Rais sio mama aliyewanyonyesha watanzania. Anatakiwa asimamie nchi kwa mujibu wa katiba. Sio akikosea asikosolewe kisa ni mwananamke

Rais sio mama aliyewanyonyesha watanzania. Anatakiwa asimamie nchi kwa mujibu wa katiba. Sio akikosea asikosolewe kisa ni mwananamke

Tatizo linaanza wazee wazima wanapoita mama mama kama watoto wadogo wanaonyonya.
 
Nadhani huna akili timamu zaidi ya kumiliki simu janja huku ukiwa ni mburula.
Unafanya kazi nzito ya kujibizana na wachangiaji wa mada zako kila unapoweka wazo jipya hapa JF. Mtu mstaarabu anayejielewa hawezi kupoteza muda kujibishana na watu hovyo tu . Jiulize tatizo lako haswa ni lipi.
 
Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?

Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?

Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.

Hii kauli sio.
View attachment 2223614
Kunywa SUMU YA PANYA

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wa nchi nae kuzungumzia sana jinsia yake ni kutojiamini....

Apige kazi tu
 
Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?

Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?

Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.

Hii kauli sio.
View attachment 2223614
Kama nimemwelewa ametumia lugha ya picha kwamba akina mama wapo humble na wanakubali kuwa jirani na watoto wao kwa kila jinsi ili mradi kufikia malengo
 
Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?

Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?

Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.

Hii kauli sio.
View attachment 2223614
Kuna hata majini ya kike
 
Hii kumuita Rais Mama kila mahali ndio imetufikisha hapa.

Tumuiteni Rais ili akumbuke wajibu wake ila tukiendelea kumuita mama naye ataendelea kutambua kuwa ni Mama na sio Rais.
 
Kama yeye ni mama alitakiwa awe mfano,afanye makubwa kupita watangulizi wake.....
 
Nimeona mahala kwenye mitandao ya kijamii rais wa JMT anasema watu wasipambanae kisa tu eti yeye ni mama. Hapa nafikiri anataka kupindisha mambo. Kwanza nafikiri hakuna anayependa kupambana na mkuu wa nchi bali watu huwa wanataka mambo yeende sawa kwa mujibu wa katiba ya JMT.

Lakini kama rais akiwa na jinsia ya kike alafu akaonekana kuna fyongo anafanya ndio watu wasihoji kisa tu mama?

Yaani kama kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi na uzembe unafanyika tusihoji na kukosoa kisa tu ni rais mwanamke ambaye kwetu ni maka mama?

Hii kauli haiko sawa. Raisa simamia katiba na ondoa viongozi wasiofaa bila upendeleo. Kukosolewa sio mapambano.

Hii kauli sio.
View attachment 2223614
Ndiyo sababu Ndugai alimpiga spana kwa kulialia kuwa yeye ni mwanamke!
 
Back
Top Bottom