Rais Samora Machel, alimchukiza Mungu kuliko maraisi wote Africa

Rais Samora Machel, alimchukiza Mungu kuliko maraisi wote Africa

Tango73

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2008
Posts
2,180
Reaction score
1,291
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.

Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
 
ungeuliza kwanini wakatoliki wanataka kumfanya nyerere mtakatfu ningekuelewa
 
Wawaulize kwanza wakoloni, kwanini walitumia dini vibaya kuwanyanyasa na kuwapeleka watu utumwani. Yeye alikua anapambana na mkoloni aliekua anajificha nyuma ya dini (Kama mkoloni mpya wa mashariki ya kati anavyojificha ndani ya misikiti na kutumia kinywa cha Lipumba na Ponda)

Hutafika popote na kampeni zenu za kumchafua Nyerere!
 
Hauna logic, level yako ya uelewa ndiyo ulipofikia, copy and paste style!
Ukweli upo pale pale, samora hakustahili heshima aliyopewa na nyerere. nimekupa kitabu na page ya kusoma ili usome na uone mwenyewe ukweli wa samora, je kosa lipo wapi?
 
Wawaulize kwanza wakoloni, kwanini walitumia dini vibaya kuwanyanyasa na kuwapeleka watu utumwani. Yeye alikua anapambana na mkoloni aliekua anajificha nyuma ya dini (Kama mkoloni mpya wa mashariki ya kati anavyojificha ndani ya misikiti na kutumia kinywa cha Lipumba na Ponda)

Hutafika popote na kampeni zenu za kumchafua Nyerere!
Soma kitabu hicho kwanza halafu njoo ukanushe. Sasa kama alimpinga mkoloni , ndio alikuwa na haki ya kufuta uhuru wa kuabudu? yesu kamkosea nini mpaka avunje altare yake ?
 
We mleta mada uliwasiliana na huyo mungu na akakuthibitishia kama ulivyohitimisha hapo kwenye heading yako..!?
 
ungeuliza kwanini wakatoliki wanataka kumfanya nyerere mtakatfu ningekuelewa

Wanataka kumfanya mtakatifu kwa sababu HAKUFANYA KAMA ALIVYOFANYA SAMORA. Na mind you, dhambi ya mtu haiambukizwi kwa mtu mwingine.
 
Ahh!huyo cha mtoto,nyerere ndie kachukiza zaidi.
 
Soma kitabu hicho kwanza halafu njoo ukanushe. Sasa kama alimpinga mkoloni , ndio alikuwa na haki ya kufuta uhuru wa kuabudu? yesu kamkosea nini mpaka avunje altare yake ?

Ukoloni ulitumia sana kukandamiza watu weusi ili wasiweze kujitambua na kujitawala. We we umeamua kuwa mtumwa wa dini yako japo unaikufuru sana kwa kuutamani ukatoliki na kukubali watakatifu wake! Kama huamini angalia dini hapa hasa uislamu unavyotumika kuua watu wasio na hatia Iraq! Waaarabu kule wanajifanya wanatetea Mungu kupitia u-sunni au u-shia wao huku wakiua watu wasio na hatia, si bora dini hiyo ifutwe tu kule?
 
mods plz hizi ni moja threads za kufunga mapema sana au mpk akina malaria sugu waje ndo ustuke kufunga?
 
Bahati mbaya sana kwako unasoma maandishi yenye mtazamo wa RENAMO na unaishia hapo tu hutaki kupata habari zaidi zihusuzo Msumbiji na historia yake,

Siku ukipata maandiko yenye imani na misimamo ya FRELIMO unaweza kuja na mtazamo mpya,

Samora Machel alikuwa ni muamini wa kanisa Katoliki na mtiifu ipasavyo kama alivyokuwa Mwalimu Julius K. Nyerere

Tena kwa taarifa yako nikuwa Kanisa Katoliki Msumbiji linakusudia kupele ombi pale Vatican la kuanza mchakato wa kumfanya Samora Machel kuwa mtakatifu!

Sitaendelea zaidi, naamini mpaka hapo umepata ufunuo wa Msumbiji, sasa kapinde mgogo kusaka ukweli!
 
Soma kitabu hicho kwanza halafu njoo ukanushe. Sasa kama alimpinga mkoloni , ndio alikuwa na haki ya kufuta uhuru wa kuabudu? yesu kamkosea nini mpaka avunje altare yake ?

Una uhakika hiyo iliyovunjwa ilikywa altare ya Yesu?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ukoloni ulitumia
sana kukandamiza watu weusi ili wasiweze kujitambua na kujitawala. We we
umeamua kuwa mtumwa wa dini yako japo unaikufuru sana kwa kuutamani
ukatoliki na kukubali watakatifu wake! Kama huamini
angalia dini hapa hasa uislamu unavyotumika kuua watu wasio na hatia
Iraq! Waaarabu kule wanajifanya wanatetea Mungu kupitia u-sunni au
u-shia wao huku wakiua watu wasio na hatia, si bora dini hiyo ifutwe tu
kule?

Mkulu, kwa kiasi fulani uko sahihi. Kama dini inasababisha mauaji ya watu wasio na hatia badala ya kuleta amani basi haina sababu ya kuendelea kuwepo. Au tuseme tu hiyo dini haimwabudu mungu aliyehai bali shetani mpenda damu.
 
Je mtumwa SWS. Alivyo oa kabinti cha miaka 9(Aisha). Si angetakiwa aloe miaka 30 behind the bars.
 
Back
Top Bottom