Rais Samora Machel, alimchukiza Mungu kuliko maraisi wote Africa

Rais Samora Machel, alimchukiza Mungu kuliko maraisi wote Africa

We mleta mada uliwasiliana na huyo mungu na akakuthibitishia kama ulivyohitimisha hapo kwenye heading yako..!?

nafikiri ata mimi ndio swali nilikua nataka kumuuliza mkuu,thanks alot kwa kunisaidia hilo.
 
Bahati mbaya sana kwako unasoma maandishi yenye mtazamo wa RENAMO na unaishia hapo tu hutaki kupata habari zaidi zihusuzo Msumbiji na historia yake,

Siku ukipata maandiko yenye imani na misimamo ya FRELIMO unaweza kuja na mtazamo mpya,

Samora Machel alikuwa ni muamini wa kanisa Katoliki na mtiifu ipasavyo kama alivyokuwa Mwalimu Julius K. Nyerere

Tena kwa taarifa yako nikuwa Kanisa Katoliki Msumbiji linakusudia kupele ombi pale Vatican la kuanza mchakato wa kumfanya Samora Machel kuwa mtakatifu!

Sitaendelea zaidi, naamini mpaka hapo umepata ufunuo wa Msumbiji, sasa kapinde mgogo kusaka

Kaka jamaa katoa mahala alipopata mashiko yake je na wewe umetoa mashiko yako wapi ili tupate jua ukweli uko wapi
 
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.

Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?

Haohao waliotuletea dini Afrika ndio haohao waliooandika hicho kitabu unategemea wataandika mazuri kuhusu Samora ikumbukwe kwamba kabla ya Wazungu na waarabu hawajaja Afrika kulikuwa hakuna Ukristo wala Uislamu. kwahiyo kwa upande mwingine Samora inabidi aeleweke kwanini alifanya hivyo. "Afrika dini zililetwa tu"- Afande Sele
 
hivi ni kosa kwa kikundi cha watu kuamua kumuita Osama bin laden mtakatifu kama wao wana amini hivyo? na hata kanisa katoliki likiamua kumuita nyerere mtakatifu ni uamuzi wake
 
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.

Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?

Samora alikuwa shujaa wa kweli. Alichofanya dhidi ya dini ni sahihi kabisa. Hizi dini ni fujo tu.
 
Soma kitabu hicho kwanza halafu njoo ukanushe. Sasa kama alimpinga mkoloni , ndio alikuwa na haki ya kufuta uhuru wa kuabudu? yesu kamkosea nini mpaka avunje altare yake ?

Kanisa au Msikiti au nyumba yoyote ya ibada ambayo inatumika kinyume na matakwa ya Mungu (Haipo kwa maslahi ya Mungu), inamkera Mungu pia! Hicho kitabu sikitafuti wala sikihitaji, kwamaana hata nikisoma bado pia naweza kupinga yaliyoandikwa kama ni ya kupotosha na kujipendekeza kwa Mungu kuwafurahisha wanadamu.

Usimshuhudie jirani yako uongo a.k.a Acha unafiki. Makanisa yale yalikiuka hii amri
 
ungeuliza kwanini wakatoliki wanataka kumfanya nyerere mtakatfu ningekuelewa

Nyerere mwenyewe alishakataa suala la kanisa katoliki kumfanya yeye mtakatifu, kuna kipindi walimfuata wakamdokeza kuhusu hilo suala.
Hapa swali ni je kanisa katoliki linamjua Nyerere kuliko yeye mwenyewe anavyojijua?
 
Ukoloni ulitumia sana kukandamiza watu weusi ili wasiweze kujitambua na kujitawala. We we umeamua kuwa mtumwa wa dini yako japo unaikufuru sana kwa kuutamani ukatoliki na kukubali watakatifu wake! Kama huamini angalia dini hapa hasa uislamu unavyotumika kuua watu wasio na hatia Iraq! Waaarabu kule wanajifanya wanatetea Mungu kupitia u-sunni au u-shia wao huku wakiua watu wasio na hatia, si bora dini hiyo ifutwe tu kule?
who alleges must prove,come forward with cogently arguments sio hizi street rumans zako.
 
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.

Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Dini za kigeni zilitangulia kusafisha njia ya ukoloni kuja afrika; kwani wewe hulijui hilo? Kwani wewe unadhani utakatifu lazima mtu aamini dini? Hao waliokua wanawachuuza waafrika kama bidhaa walikua wanakwenda misikitini na makanisani kusali.
 
Ukweli upo pale pale, samora hakustahili heshima aliyopewa na nyerere. nimekupa kitabu na page ya kusoma ili usome na uone mwenyewe ukweli wa samora, je kosa lipo wapi?
Wewe ndio mburula kweli! Nyerere alipambana na hao akina reagan kwa kuwasaidia wareno dhidi ya ukombozi wa msumbiji sasa unatuambia tusome kitabu chao kuhusu ubaya wa nyerere.
 
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?

