Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

USA inakufa...ilijitoa UNESCO sasa WHO...mahakama ya kimataufa pia haimo...initoe hata kwenye UN...
Bado kujitoa DUNIANI tusasa Maana Hakuna Namna kwakweli.

Sent using My COVID-19
 
Hapo nimeonesha kwakiasi gan naujua nakuuelewa mchango wa US Duniani nanikakujibu kabisa kujitoa kwa US Kwenye WHO Kuna Athari

Ila bora alivyojitoa maana kuna wakati mtu mmoja akiwa anajua mda mtegemea kwenye kitu flan atataka awafanye kama kawaoa madhara yake ndio haya anayoyafanya US

Alijitoa UNESCO Sababu nn Na UNESCO Ipo Alipo Ambiwa Wanajeshi Wakw Wahalifu Akajitoa ICC Kisa Nn Akajitoa Katika Mkataba wahali Yahewa kisa Nini NaSasa kajitoa WHO Kisa Hakijulikani

Nawaambienu Huyu Bwege Atajitoa Mpaka Duniani Kama Hamuamini Haya

Sent using My COVID-19
Bwege, fala na matahira ni wale wavaa magauni wa Iran (mashia) ambao haeana msaada wowote kwa dunia.
 
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Wewe bana Dakota usome wewe...
Kichwani umebeba Maganda ya makebichi na Nyanya.

Familia yako inakufa kwa njaa huko Handeni wewe unamtetea trump hapa.
Sawa..!
 
Kaduguda, Hawa jamaa WHO ni wapuuzi sana, wanaelekea kuteketeza dunia kwa uoga wa kuiogopa china, wangestuka mapema na kutoa taarifa yote haya yasingetokea. Pia China anastahili adhabu kwa kuruhusu hii kirusi isambae duniani..

Kwasasa USA tunawaombe wache msaada uendelee tutakwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
China aliruhusu vipi corona isambae mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwege, fala na matahira ni wale wavaa magauni wa Iran (mashia) ambao haeana msaada wowote kwa dunia.
ww nataifa lako mna msaada gani nadunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

yaani kama msipo saidiwa hata kunywa maji hamuwezi[emoji23][emoji16][emoji2][emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
 
Chamsingi mkuu wa shirika la afya duniani alitakiwa kujiuzulu kwa kuipendelea China kipindi cha mlipuko. Halafu kakaa kimya kipindi hiki china inavyowanyanyapaa waafrika. Kaduguda,

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapu mbavu kama nyie mpo wachache siku hizi. Trump alipokuwa akiimba nyimbo za kubeza na kutukana akijidai corona haiwezi kuingia marekani alifikiri nini?
 
UMEANDIKA KWA TENSION SANA
Hivi ulitaka WHO amtambue TAIWAN as a NATION huku TAIWAN sio member wa UN (Recognized)
Pili usiji Trumplize mpaka ukajisahau Ufuasi usikusahaulishe kua Wingi wa kura zilimwangukia mpinzani wa Trump
Yani chombo kinachoangalia popularity na kuripoti obvious kingeakisi upande usio wa Trump hivyo Ushindi wa Trump ni suprise hasa kwa upande wa Dunia usioFamiliar na ElectroVote

Trump alishawishiUSA kwamba ameAct fast... issue za Research huwezi kulaumu taarifa zinapobadilika...coz hata sasa watu wanasearch taarifa bado.

Upo wrong on many areas

Electoral college NOT electrovote won trump the election

Wisconsin, Michigan, Pennsylvania cost hillary the election

In short you are very mis and under-informed..
 
ww nataifa lako mna msaada gani nadunia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

yaani kama msipo saidiwa hata kunywa maji hamuwezi[emoji23][emoji16][emoji2][emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
Taifa langu limeipa gesi China free!
Taifa langu limegawa sana rasilimali zake za madini kwa mataifa mengine.
.
Taifa langu limegawa maeneo mahotel makubwa makubwa ya foreigners yamejengwa hadi yenyewe haijui yamejengwaje
 
Yes kuwa Rais wa US ndiyo kuwa na akili, usifikiri watu smart kama akina Mark Zuckerberg, Bill gates, Elon Musk, Larry Page, nk wanaweza kuchagua kilaza kuwaongoza. Wewe kama unaona kukaa hapo Kariua na kuvuta tumbaku ndo una akili kuliko POTUS hizo tumbaku zako zinakudanganya.View attachment 1419525View attachment 1419526View attachment 1419527

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]..
ninecheka bure.
kwamba kuvuta tumbaku!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usishangilie mkuu,kwa Marekani kusitisha mchango kwa WHO ni pigo kwa dunia nzima hasa nchi changa,ukijua kazi ya hii organization kwa dunia hilo sio swala la kushangilia,na hasa ukichukulia kuwa marekani ndio wanaotoa mchango mkubwa zaidi ya nchi zote...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo nchi zinazofaidika na hao WHO, Zitoe michango kuziba hilo gap.
 
Kijana unakwamia wap ?!
Taifa langu limeipa gesi China free!
Taifa langu limegawa sana rasilimali zake za madini kwa mataifa mengine.
.
Taifa langu limegawa maeneo mahotel makubwa makubwa ya foreigners yamejengwa hadi yenyewe haijui yamejengwaje
Hao unawaona hawana maana wamewapa mambo mangapi QATAR

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom