haya mambo tunaona ni conspiracy theories ila iko siku yatakuwa wazi for everyone to see the truth.
Nendeni mkafanye research muone whats going on kati ya China,George Soros,Bill Gates,WHO,UNITAID,The so called CEPI,na makampuni mbalimbali yote yakiwa funded na Gates.
UNITAID ilianzishwa ili iweke utaratibu fulani ambao unawezesha developing countries kununua dawa kwa bei nafuu zaidi ya mataifa makubwa.
Punde kabla ya corona kuibuka na China nayo iliyo taifa kubwa ikaingizwa kwenye utaratibu huo wa kununua kwa bei ndogo,then ghafla corona ikaibukia China.
Haikudumu sana,ikapoa,ikaanza Ulaya na Marekani (kule ambako dawa zitauzwa kwa bei kubwa) ilikoleta uharibifu mkubwa kuliko China.
Tangu mwanzo China iliombwa kuelezea scale ya ugonjwa ikawa inaficha data.
Baada ya outbreak ndani ya China (kabla haijavuka mipaka) kuna wanasayansi wa kichina waliochunguza kirusi kwa haraka na kukielewa maumbile yake,kitu muhimu katika kuanzisha research za tiba na kinga.
Wataalamu wa US na wataalamu wengine nguli duniani wakaiomba China ifanye sharing ya hizo taarifa za kisayansi ili watu waanze kuhangaika nacho wakiwahi mapema kabla hakijaenea na kufika kwingine.China ikawapiga pini wanasayansi wake wote.
Wuhan laboratory ndio ilikuwa center ya research za virusi na manguli wa virusi na tiba zake wako hapo (its a level 4 lab).
Ndani ya wiki walishapata solution ya kudeal na coronavirus.
Wakapigwa pini,wakaondolewa wale seniors na jeshi likashika hatamu ya Wuhan lab chini ya meja jenerali!
Na hii ndio controversial lab inayonyooshewa kidole na every researcher wa hili jambo kuwa possibility ya chanzo cha tatizo.
Sasa goma limesambaa duniani mchina anatake leverage.
But is China alone?Kuna powers zozote behind China?!
Makampuni yanayofadhiliwa na Gates na wenzie yako bize kutengeneza Vaccines.
Soros na makampuni yake yaliyo na mizizi ndani ya China (kama vile GLD) pia yako bize na dawa ya kutibu.
Na hao wawili Gates na Soros wana syndicate fulani inayoonekana kwenye mambo mengi ya medical industry.
Ukiyafuatilia yana syndicate ndani ya China na WHO.
Anyway,tufuatilie but something fishy is going on in China.Yapo mengi ya kuandika hii topic.
Trump ana sababu.Kuna kitu,sio bure!
Nendeni mkafanye research muone whats going on kati ya China,George Soros,Bill Gates,WHO,UNITAID,The so called CEPI,na makampuni mbalimbali yote yakiwa funded na Gates.
UNITAID ilianzishwa ili iweke utaratibu fulani ambao unawezesha developing countries kununua dawa kwa bei nafuu zaidi ya mataifa makubwa.
Punde kabla ya corona kuibuka na China nayo iliyo taifa kubwa ikaingizwa kwenye utaratibu huo wa kununua kwa bei ndogo,then ghafla corona ikaibukia China.
Haikudumu sana,ikapoa,ikaanza Ulaya na Marekani (kule ambako dawa zitauzwa kwa bei kubwa) ilikoleta uharibifu mkubwa kuliko China.
Tangu mwanzo China iliombwa kuelezea scale ya ugonjwa ikawa inaficha data.
Baada ya outbreak ndani ya China (kabla haijavuka mipaka) kuna wanasayansi wa kichina waliochunguza kirusi kwa haraka na kukielewa maumbile yake,kitu muhimu katika kuanzisha research za tiba na kinga.
Wataalamu wa US na wataalamu wengine nguli duniani wakaiomba China ifanye sharing ya hizo taarifa za kisayansi ili watu waanze kuhangaika nacho wakiwahi mapema kabla hakijaenea na kufika kwingine.China ikawapiga pini wanasayansi wake wote.
Wuhan laboratory ndio ilikuwa center ya research za virusi na manguli wa virusi na tiba zake wako hapo (its a level 4 lab).
Ndani ya wiki walishapata solution ya kudeal na coronavirus.
Wakapigwa pini,wakaondolewa wale seniors na jeshi likashika hatamu ya Wuhan lab chini ya meja jenerali!
Na hii ndio controversial lab inayonyooshewa kidole na every researcher wa hili jambo kuwa possibility ya chanzo cha tatizo.
Sasa goma limesambaa duniani mchina anatake leverage.
But is China alone?Kuna powers zozote behind China?!
Makampuni yanayofadhiliwa na Gates na wenzie yako bize kutengeneza Vaccines.
Soros na makampuni yake yaliyo na mizizi ndani ya China (kama vile GLD) pia yako bize na dawa ya kutibu.
Na hao wawili Gates na Soros wana syndicate fulani inayoonekana kwenye mambo mengi ya medical industry.
Ukiyafuatilia yana syndicate ndani ya China na WHO.
Anyway,tufuatilie but something fishy is going on in China.Yapo mengi ya kuandika hii topic.
Trump ana sababu.Kuna kitu,sio bure!