Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, hata huu wa Satta kwani ni mpya? OK nami kubishanaga siwezi, nasoma na kuweka like basiHahah duuh mjomba amejipanga na bundle la uhakika,maana baada ya kila dakiia 5 kuna ka uzi kapyaaaaa
Bahati mbaya siku hizi nasikia uvivu kubishana tu mkuu hahah.
Hapo hio ya ku-kopromaiziwa niliposomaga uzi wake nikauchekiiiiii afu nikasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ...........
Hahahaha, hata huu wa Satta kwani ni mpya? OK nami kubishanaga siwezi, nasoma na kuweka like basi
Ndio sifa yetu waafrika. Kubaguana. Especially tukiona mwenzetu amepiga hatua za maendeleo. Tunatumia nguvu kubwa kujidanganya nafsi, kama itakuwa rahisi kufikia alipofikia.Haya mambo haya yapo tu kila mahali. US walisema Obama siyo Mwamerika ni mhamiaji . Zambia kabla ya huyo Chiluba aliwahi kusema Kaunda si raia bali ni Mmalawi. Kwetu yanasemwa mengi . Zanzibar aliyeongoza mapinduzi wala siyo Mzanzibari !!.
Wenzetu wanaangalia kipaji utakachoifaidisha nchi na si asili. Africa tunakomaa na asili kipaji baadaye [emoji12][emoji2][emoji23][emoji1787]
umemsahau Method Mwanjalibaadhi ya ‘wazambia’ asili yao ni Tz hususan mkoa wa mbeya, nakumbuka baada ya ile ajali ya ndege iliyo wauwa wacheza soka wa timu ya taifa ya zambia, wachezaji3 miongoni mwao walimkuja kuzikwa mbeya kwa ‘wazazi’ Wao, zambia walienda kuganga njaa!
Wakati wa Alberto Fujimori auKafuatilie kilichotokea peru enzi hizo ndio utajua maana ya asili ya mtu
Wakati wa Alberto Fujimori auKafuatilie kilichotokea peru enzi hizo ndio utajua maana ya asili ya mtu
yule mzimbabwe ila mbeya naona majina mengi yana asili hadi cameroon huko hadi malawi na zambia na zimbabwe,majina kama mwanjali,mboma,banda....umemsahau Method Mwanjali
Mbowe itakuwa CameronHata meko ni mnyarwanda