Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Nabii hakubaliki kwao.Kamuinfuluence nani,kwa kipi alichokifanya?
Raia anapaswa asifiwe Tanzania ama Marekani?
Kwamba wamarekani ndio watuambie rais wetu ni influencial wakati sisi hatujui kitu kama hicho?
Ndio maana nchi hii ya hautakaa iendelee, ina watu wasengerema wengi sana