Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Bara wameigeuza shamba la bibi, kwao hata tozo hawanaWazanzibar wanaifaidi sana Tanzania wanavuna mabilion na mabilion uku wakiendelea kulalamika kinafki
Mitanganyika inaishia kujigamba Zanzibar ni ki wilaya
Tuamke tuwafukuze huku kwetuBaada ya hapo wataendelea kukwapua nafasi za mawaziri, jeshini vyeo vya juu, polisi vyeo vya juu, usalama vyeo vya juu, balozi, wakuu wa mashirika, n.k. na bila kusahau ni lazima raisi au makamu wa raisi awe mzanzibari.... huko mbele kutakuwa na raisi mZanzibar tena,,..... jamaa wamelamba dume .... Mtanganyika anachojisifu ni kwamba Zanzibar ni kama kamkoa lakini analalamika hawezi kupata ajira Zanzibar, hawezi kupata nafasu ya uongozi zanzibar, nk😂😂
Bara wameigeuza shamba la bibi, kwao hata tozo hawana
Ni wajinga hata siyo washambaWatanzania bara ni washamba watataliwa sana na keki wataifaidi zaidi wazanzibar
Ulaya gani nguvu kazi ya vijana wote mateja wala ngada?Nitafurahi sana watanganyika wakidhibitiwa kuingia kule, maana mingi haina kazi ya kufanya kule wanakuona kama ulaya
Kwani ikulu ya JMT iko Zanzibar? Ijengeni alafu muihamishe toka Dodoma muone kama atakaa hukoNdiyo maana hataki kuishi kwao Zanzibar kutwa anatuletea tozo
Hatumtaki huku arudi huko wote rudini kwenu tubaki mwenyeweKwani ikulu ya JMT iko Zanzibar? Ijengeni alafu muihamishe toka Dodoma muone kama atakaa huko
Mimi nilisoma kwenye kitabu cha kwa kheri Ukoloni kwa kheri Uhuru.Ananikumbusha maneno ya Nyerere, niliwahi kumsikia mahali akisema; "kama angekuwa na uwezo, angekikokota hicho kisiwa akakitupilie mbali"
Hii maana yake wazanzibari wataendelea kuwa chini ya huu muungano watake wasitake mpaka mwisho wa dahari.
zanzibar ni takataka ukilinganisha na manispaa au jiji lolote la bara.Nitafurahi sana watanganyika wakidhibitiwa kuingia kule, maana mingi haina kazi ya kufanya kule wanakuona kama ulaya
Nasi hatukutakini. Hivi kwanini munang'ang'ania kijisiwa kidogo. Kaeni kwenu.Hatumtaki huku arudi huko wote rudini kwenu tubaki mwenyewe
IGP akalitazame na hillKwaiyo?
Ni kweli kwani Watanganyika watakuwa wanauza watoto wao kwa tamaa pesa kama ilivyokuwa awali, kwa sababu hawa wanapenda mno pesa.Zanzibar wakipewa uhuru kamili watarudisha biashara ya utumwa
Point muhimu sana. Wanalama kinafiq huku wak8jirundukua mimaliWazanzibar wanaifaidi sana Tanzania wanavuna mabilion na mabilion uku wakiendelea kulalamika kinafki
Mitanganyika inaishia kujigamba Zanzibar ni ki wilaya