Nyerere na Samora Machel au TANU na FRELIMO jambo walilokuwa nalo common ni ukombozi wa msumbiji au uhuru wa msumbiji. Tanzania ilianzisha ujamaa kupitia azimio la arusha mwaka 1967 kama aina moja wapo ya African socialism ingawa mifumo Fulani ilifanana na ya kikomunisti kasoro ile ya socialist revolution na mambo ya kutoamini mungu et.c. Samora aliingiza Socialism through socialist revolution mwaka 1977 na misingi iliyofuatwa ni ile ya kikomunisti kama urusi na kyuba, ambayo inasema hakuna socialism nyingine zaidi ya ile itokanayo na revolution, na iongozwayo na politburo.....Tanzania haikuwa hivyo kwa ajili ya imani kwa demokrasia ya level yetu Enzi hizo, ndiyo maana ujamaa wa tz ulidharauliwa na akina samora, warusi, ethipia n.k. kwamba usingekuwa na impact kuleta maendeleo kwa maana haukuwa na mabavu ya kutosha. Nyerere hakuwa na tabia ya kuingilia mambo ya nchi za watu kama haukuleta madhara kwenye mission yake kubwa ya ukombozi. Ndiyo maana hakuwa na tabia ya kuchagua vyama vya ukombozi na aliunga mkono vyama vyote hata vyama hasimu bora tu vina lengo la kukomboa nchi zao ila hakujiingiza kwenye tofauti zao na aliacha mpaka fate iamue. Hivyo aliwaunga wafuatao; Mozambique-frelimo kwani hawakuwa na chama kingine, Afrika Kusini - ANC na PAC ( Baadhi ya wakereketwa wa ANC walimchukia Nyerere kwa hilo), Angola - MPLA, UNITA ya savimbi na FNLA ya Lobeto, Uganda timu ya obote na ile ya museveni. Kuhusu ugomvi wa samora na makanisa baki ya ukomunisti, samora alikuwa na kisasi kwa kuwa inadaiwa kuwa mapadri walikuwa wana wasalia au kuwabariki askari waendapo vitani n.k Lakini ukweli ni kwamba Mozambique ilikuwa jimbo moja wapo la ureno kwa mamia ya miaka kama Australia, NZ, USA et.c. kwa raia wa kawaida ambao kwa wazungu about 100% wakatoliki na waafrika about 90% ya wenye dini ni wakristu au wakatoliki, hawakuelewa maana ya ile vita, zaidi ya kuona kuwa lile jeshi la mreno ndiyo jeshi lao. Kwa ukatoliki, uhuru na nafasi ya kuabudu ndiyo muhimu hivyo padre akipata nafasi ya kupenyeza huduma ya kiroho atafanya iwe kwa mfungwa, gaidi, chama tawala au yoyote yule. Samora hakuona hilo akawaadhibu lakini nyerere kwa upande wake asingeacha kushirikiana na samora kwa mambo ya kitaifa kwa ajili ya tofauti zao kuhusu uelewa wao wa mambo ya kiroho kwani hiyo yaweza kuwa siyo wito wake, kwani hata tz alikuwa na marafiki wakubwa ambao spiritually misimamo yao ni tofauti na yake ndiyo maana wale wanaosema alileta MFUMO KRISTU Tanzania inabidi waione hii contradiction kwenye nchi ambayo walimsikiliza lakini hakuitumia hiyo nafasi kufurahisha hisia zake.
 
Wawaulize kwanza wakoloni, kwanini walitumia dini vibaya kuwanyanyasa na kuwapeleka watu utumwani. Yeye alikua anapambana na mkoloni aliekua anajificha nyuma ya dini (Kama mkoloni mpya wa mashariki ya kati anavyojificha ndani ya misikiti na kutumia kinywa cha Lipumba na Ponda)

Hutafika popote na kampeni zenu za kumchafua Nyerere!

Well said mkuu wakati mwingine kung'ang'ania hizi western religious and believes ndiio maana hatuendelei

Samora aliiona hawa watu walikuja kwa kisingizio cha dini kututWala hvyo wanaweza tumia mbinu hyohyo kujipenyeza upya na ndio ilivyo sasa
 
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.

Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.

Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.

Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!

makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!

RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.

sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?

Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.

Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.

My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?

Umejawa na chuki tu roho yako yakisuta yote haya hutak nyerere awe mtakatifu sio,hila na roho mbaya haztokusaidia subr mchakato utimie tumshangilie mtakatifu wetu Nyerere
 
Mkoloni alitumia njia nyingi kutawala so mimi simlaumu samora hivyo alikuwa anakata mizizi ya kikoloni. .halafu bro kuandika article au kitabu sio uthibitisho tosha coz alieandika alizingatia hisia zake saaana kuliko mahitaji ya mwafrika wa msumbiji
 
Hata hivyo umandika kwamba kitabu hicho kimetungwa na.............Hivyo kama kimetungwa huwez sema samora ndio alifanya hivyo tune u're mind samora hakufanya hivyo.Mungu akubariki kwa kumpenda.
 
Back
Top Bottom