We mleta mada uliwasiliana na huyo mungu na akakuthibitishia kama ulivyohitimisha hapo kwenye heading yako..!?
Bahati mbaya sana kwako unasoma maandishi yenye mtazamo wa RENAMO na unaishia hapo tu hutaki kupata habari zaidi zihusuzo Msumbiji na historia yake,
Siku ukipata maandiko yenye imani na misimamo ya FRELIMO unaweza kuja na mtazamo mpya,
Samora Machel alikuwa ni muamini wa kanisa Katoliki na mtiifu ipasavyo kama alivyokuwa Mwalimu Julius K. Nyerere
Tena kwa taarifa yako nikuwa Kanisa Katoliki Msumbiji linakusudia kupele ombi pale Vatican la kuanza mchakato wa kumfanya Samora Machel kuwa mtakatifu!
Sitaendelea zaidi, naamini mpaka hapo umepata ufunuo wa Msumbiji, sasa kapinde mgogo kusaka
Kaka jamaa katoa mahala alipopata mashiko yake je na wewe umetoa mashiko yako wapi ili tupate jua ukweli uko wapi
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Soma kitabu hicho kwanza halafu njoo ukanushe. Sasa kama alimpinga mkoloni , ndio alikuwa na haki ya kufuta uhuru wa kuabudu? yesu kamkosea nini mpaka avunje altare yake ?
ungeuliza kwanini wakatoliki wanataka kumfanya nyerere mtakatfu ningekuelewa
who alleges must prove,come forward with cogently arguments sio hizi street rumans zako.Ukoloni ulitumia sana kukandamiza watu weusi ili wasiweze kujitambua na kujitawala. We we umeamua kuwa mtumwa wa dini yako japo unaikufuru sana kwa kuutamani ukatoliki na kukubali watakatifu wake! Kama huamini angalia dini hapa hasa uislamu unavyotumika kuua watu wasio na hatia Iraq! Waaarabu kule wanajifanya wanatetea Mungu kupitia u-sunni au u-shia wao huku wakiua watu wasio na hatia, si bora dini hiyo ifutwe tu kule?
who alleges must prove,come forward with cogently arguments sio hizi street rumans zako.
Dini za kigeni zilitangulia kusafisha njia ya ukoloni kuja afrika; kwani wewe hulijui hilo? Kwani wewe unadhani utakatifu lazima mtu aamini dini? Hao waliokua wanawachuuza waafrika kama bidhaa walikua wanakwenda misikitini na makanisani kusali.Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Wewe ndio mburula kweli! Nyerere alipambana na hao akina reagan kwa kuwasaidia wareno dhidi ya ukombozi wa msumbiji sasa unatuambia tusome kitabu chao kuhusu ubaya wa nyerere.Ukweli upo pale pale, samora hakustahili heshima aliyopewa na nyerere. nimekupa kitabu na page ya kusoma ili usome na uone mwenyewe ukweli wa samora, je kosa lipo wapi?
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?
Wawaulize kwanza wakoloni, kwanini walitumia dini vibaya kuwanyanyasa na kuwapeleka watu utumwani. Yeye alikua anapambana na mkoloni aliekua anajificha nyuma ya dini (Kama mkoloni mpya wa mashariki ya kati anavyojificha ndani ya misikiti na kutumia kinywa cha Lipumba na Ponda)
Hutafika popote na kampeni zenu za kumchafua Nyerere!
Mwaka 1977 raisi Samora alilivamia kanisa katoliki mjini maputo akingia ndani ya kanisa akishika nyundo na kuibomoa altare kwa mikono yake miwili mpaka ikapasuka pasuka nyang'a nyang'a huku akizungukwa na masista waliokuwa wanalia na kuangalia kwa huzuni kubwa sana sana! wakiangalia kwa uchungu Siku hiyo ndipo alipolitangazia taifa la msumbiji kuwa uhuru wa kuabudu umepigwa marufuku nchini kwake akitahadhalisha kuwa" he who believe in god cannot became the member of the party-FRELIMO.
Mbali na hayo, alifunga makanisa katoliki kumi na nane kwa mpigo na kuwafunga mapadri na wanasiasa wote waliopinga uamuzi wake wa kifashisti na wa kidhalimu.
Samora alitangaza chama chashika hatamu ndani ya msumbiji, na watendaji wote walioshika nafasi nyeti za uongozi walilazimika kutokuwa na dini ili wapate ajira. Baraza lote la mawaziri pamoja na mke wake Samora na watoto wao walimkana mungu na kuchagua majina ya kienyeji.Jumapili, pasaka,Iddi, ramadhani, na xmass
, zote zilip[igwa mafuku na kufutwa.
Chini ya FRELIMO, elimu ya dini ilipigwa marufuku mashuleni na kila kijana wa miaka kumi na nne hupelekwa camp kuja kuwa mwananchama wa frelimo huku mkazo ukiwa kuikana dini yake! Kila kijana akikutwa na kitabu cha dini, rozali au kalatasi zenye maandiko ya dini yele kifungo ni miezi sita jela!
makanisa mengi na misikiti vilifungwa,Hospitali zote za Mission na taasisi zake zote,zilitaifishwa pamoja na shule zote na wataalamu wote wa kimisionari kufukuzwa au kufungwa! kwa wiki moja idadi ya madaktali 661 ilipungua hadi kufikia 60, wamisionaty wote walinyang'anywa nyumba zao, magari na walifukuzwa kazi popote walipo kitaalamu!
RENAMO ikiongozwa na Alfonso Drakama, walianzisha mapambano ya bunduki dhidi ya FRELIMO moja ya madai yao makubwa yalikuwa ni kurudisha uhuru wa wanamsumbiji wa kuabudu ambano samora alikataaa katakata akisaidiwa na majeshi ya CUBA.RENAMO walifanikiwa kidogo kuziokoa sehemu za kusini mwa msumbiji na hivyo kuja wapa watu ahueni ya kwenda kusali, kuwa na jumapili, pasaka na Xmass kurudihswa.
sasa, swali: viongozi wetu wa wamu ya kwanza , ambao walimuunga mkono Samora na sera zake zote hizo mbaya, wakimpelekea misaada ya kijeshi, pesa na wataalamu wa propaganda, je wanastahili kuitwa watakatifu?
Source:Ripoti ya balozi wa UN nchini msumbiji mwaka 1977. ambayo ipo katika kitabu kiitwacho: Ronald Reagan in his own hand. Kilichotungwa na Kiron K skinner, Anelise Anderson na Martin Anderson.
Ukienda bookshop yeyote pale Tanzania wape tittle hiyo na kama hawana basi watakuagizia.
My take: naomba sana balaza la maaskofu katoliki tanzania wakisome kitabu hichi page183-194, halafu wajiulize kwa nini viongozi wetu wa awwawamu ya kwanza walimuunga mkono samora huku akiwa na sera chafu za kufuta dini zote za kiislamu na kikristo nchini mwake. halafu watuelezee umma, utakatifu maana yake ni nini?