Rais si mkweli, Mawaziri si wakweli, Mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na polisi wake SI WAKWELI.

Rais si mkweli, Mawaziri si wakweli, Mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na polisi wake SI WAKWELI.

kutokuwa mkweli ni neno pana, not being truthful kwa kukosea, wrongly, lakini kuwa muongo ni lier telling lies kudanganya.

Mfano kusema sukari ilikuwa TZS 5,000 au Saadam rais wa Kuwaiti ni kuteleza tuu ulimi by being not correct lakini sio kudanganya.
P.
Hahahahaaaaaaaah!! Tena wakati naingia madarakani sukari ilikuwa elfu 5, kwahiyo aliteleza hata kuingia madarakani? Pascal Pascal unapotea kidogi kidogo!?
 
Ndugu Mayalla, umenena ya kweli, Rais Dr Magufuli ingelikuwa( it would have been a blessing) ni baraka kwa Tanzania kama angalikuwa ndiye aliyeshika madaraka awamu ya tatu kwani ni mkweli na amehuzunishwa sana kwa viwanda na mashirika ya umma kuzikwa na awamu ya tatu na nne!msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. Viongozi walikuwa wamelewa madaraka wakawa wanakula bila hata kunawa mikono. Mfano wa ulevi wa madaraka ya kupindukia ni ujenzi wa ofisi za spika kujengwa na awamu ya nne kule Tabora!!!what a shame!!!!sasa je Spika Ndugai anaweze kujenga ofisi ya spika kule Kongwa/Mpwapwa??? Rais Magufuli angalimtafuna kwa meno! it can never ever happen under President Dr Magufuli!!! Huu ndiyo ukweli, Dr Magufuli yupo kwenye nyayo za Mwl Nyerere. Viongozi wanaficha pesa nchi za nje na kuziita vijisenti! Viongozi wanauza nchi na kuwaita wanaowatuhumu ‘TUMBILI’ unbelievable. Mwacheni Rais anyooshe taifa, kurudisha nidhamu makazini, kuheshimu madaraka. Kudos President Dr Magufuli - makosa madogomadogo yasikupe preshia, you are not an Angel.
Kuna uwanja wa ndege wa kimataifa uliogharimu zaidi ya bilioni 45 kule wilayani Chato unauzungumziaje huo uwanja nini athari yake kiuchumi kama taifa?
 
Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu. (mmmh aisee hiii paragraph imenichekesha sana duuh!!
 
Mkuu FM1, kwanza title ya bandiko kutokuwa mkweli ni tofauti na content ya kuwa muongo!.

Bila kuingilia uhuru wako wa maoni, japo nakiri inconsistency ya rais Magufuli katika baadhi ya mambo, lakini kiukweli kabisa ukimuondoa Mwalimu Nyerere, rais Magufuli ndiye rais wa pili wa Tanzania ambaye ni mkweli hadi kupindukia.

Rais Magufuli ni Mkweli Daima!. Jee Tumuunge Mkono Rais Wetu Katika Kila Ukweli Wake, Hata Kama Uko Kinyume cha Katiba, Sera na Ilani?. - JamiiForums

"Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?" - JamiiForums

P.
Kama angekuwa mkweli angekili kuwa ni yeye aliyeamuru Ben sa8 auawe, tl ashambuliwe nk.
 
sidhani kama kuna watu waongo hapa nchini kama wanasiasa wa upinzani, waliwahi kutuambia Lowasa ni fisadi baada ya hapo wakabadili angani wakaja na hadithi kuwa lowasa sio fisadi na wakamteua kuwa mgombea wao kwa nafasi ya Urais.
 
Uongo wa Watanzania huanzia kwenye familia na baadaye unakuwa wa jamii nzima.

Tuliambiwa hapa kwamba wakati serikali ya 5 ikiingia madarakani sukari ilikuwa kilo 5000 na wakashusha hadi 1800/2000.

Jambo hili ni baya sana.

Halafu , hivi mtu msema kweli anajipima yeye kuwa msema kweli? Anajitangaza yeye kuwa msema kweli? Siyo matendo na kauli zako vitakavyokufanya uonekane msema kweli?
Mkuu, hapo kwenye sukari huenda alisema ukweli, si unajua wao hua hawanunui chochote, hununuliwa kila kitu na serikali/sisi so huenda alikua hajui bei ya sukari kabla na baada, this is why!
 
