aliomba hiyo nafasi
Yaan ana speech za kitoto kitotooSamia hana contents kabisa
Hivi mpaka sasa ipo hata speech stunning inayoweza kuiweka ikitokea hatunaye duniani? Lete ushahidiUmeshapanic 😂
Ni kweli lakini kaambiwa Mke wake Mbunge,kijana wake Waziri sasa kila mtu wa familia hiyo lazima awe kiongozi ?.Nilijua Mh. Kikwete ndiye aliomba hiyo nafasi