Rais Samia, zile milioni 10 kwa kila goli achana nazo, toa ndege zipeleke washangiliaji

Una uhakika hizo ndege hazitakamatwa?
 
Safi sana mkuu una akili kubwa tena sana, kwanza hizi team Yanga na Simba ni mali ya serikali japo imejificha kwa mlango wa nyuma lakini tunajua hata wafadhili wasipozifadhili zitakuwepo tu.
 
Safi sana mkuu una akili kubwa tena sana, kwanza hizi team Yanga na Simba ni mali ya serikali japo imejificha kwa mlango wa nyuma lakini tunajua hata wafadhili wasipozifadhili zitakuwepo tu.
Umesema kweli mkuu.
Timu hizi 2 zinasaidia kujenga spirit ya kuvumiliana kwy nchi hii yenye diversity kubwa duniani. Lakini pia zinatufunza kuvumilia madhila ya serikali kwa wananchi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ndege ni kwa ajili ya watz walipo sudan,huo uchale chale wenu watu wa yanga utaisha lini?
 
Rais anadanganywa,mpaka leo hajui kama hili kombe wanalorukaruka utopolo ni kombe la waliofeli,
 
Lipa nauli uende, acha kudeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…