Data za kukua kwa uchumi zinatolewa na Word Bank, BOT na TBS, ni numbers, and numbers don't lie. Kwenye ukuaji wa uchumi ni kweli uchumi wetu unakuwa kwa kasi ya asilimia 7%, sasa ukuaji huo unamfaidia nani hayo ni mengine.
hii ni issue ya uchunguzi wa kijinai ya kipolisi, kama unauhakika unajua kuwa anajua, na sio assumption tuu, karipoti kunako husika, ukiona hakuna hatua ndipo njoo ututhibitishie tuchagize apelekwe the Hague.

Hili ni issue ya jinai kila mtu anajua waliohusika ni watu wasiojulikana na jeshi letu la police linaendelea na uchunguzi. Sasa wewe mwenzetu kama unauhakika na haya kuwa unawajua hadi walio order, na ukitafutwa utathibisha, then lisaidie jeshi letu la polisi karipoti unachojua, kwenye hili la Lisu nilishauri.
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums

Kuhusu wasiojulikana hawa ni kina nani, tuli wa classify into two groups la wasiojulikana na 'wasiojulikana'

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums

Ila pia kufuatia Jeshi letu la polisi kutotoa mrejesho wowote, tukashauri humu kama serikali imeshindwa kuwabaini, iseme isaidiwe ila pia as a sign of good citizenship, una duty of care na obligation ya kuisaidia nchi yako jambo lolote ambalo unaweza kusaidia, hivyo nilitoa wito huu

WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi? - JamiiForums

Sikumbuki kama alisema ni fedha za ndani 100 %. Hata kama tunachangia asilimia moja then bado yuko right sio uongo.
P
Ahsante sana Paschal kwa maoni. Nilivyosoma andiko lako kidogo ilinishangaza nikajiuliza hivi ni huyu Paschal ninayemfahamu au mtu ame-hack jina lako na password yako au jana jumapili ulitoka happy hour ukachoka kidogo...Hizo ni assumptions zangu tu. Nisamehe kwa mawazo yangu.
(A) Kuhusu pointi yako namba moja ambayo unapingana nayo,
World Bank & African Development Bank wanahusika kufanya overview ya uchumi wote (Micro and Macro) Angalia Tanzania economy outlook ya mwaka 2018 inaonyesha uchumi unakua kwa 6.8% kwenye quarter hii ya mwisho uchumi utakua kwa asilimia 6.5. Kwa sisi watanzania uchumi unakuwa projected na BOT na NBS( National Bureau of Statistics) siyo TBS (Hii ni Tanzania Bureau of Standards ambayo ina kazi nyingine kabisa), Hawa wetu walikazania au walisisitiza kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 7.2 na ukipungua utakuwa kwa 7.1% Kimsingi waling'ang'ania kwenye "Status quo" na baada ya kupewa maelekezo kuwa wafanye hivyo (Ninayo hakika na ninayoyasema) au kesho yake watumbuliwe (Unakumbuka yaliyowatokea Ephraim Mafuru na Dr. Mwale Malecela?) Situngi hayo Bw. Paschal...Tukikutana siku moja tutaongea nina imani utanielewa. Niliongea na mkubwa wa Benki ya Dunia mwezi wa August akawa frustrated na jinsi hizo organisation zetu mbili kubwa zinazohusika kufanya overview ya uchumi yanavyofanya kazi.....Alisema "These projections are absolutely a lie" ukuaji wetu wa uchumi upo upande mmoja tu kwenye infrastructure development na utalii kwenye madini na kilimo kumeshuka sana....Hata hiyo 6.8% imekuwa buoyed na Infrastructure, kama tumekopa hizo pesa basi baada ya muda tutakuwa na nakisi kubwa ambayo tutapata shida kuweza kui-offset ukiongeza na hiyo misaada tunayoanza kunyimwa Nakisi lazima iongezeke.
(B) Pointi yako ya kutaka kusema hiyo issue ni ya kijinai na kama nafahamu nikaripoti polisi, hiyo imekosa substance na wewe unalijua hilo..Nikaripoti kwa polisi wa nchi ganii? Mbona hunitakii mema......au na wewe ni katika wale wale jamaa wanaopoteza watu...Hujaona waandishi wenzako wawili wa CPJ waliulizia kuhusu mwandishi mwenzao, walifanywa nini? Hadi dunia nzima ikapiga kelele ndiyo wakaachiwa...sina haja ya kuongelea hilo. Sidhani kama upo out of touch na haya yanayotokea au una sympathy na Msukuma mwenzio? Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba!
Mbona Makonda aliripotiwa na Meya wa Ubungo Mr. Boniface je hiyo kesi ina mwaka na nusu nini kimefanyika zaidi ya Meya Boniface kupewa vitisho na kunyanyaswa..Makonda amechukuliwa hatua kwa vyeti alivyofoji??? Wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu na unaelewa hali ya nchi yetu...Serikali yetu ni double standard, mwizi anamuua raia mwema (very hypocrite government) au hulioni hilo pia? Hata kipofu au kiziwi lazima alione hilo.
Paschal watu wanaogopa hata kwenda kupiga kura wanashikwa kwa just petty issues...au unabisha na hilo haijawahi kutokea wapiga kura wanajitokeza 20% ya waliojiandikisha...wanaogopa nchi imeshakuwa mbaya ni kwamba hawajatangaza Curfew tu.Nchi imeshakuwa mbaya, wewe upo immune kwa sababu ya jina lako.
(C) Mimi siwezi kuwajua wauaji kwa majina kwa sababu sikuwepo hapo walipoyafanya hayo lakini kuna Circumstantial evidence inayoonyesha state organs inahusika kwa 100%, Mfano kule kutekwa kwa Roma Mkatoliki ni kielelezo tosha watekaji ni kina nani wanahusika based na maswali waliyomuuliza na mazingira aliyokuta humo ndani...ashukuru Mungu wasanii walipiga kelele ndiyo ikawa salama yake la sivyo yangempata yaliyompata Ben Saanane au Azzory Gwanda. Ben Saanane alipotea siku mbili baada ya kupata vitisho kwenye simu yake kuwa ataona baada ya kuandika humu akiulizia uhalali wa Ph.D ya Magufuli (angalau bwana mkubwa alitufafanulia kuwa hiyo Ph. D ni halali na anafahamu Kiingereza kwani ndiyo lugha aliyoandikia Thesis/Dissertation yake japo hakuulizwa-Labda alisoma humu Jamiiforums au bado anakumbuka Ben Saanane alichoandika)
Mazingira yote ya mauaji ya watu wanaokotwa baharini kwa makumi kila siku na mamia kwa mwezi inaonekana ni kazi ya state organs hilo halipingiki...Hakuna mtu binafsi (individuals) wenye kuweza kutekeleza mauaji mengi kiasi hicho asifahamike zaidi ya state....MBONA WAKIOKOTA MAITI HIZO WANAZIKIMBIZA HAWATAFUTI NDUGU ZA MAREHEMU????? Walianza kule mto Rufiji kuua kwa execution style watu walivyoanza kuwa na wasiwasi wakasema ni Wa-ethiopia wanaozamia kwenda South Africa...kama hayo ni kweli mbona hawakupeleka maiti hizo au hawakuhusisha ubalozi wa Ethiopia? au UNHCR ? Umesema tuache upelelezi uendelee? UNA UHAKIKA? Hadi leo hakuna mtuhumiwa hata mmoja aliyekwisha patikana.
Yote yametokea na yanaendelea kutokea amiri jeshi mkuu wetu ambaye ndiye msimamizi mkuu wa vyombo vyetu vya usalama amenyamaza kimya...HATA NENO MOJA HAJATAMKA! Halafu anajigamba yeye ni mkristo kweli na tumuombee! Hakuna shaka kabisa wahusika wakuu ni vyombo vyetu vya usalama......Nakumbuka maneno ya Magufuli alivyosema "Wewe unapinga pinga tu halafu uachwe uka-survive tu"? Kisaikolojia unaweza kumjua mtu huyu atafanya nini. Nchi zingine pamoja na kuwa na cheo cha urais, angetakiwa kusaidia upelelezi!
(D) Upoteaji wa wanaompinga Magufuli, upigwaji risasi wa Tundu Lissu, na utekwaji wa Roma Mkatoliki, MO Dewji nk. Hili halihitaji uwe na Professor ndugu yangu Paschal, Lissu alishasema anafuatwa na usalama wa Taifa na mazingira yake ya kupigwa risasi yanaakisi hilo, wote waliokumbana na madhila ya kufuatwa fuatwa na kutekwa wakafanikiwa kurudi masimulizi yao ya kufuatwa na magari yanayotumika yanafanana....Aidha Noah Nyeusi au Nissan Nyeupe. Sehemu yenye ulinzi na askari mlangoni 24/7 na Camera kwenye jengo inakosekana askari halafu Camera inang'olewa....Ilipelekwa wapi? Na hao askari walikwenda wapi? vipi ananyimwa mtu matibabu aliyejeruhiwa akiwa kazini? hadi leo wamemsusa hata Speaker kwenda kumwangalia tu....Mategemeo yao asingepona.....Hilo limechafua hii serikali mno hata mteteaje hilo halitafutika. Halafu Mkuu wa polisi anauliza wananchi kama unavyoniuliza Bw. Paschal kuwa mwenye ushahidi alete!! C'mon' RPC Muroto kama mlikuwa na nia mngefunga barabara moja tu mngewapata hao mnaowatafuta lakini kwa vile mna sababu za kufanya hayo mliyoyafanya hakukuwa na umuhimu wa kuhangaika. KUPANGA NI KUCHAGUA. Paschal hivi unaongea na upo serious au unatania? Yaani upeleke information polisi....Katika mazingira haya wewe uliyepeleka kwa nia njema utakuwa mshtakiwa wa kwanza,bila aibu polisi watakusimamisha mbele ya Camera watanzania wataambiwa kuwa muuaji amepatikana. UNAYAJUA YOTE HAYA PASCHAL SIJUI KWANINI UNA-ACT TOFAUTI LEO.
Angalia tukio la kutekwa kwa MO Dewji, kuna mwenye akili timamu atakubaliana na IGP Sirro kwanza kuhusu mazingira ya kutekwa kwa MO? pili Watekaji kuwa wazungu wakati eye witness amesema ni watu waliojifunika nyuso kama wanne wala siyo wazungu (hao wazungu, Makonda ambaye hakuwepo aliwajuaje au nani alimwambia), na hao polisi walikimbilia kuchukua mkanda wa CCTV hapo Colloseum hotel mara baada ya utekaji huo feki ili waufanyie nini? Camera ya CCTV yenye kuchukua picha kama studio inawezaje kuwa ya kweli....hivi hiyo knowledge ya polisi mbona ipo ndogo namna hiyo......Hata kudanganya hawafahamu? Paschal utathubutu kupeleka information unazozifahamu kwa polisi wa namna hiyo kweli? Sarakasi yake ya kupatikana ni zaidi ya Bongo Movie...Karibu na Ikulu, kama futi 1000 kutoka IKULU yetu tukufu INAYOLINDWA MASAA 24 na askari waliosambaa hadi jirani lakini hawakujua....isitoshe na watekaji wameacha na kazi yao ya utekaji na kurudisha bunduki zao......UWONGO UWONGO UWONGO MTUPU.
(E) Unakumbuka sana alivyosema kuwa ni fedha zetu wenyewe hatusaidiwi....INA MAANA GANI? Kama hukumbuki kwa nini usi-google? Ndiyo maana najiuliza Paschal nini kimekupata leo....I hope hujatekwa ukalazimishwa uandike ulichokiandika. Ukichangia asilimia moja (1%) kama unavyosema hiyo siyo significant hata atakayejitapa atakuwa hanazo kichwani kwa sababu haitaleta maana ya FEDHA ZETU WENYEWE kwa msisitizo.
 
Uongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.

Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).

Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (forecast) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.

Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?

Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.

Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!

Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.

Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?

Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.

Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.

Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!

Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.
Kuna ukweli
 
Uongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.

Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).

Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (Projected) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.

Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?

Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.

Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!

Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.

Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?

Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.

Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.

Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!

Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.

RIP Lemutuz
 
Uongo umeshakuwa kitu cha kawaida katika nchi yetu, Serikali yetu haikuwahi kuaminika na itaendelea kutoaminika.

Rais si mkweli, mbabe, ukandamizaji wa haki za raia, matumizi mabaya ya madaraka, matumizi mabaya ya fedha za umma (Bado tunadaiwa mabilioni kama siyo matrillioni ya shillingi kutokana na tabia yake ya kukosa uvumilivu na kuvunja mikataba ovyo ovyo).

Mawaziri hawasemi ukweli kuanzia kwenye ukuaji wa uchumi hadi kwenye elimu ndiyo maana unasikia siku hizi tamko linatolewa halafu linafutwa utadhani linafanywa na watoto wa darasa la kwanza! Tunaambiwa uchumi unakua....kivipi? Bank ya dunia imeshasema haukui kama jinsi ilivyotabiriwa (Projected) serikali inasema unakuwa kwa 7.2% World Bank wanasema unakua chini ya 6.6% na ni sekta moja ya ujenzi ndiyo unakua kwingine kote hakuna ukuaji...hivyo hakuna uwiano wa ukuaji na wakifanya uchunguzi kwenye quarter hii inayokuja uchumi wetu unaweza ukawa umekuwa kwa asilimia chini ya 5.

