Rais Samia yuko wapi?

Rais Samia yuko wapi?

Lakini wahusika wameenda hija labda watarekebisha Hilo giza
Hija haisaidii kitu ni mambo ya Duniani tu hayo, Dunia duara hii inazunguka kwa wakati sahihi wa Mungu litawakuta jambo kama si wao basi vizazi vyao..... vinahesabiwa mpaka kizazi cha nne mind you

Mungu hachezewi
 
Ukiuingia nyumbani mwako unatumia mlango mkuu ndo uingie milango ya ndani vyumbani nk.

Hapa Duniani, Taifa kama lango la kupitisha baraka au ....Kwa Dunia ni Hapa Tanzania.

Ni Nchi ilochaguliwa kubeba image ya Mungu duniani.

Hapa ndipo Mahali pekee duniani unaweza pata Upendo wa Mungu kupitia watu wake.

Ni Tanzania ambapo Dunia nzima itapelekewa INJILI ya ufalme sawasawa na Mathew 24 kabla ya UNYAKUO wa KANISA.

Uwepo wa Wana wa Mungu duniani ndiyo sababu ya Amani angalau kidogo inayoonekana duniani.

Kwa uchache ndo hivyo.
Kwa hio unafikiri ni lini haya mambo yataanza kufanyika,yani ni lini Tanzania ijaanza kupeleka injili mataifa mengine?

Na ni ishara ipi tunayo yakuhakikisha hayo uliyoyasema?
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu ni zaidi ya wiki sasa Rais haonekani, yuko wapi. Tunasikia tu ndege yake imeonekana uarabuni, kwani Rais ana likizo? Na kama ni ndio kwanini uarabuni. Huyu mama ameshindwa kuvaa koti la Urais?

Tunaambiwa wafanyabiashara wameficha mafuta kusubiri bei mpya na imeonekana ni kweli. Bei mpya tumeisikia imepanda sana kwa zaidi ya sh. 30.

Wafanyabiashara walijuaje itapanda hivi? Lazima kuna wafanyakazi wa EWURA walishatoa mkeka kabla, rais yuko likizo.

Haya tena Geita jana halmashauri ya mji wodi zimefungwa kisa hakuna dawa, na Waziri wa Afya yuko likizo?
gharama ya kuanzisha ubaguzi hapa TZ ni ndogo, hapana, ni lazima iwatafune tu siku moja.

Hivi mamako anaweza kutamba mbele za watu kabisa kazaa mtoto? Yaani we ni zaidi ya takataka km huo utumbo uliouandika bila hata haya.
 
Kwa hio unafikiri ni lini haya mambo yataanza kufanyika,yani ni lini Tanzania ijaanza kupeleka injili mataifa mengine?

Na ni ishara ipi tunayo yakuhakikisha hayo uliyoyasema?
Unatafuta Ishara sio,

Kizazi Cha Ishara kinataka Ishara, hakitaki kuamini,

Utapewa Ishara ya Yona na Nuhu hivi karibuni, Mafuriko yanakwenda kupoteza mji wa Bandari salama.
 
Unatafuta Ishara sio,

Kizazi Cha Ishara kinataka Ishara, hakitaki kuamini,

Utapewa Ishara ya Yona na Nuhu hivi karibuni, Mafuriko yanakwenda kupoteza mji wa Bandari salama.
Hakuna ugomvi hapa.

Niliomba ishara au hata kitu cha kutusaidia kuhakiki ili tuweze kuamini. Kwakifupi umenena huo unabii halafu sisi tutumie nini Kilima huo unabii ili tujiweke sawa ķuendana na neno la kinabii.
 
Hakuna ugomvi hapa.

Niliomba ishara au hata kitu cha kutusaidia kuhakiki ili tuweze kuamini. Kwakifupi umenena huo unabii halafu sisi tutumie nini Kilima huo unabii ili tujiweke sawa ķuendana na neno la kinabii.
Muda na angalizo la kulima ulishapita,

Onyo lilitoka tangu 2021,2022 na 2023,

Ishara ilikuwa kukauka Kwa Ruaha mkuu 2022, Mto Euphrate ulikauka 2022, jambo ambalo halikuwa tokea before.

Saiz ni utekelezaji, zitaanzia Bei za vyakula kupanda na ukame waja,

So kama ilikupita taarifa, toa pesa bank nunua chakula tunza.
 
Muda na angalizo la kulima ulishapita,

Onyo lilitoka tangu 2021,2022 na 2023,

Ishara ilikuwa kukauka Kwa Ruaha mkuu 2022, Mto Euphrate ulikauka 2022, jambo ambalo halikuwa tokea before.

Saiz ni utekelezaji, zitaanzia Bei za vyakula kupanda na ukame waja,

So kama ilikupita taarifa, toa pesa bank nunua chakula tunza.
Taarifa ilinipita.inabidi nifanye kuulizia watu ili nijue
 
Taarifa ilinipita.inabidi nifanye kuulizia watu ili nijue
Na kama unaishi bandari salama, jiandae kuhama before may 2024,

Mafuriko yanakwenda kuupoteza kabisa mji wa Bandari salama.

Nuru itaanza kuonekana 2030, neema, maziwa na asali ktk Nchi yataanza kuonekana tena.

Tembelea UNYAKUO TV, utaona maelekezo zaidi.
 
Na kama unaishi bandari salama, jiandae kuhama before may 2024,

Mafuriko yanakwenda kuupoteza kabisa mji wa Bandari salama.

Nuru itaanza kuonekana 2030, neema, maziwa na asali ktk Nchi yataanza kuonekana tena.

Tembelea UNYAKUO TV, utaona maelekezo zaidi.
Asante kwa taarifa,nitaangalia kama ulivosema.
Na ni vizuri umeweka May 2024
 
Nimeuliza tu.

Aibu inaweza kumfanya mtu akajificha na kuibukia kwenye mipira au ulevi!

 
Back
Top Bottom