Ni kweli ata hapa kwetu amekua maarufu kumpiku Mbowe sasa wako kwenye maridhianoJarida Maarufu Dunia la TIME limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa Duniani. Katika Jarida hilo aliyekuwa Rais wa Kwanza Mwanamke nchini Liberia Bi. Ellen Johnson Sirleaf amemuelezea Rais Samia kama mwanamageuzi anayependa demokrasia na maono ya mbali kwa Taifa lake na Afrika kwa ujumla.View attachment 2236477
Kama sisi tunavyotegemea pesa za hisani kutoka kwa wajomba wetu USA, ULAYA NA ARABUNIUnabishana na Mimi au na Gazeti la Times?
Wewe mzembe hufanyi kazi, unategemea hisani ya shemeji yako aluyemuoa dada yako lazima uone maisha magumu mtaani. Kafanye kazi acha umama Kaka pembe
Kwa kuwa anesahau chomekeamo,huenda zali likakuangukia🚶Mkuu umesahau kuweka namba yako ya simu
JPM hakupenda upuuzi kama huu, ndo maana aliwatukana eti wana vichwa kama GN!Alafu huu ujinga alituanzishia magu bogaz yule imekua ndio tabia ya wengi, miaka ya nyuma huu ujinga haukuwepo
Watakao piga kura niwale wajumbe waliompitisha Kinana kwa asilimia 100?2025 aruhusu wagombea ndani ya CCM achuane naye kwa kura za maoni,
Aweke historia ya ushawishi wake!
Hebu kuwa na akili basi japo kiduchu mzeeUsilinganishe yale yaliyokuwa yanachakachuliwa na utawwla wa Magufuli na awamu hii. Hii awamu iko transparent kwa kila kitu
Acha ufala basiiiInapendeza...ndio Rais wa Africa kwa sasa, wanawake wote na Africa yote inajivunia Rais pekee mwanamama
Kwani unadhani chuki zako zinafuta ukweli? Komaa 👇Acha ufala basiii
NonsenseInapendeza...ndio Rais wa Africa kwa sasa, wanawake wote na Africa yote inajivunia Rais pekee mwanamama
Hakuna gazeti linaloitwa 'TIME' jijini New York, hawa chawa wamephotoshop na kusambaza hizo propaganda za kilevi.Time ni jarida tu kama mengine, halina issue. Alafu sababu eti ni raisi mwanamke.
Propaganda za kitoto sana hizi, hebu wekeni link tuone article inayoeleza hayo yote. Hilo gazeti la TIME labda lipo Lumumba.Jarida Maarufu Dunia la TIME limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Viongozi 100 wenye ushawishi mkubwa Duniani. Katika Jarida hilo aliyekuwa Rais wa Kwanza Mwanamke nchini Liberia Bi. Ellen Johnson Sirleaf amemuelezea Rais Samia kama mwanamageuzi anayependa demokrasia na maono ya mbali kwa Taifa lake na Afrika kwa ujumla.View attachment 2236477
Kama haja ku-influence wewe jitambue siyo mlengwa wa uchumi wa soko huria, uwekezaji, utawala bora na demokrasiaKamuinfuluence nani,kwa kipi alichokifanya?
Raia anapaswa asifiwe Tanzania ama Marekani?
Kwamba wamarekani ndio watuambie rais wetu ni influencial wakati sisi hatujui kitu kama hicho?
Ndio maana nchi hii ya hautakaa iendelee, ina watu wasengerema wengi sana
🇹🇿 Soma hapa uone ujinga wakoHakuna gazeti linaloitwa 'TIME' jijini New York, hawa chawa wamephotoshop na kusambaza hizo propaganda za kilevi.
Upuuzi mtupu.!🇹🇿 Soma hapa uone ujinga wako
Samia Suluhu Hassan: The 100 Most Influential People of 2022
Find out why Samia Suluhu Hassan is on this year’s listtime.com
Usikute Ettore Bugatti mbwembwe zotte hizo ni La Saba B!! English not reachableUpuuzi mtupu.!