Kwenye elimu huko nako wanajichanganya....ni propaganda tupu. Huyu waziri haeleweki anafanya nini? Anachofanya kwa ufanisi ni kuvifunga Vyuo vikuu badala ya kuvisaidia ili vikue....yeye anakomesha tu, Wahitimu wa darasa la saba wengi kwa malaki waliofaulu wamekosa nafasi ya kuingia kidato cha kwanza.....wanafunzi hawa watakuwa mitaani wakipigana vikumbo na wanafunzi wa vyuo vikuu binafsi na wa vyuo vya kati, na vya waalimu waliomaliza ambao hawana ajira kwa miaka mitatu sasa, TUMEAMBIWA HAKUNA KUAJIRI SASA HADI KIBALI KITAKAPOTOLEWA NA SASA IMESHAPITA MIAKA MITATU na hakuna mpango wa kuwasaidia, Hawa wahitimu watakaa bila kazi kwa miaka yote hii?

Serikali ikiambiwa hilo ni bomu linalosubiri kupasuka wanaanza kukamata hao wanaowakumbusha wajibu wao! Gavana wa benki kuu yeye kazi yake kufunga Mabenki badala ya kuyasaidia ili yakue yaweze kuwafikia wananchi hadi wa vijijini...... Gavana hana elimu ya fedha, alikuwa mwalimu wangu pale Mlimani.

Waziri wa Fedha anasema hali itakuwa ngumu kwa kuwa wafadhali wamepunguza misaada.....Hivi kweli kupunguza misaada tu kunaweza kufanya hali ikawa mbaya hivi? Hapo bado hawajakata misaada yote! Mbona tuliambiwa tunafanya miradi kwa PESA ZETU WENYEWE! Rais kasema kwa msisitizo kuwa pesa zipo sasa waziri anaongea nini? Mpango anatuambia kuwa masharti tuliyopewa ni kukubaliana na ushoga kitu ambacho si ukweli.......SHAME ON WAZIRI MPANGO!

Mbona kuna mambo kumi na tano (15) hataki kuyasema....anaona hilo moja la ushoga tu? Hata hilo la ushoga kama anavyosema huyo waziri halilazimishi nchi kuwatambua mashoga bali linataka lisivunje haki zao za msingi kama kuwakamata na kuwafunga....Mbona Makonda alitajwa? Hiyo sheria ya kuwakamata washukiwa wa ushoga inavunja haki za msingi za binadamu.
Kila waziri, wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wanaropoka angalau waonekane na Magufuli huku wananchi wakiumia.

Mkuu wa majeshi inaonekana naye ana taaluma ndogo (semi-illiteracy) anaingilia mambo ya polisi na mahakama wakati kazi ya jeshi inafahamika ni kulinda mipaka yetu siyo kusimamia ununuzi wa korosho, anafanywa mjinga na rais wake, jeshi linashushwa hadhi limekuwa la propaganda, Juzi akiongea bila aibu amesema jeshi letu kwa ubora ni la 27 duniani.....NI KWA UBORA UPI?

Jeshi hili lenye obsolete equipments kama ndege za mwaka 1965 za shenyang J-6 na J-7 ambazo hazitumiki tena duniani zipo kwenye museum, au helicopters (Eurocopters, bells)ambazo siyo "gunship" kwa strength tupo namba 98 na 99 kwa ubora, level moja na Sudan kusini, tumeshindwa na majirani zetu isipokuwa Burundi tu.

Mkuu wa majeshi kudanganya hakusaidii sana....uwe mkweli acha habari za kuokoteza au hisia zako.....Tafuta facts la sivyo utajiabisha na kuaibisha nchi yetu.

Mkuu wa polisi na polisi wake hawa ndiyo maarufu kwa kudanganya ila uwongo wao hauna akili hata kidogo....Hilo la MO Dewji limewaondolea heshima, utekaji feki mlioufanya hata kwenye michezo ya katuni ya watoto haupo.....Ahsanteni sana kwa kutupa moyo kuwa watekaji wa MO walimrudisha salama na bunduki zao.....HILO LINAWEZEKANA TANZANIA TU! Mmetuaminisha kuwa watekaji hao ni watu wema sana na wameshaacha uhalifu.....Vipi kuhusu vidole vyao (Fingerprints zao kwenye bunduki na kwenye hilo gari fake?) mmeshazipata? Mmetuacha hoi na hiyo CCTV zenu............Hongereni sana!

Makonda aliwaona wazungu wawili ila walibadilika baadaye wakawa wa- South Africa weusi......Kweli hiyo Bongo movie ni kali.
Tanzania tunarudi nyuma miaka 50. kwa uongozi huu wa Magufuli na wasaidizi wake.
Wanasiasa wakishakuwa hivi dawa ni kufanya kama Nigeria au Ghana ya miaka 1960 - 1990s. Ni kubadilishana Majenerali pale Ikulu.
 
Back
Top Bottom