Mkuu hicho kingereza umejifunzia wapi?.Ushauri jikite kwenye professional yako.kutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
"Uongo....zi" labda ndivyo uelewa wao unavyofikiria
Sasa kwani hajadanganya kwamba miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani wakati ni mkopo? I.e Ujenzi wa SGR? Daraja la Tazara pale walishindwa kukiri kwamba serikali ya Japan imetoa msaa kwa asilimia 95-98 ili waweze kuwalaghai wananchi kwamba nchi iko vizuri wakati si kweli...kutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
Hapo unajaribu na wewe kuhalalisha uongo kwa kujifanya unaelewesha kumbe unaongopa zaidikutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????Nilishangazwa pia na hotuba ya Professor Kabudi akiongea na Diaspora....Anadanganya kuwa muuaji wa Kennedy au MLK hakupatikana na anatafutwa hadi leo....Hivi unadanganya hadi kwenye kitu ambacho kipo wazi???? Huyu huyu alishasema tofauti kwenye bunge la katiba lakini alikuja kubadilika kwa nyuzi 360. Polepole naye alisema CCM haiwezi kushinda bila kuiba leo anafanya tofauti....wame-disown maneno yao.....wakiulizwa wanakuja juu...HIVYO KUNA CREDIBILITY KWA VIONGOZI WETU?
Mkuu kila siku anadanganya mara "tunafanya kwa pesa zetu" nk. Hakuna credibility kabisa kwa nchi za wenzetu wangejiuzulu na wasingechaguliwa kama wanagombea kwenye ofisi za umma.
Sina uhakika Paschal kama zina utofauti. Labda.....
kutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
Heading haina tatizo. Haihitaji kubadilishwa; labda kama unataka kuleta maana nyingine kwenye bandiko lako.Nikisema siyo mkweli nina maana kwa kiingereza "he is lying" Nitabadilisha heading.
Unatakiwa uwe unatoa maoni ukitumia kichwa chako siyo hicho unachotumia, huu ujinga wa kutukuza viongozi na kuwa miunyu tutauacha lini?Huenda ulikua na hoja nzuri
Ila Lugha ya Tutajuaje kama....... imekuharibia andiko lko
Umevuka mipaka
Ahsante sana. Noted.Heading haina tatizo. Haihitaji kubadilishwa; labda kama unataka kuleta maana nyingine kwenye bandiko lako.
CHADEMA inakujaje hapa ?Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????
Kuna kitu kinaitwa noble lie nenda kamsome Niccolle Machiavelli ktk kitabu chake The Prince.
Ishu ya Lowassa kuambiwa Fisadi na Chadema kwa miaka mingi lakini ghafla bin vuu 2015 Uchaguzi Mkuu Lowassa alibebewa bango na Viongozi pamoja na wanachadema wote kwamba anafaa kuingia Ikulu kuwaongoza Watanzania. Iko wapi Consistency unayoiongelea????
Kuna kitu kinaitwa noble lie nenda kamsome Niccolle Machiavelli ktk kitabu chake The Prince.
We jamaa muongo sana. Tatizo unajaribu kujipendekeza wakati huna hicho kipaji.kutokuwa mkweli ni not being correct, lakini muongo ni lier, cheater
P.
Alfajiri hii nimecheka sana, kama nawaona vile!.= liar
Tafsiri yako ya "kutokuwa mkweli" kwa Kingerea ni batili.
Ingependeza "not being truthful".
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nilishangazwa pia na hotuba ya Professor Kabudi akiongea na Diaspora....Anadanganya kuwa muuaji wa Kennedy au MLK hakupatikana na anatafutwa hadi leo....Hivi unadanganya hadi kwenye kitu ambacho kipo wazi???? Huyu huyu alishasema tofauti kwenye bunge la katiba lakini alikuja kubadilika kwa nyuzi 360. Polepole naye alisema CCM haiwezi kushinda bila kuiba leo anafanya tofauti....wame-disown maneno yao.....wakiulizwa wanakuja juu...HIVYO KUNA CREDIBILITY KWA VIONGOZI WETU?
Mkuu kila siku anadanganya mara "tunafanya kwa pesa zetu" nk. Hakuna credibility kabisa kwa nchi za wenzetu wangejiuzulu na wasingechaguliwa kama wanagombea kwenye ofisi za umma.
KIINGEREZA na sio KINGEREA= liar
Tafsiri yako ya "kutokuwa mkweli" kwa Kingerea ni batili.
Ingependeza "not being truthful".
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?