Rais si mkweli, Mawaziri si wakweli, Mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na polisi wake SI WAKWELI.

Rais si mkweli, Mawaziri si wakweli, Mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na polisi wake SI WAKWELI.

Ukisoma coment za baadhi ya Watanzania ndipo utajua wengi hawana ufahamu ni vichwa tu havina kitu ndani serikali ya Tanzania kwenye bajeti ya mwaka mzima inatoa 40% nchi wahisani 60% mnavyonoa midomo mtapata wapi pesa ya kuendesha nchi , Zimbabwe walijaribu kuwagusa wazungu mpaka leo nchi haijakaa sawa kiuchumi , hawa wazungu hawagusiki , nchi ya Kenya hairuhusu ushoga na hata Kikwete kwenye utawala wake hajawahi kuruhusu ushoga lakini nchi wahisani hawajawahi kusitisha misaada , endeleeni kuchekelea wakati nchi yenu hata dawa ya minyoo mnategemea wazungu
 
kutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
Sasa kwani hajadanganya kwamba miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani wakati ni mkopo? I.e Ujenzi wa SGR? Daraja la Tazara pale walishindwa kukiri kwamba serikali ya Japan imetoa msaa kwa asilimia 95-98 ili waweze kuwalaghai wananchi kwamba nchi iko vizuri wakati si kweli...
 
Nilishangazwa pia na hotuba ya Professor Kabudi akiongea na Diaspora....Anadanganya kuwa muuaji wa Kennedy au MLK hakupatikana na anatafutwa hadi leo....Hivi unadanganya hadi kwenye kitu ambacho kipo wazi???? Huyu huyu alishasema tofauti kwenye bunge la katiba lakini alikuja kubadilika kwa nyuzi 360. Polepole naye alisema CCM haiwezi kushinda bila kuiba leo anafanya tofauti....wame-disown maneno yao.....wakiulizwa wanakuja juu...HIVYO KUNA CREDIBILITY KWA VIONGOZI WETU?
Mkuu kila siku anadanganya mara "tunafanya kwa pesa zetu" nk. Hakuna credibility kabisa kwa nchi za wenzetu wangejiuzulu na wasingechaguliwa kama wanagombea kwenye ofisi za umma.
Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????
Kuna kitu kinaitwa noble lie nenda kamsome Niccolle Machiavelli ktk kitabu chake The Prince.
 
Huenda ulikua na hoja nzuri
Ila Lugha ya Tutajuaje kama....... imekuharibia andiko lko
Umevuka mipaka
Unatakiwa uwe unatoa maoni ukitumia kichwa chako siyo hicho unachotumia, huu ujinga wa kutukuza viongozi na kuwa miunyu tutauacha lini?
Mtu anapo kuwa kiongozi habadiliki na kuwa malaika bila kuwasema hawa viongozi kuwa wanakosea kusema uongo itatusaidia nini. Yahaya Jamie alikuwa hivi baadae unajua aliyokuwa akiwafanyia huku kabeba msahafu.
Serikali kusema uongo na kutumia lugha za ubabe na kufedhesha watu siyo nzuri. Mbn mkuu anafanya vizuri nini kina mvuruga hata kupiga marisasi wanao jaribu kusaidia
 
Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????
Kuna kitu kinaitwa noble lie nenda kamsome Niccolle Machiavelli ktk kitabu chake The Prince.
CHADEMA inakujaje hapa ?
 
Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????
Kuna kitu kinaitwa noble lie nenda kamsome Niccolle Machiavelli ktk kitabu chake The Prince.

TUNAONGELEA SERIKALI HATUONGELEI VYAMA VYA SIASA, HIYO HAITATUHUSU UKIMWONGELEA SIJUI RUNGWE, MBOWE, ZITTO, MBATIA....KWANGU KINACHO-MATTER NI VIONGOZI WETU WA SERIKALI NDIYO TUNAWATAMBUA. KWANI VYAMA VYA SIASA VINATUSAIDIA NINI KWA SASA. HATA LOWASSA ANGEKUWEPO SERIKALINI NA ANAPOKEA MSHAHARA AMBAO NI KODI ZETU NA SISI NDIYO WAAJIRI WAKE, TUNGEMSEMA TENA KWA NGUVU ZOTE
 
Nilishangazwa pia na hotuba ya Professor Kabudi akiongea na Diaspora....Anadanganya kuwa muuaji wa Kennedy au MLK hakupatikana na anatafutwa hadi leo....Hivi unadanganya hadi kwenye kitu ambacho kipo wazi???? Huyu huyu alishasema tofauti kwenye bunge la katiba lakini alikuja kubadilika kwa nyuzi 360. Polepole naye alisema CCM haiwezi kushinda bila kuiba leo anafanya tofauti....wame-disown maneno yao.....wakiulizwa wanakuja juu...HIVYO KUNA CREDIBILITY KWA VIONGOZI WETU?
Mkuu kila siku anadanganya mara "tunafanya kwa pesa zetu" nk. Hakuna credibility kabisa kwa nchi za wenzetu wangejiuzulu na wasingechaguliwa kama wanagombea kwenye ofisi za umma.

Kabudi ni kama kasuku. Hana msimamo wake binafsi, anasema kile kitakachompendeza yule anayemlipa mshahara. Hasimamii taaluma hata siku moja. Kwenye Tume ya Katiba alikuwa analipwa na tume. Hivyo msimamo alisema katiba ya sasa ina mapungufu makubwa mno, na akasema kwamba CCM wanashupaza shingo kuikataa katiba pendekezwa. Sasa hivi analipwa na Jiwe, na jiwe hataki katiba ya wananchi, hivyo Kabudi anasema Katiba ya sasa ni nzuri mno. Huyo ndiye Kabudi.
 
Back
Top Bottom