Rais Samia yuko wapi?

Lakini wahusika wameenda hija labda watarekebisha Hilo giza
Hija haisaidii kitu ni mambo ya Duniani tu hayo, Dunia duara hii inazunguka kwa wakati sahihi wa Mungu litawakuta jambo kama si wao basi vizazi vyao..... vinahesabiwa mpaka kizazi cha nne mind you

Mungu hachezewi
 
Kwa hio unafikiri ni lini haya mambo yataanza kufanyika,yani ni lini Tanzania ijaanza kupeleka injili mataifa mengine?

Na ni ishara ipi tunayo yakuhakikisha hayo uliyoyasema?
 
gharama ya kuanzisha ubaguzi hapa TZ ni ndogo, hapana, ni lazima iwatafune tu siku moja.

Hivi mamako anaweza kutamba mbele za watu kabisa kazaa mtoto? Yaani we ni zaidi ya takataka km huo utumbo uliouandika bila hata haya.
 
Kwa hio unafikiri ni lini haya mambo yataanza kufanyika,yani ni lini Tanzania ijaanza kupeleka injili mataifa mengine?

Na ni ishara ipi tunayo yakuhakikisha hayo uliyoyasema?
Unatafuta Ishara sio,

Kizazi Cha Ishara kinataka Ishara, hakitaki kuamini,

Utapewa Ishara ya Yona na Nuhu hivi karibuni, Mafuriko yanakwenda kupoteza mji wa Bandari salama.
 
Unatafuta Ishara sio,

Kizazi Cha Ishara kinataka Ishara, hakitaki kuamini,

Utapewa Ishara ya Yona na Nuhu hivi karibuni, Mafuriko yanakwenda kupoteza mji wa Bandari salama.
Hakuna ugomvi hapa.

Niliomba ishara au hata kitu cha kutusaidia kuhakiki ili tuweze kuamini. Kwakifupi umenena huo unabii halafu sisi tutumie nini Kilima huo unabii ili tujiweke sawa ķuendana na neno la kinabii.
 
Hakuna ugomvi hapa.

Niliomba ishara au hata kitu cha kutusaidia kuhakiki ili tuweze kuamini. Kwakifupi umenena huo unabii halafu sisi tutumie nini Kilima huo unabii ili tujiweke sawa ķuendana na neno la kinabii.
Muda na angalizo la kulima ulishapita,

Onyo lilitoka tangu 2021,2022 na 2023,

Ishara ilikuwa kukauka Kwa Ruaha mkuu 2022, Mto Euphrate ulikauka 2022, jambo ambalo halikuwa tokea before.

Saiz ni utekelezaji, zitaanzia Bei za vyakula kupanda na ukame waja,

So kama ilikupita taarifa, toa pesa bank nunua chakula tunza.
 
Taarifa ilinipita.inabidi nifanye kuulizia watu ili nijue
 
Taarifa ilinipita.inabidi nifanye kuulizia watu ili nijue
Na kama unaishi bandari salama, jiandae kuhama before may 2024,

Mafuriko yanakwenda kuupoteza kabisa mji wa Bandari salama.

Nuru itaanza kuonekana 2030, neema, maziwa na asali ktk Nchi yataanza kuonekana tena.

Tembelea UNYAKUO TV, utaona maelekezo zaidi.
 
Asante kwa taarifa,nitaangalia kama ulivosema.
Na ni vizuri umeweka May 2024
 
Nimeuliza tu.

Aibu inaweza kumfanya mtu akajificha na kuibukia kwenye mipira au ulevi!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…