Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?