Rais Trump agoma kuvaa barakoa hadharani

Rais Trump agoma kuvaa barakoa hadharani

Kuvaa mask ni kati ya ujinga mwingine ambao tutakuja kujua ukweli wake baadaye. Trump na Magufuli hawajawahi kuvaa Barakoa, ni hatari kwa afya yako.
Teuzi za JPM zimefanikiwa kuunda genge la mazezeta Tz
 
Tunapoelekea tutaambiwa Trump amuiga Magufuli kuvaa suti, kila mmoja anautashi wake na maamuzi yake. Si lazima maamuzi yanapofanana kuwe kuna mmoja amemuiga mwenzake
 
Kwani ukivaaa mask ndio hupati Corona virus? Unaweza kuvaa na ukaipata kwa kutumia mikono yako. Acha kukariri.
Hata ukivaa helmet bado unaweza kufa kwa ajali ya pikipiki. Kwa hiyo tuache kuvaa helmet kwa sababu bado unaweza kufa kwa ajali.

Mimi hata ukunishikia AK 47 hicho chama chako siji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hiyo ni nini?????
Screenshot_20200522-100044_1590130911706.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom