Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

haya mambo tunaona ni conspiracy theories ila iko siku yatakuwa wazi for everyone to see the truth.

Nendeni mkafanye research muone whats going on kati ya China,George Soros,Bill Gates,WHO,UNITAID,The so called CEPI,na makampuni mbalimbali yote yakiwa funded na Gates.

UNITAID ilianzishwa ili iweke utaratibu fulani ambao unawezesha developing countries kununua dawa kwa bei nafuu zaidi ya mataifa makubwa.

Punde kabla ya corona kuibuka na China nayo iliyo taifa kubwa ikaingizwa kwenye utaratibu huo wa kununua kwa bei ndogo,then ghafla corona ikaibukia China.

Haikudumu sana,ikapoa,ikaanza Ulaya na Marekani (kule ambako dawa zitauzwa kwa bei kubwa) ilikoleta uharibifu mkubwa kuliko China.

Tangu mwanzo China iliombwa kuelezea scale ya ugonjwa ikawa inaficha data.

Baada ya outbreak ndani ya China (kabla haijavuka mipaka) kuna wanasayansi wa kichina waliochunguza kirusi kwa haraka na kukielewa maumbile yake,kitu muhimu katika kuanzisha research za tiba na kinga.

Wataalamu wa US na wataalamu wengine nguli duniani wakaiomba China ifanye sharing ya hizo taarifa za kisayansi ili watu waanze kuhangaika nacho wakiwahi mapema kabla hakijaenea na kufika kwingine.China ikawapiga pini wanasayansi wake wote.

Wuhan laboratory ndio ilikuwa center ya research za virusi na manguli wa virusi na tiba zake wako hapo (its a level 4 lab).
Ndani ya wiki walishapata solution ya kudeal na coronavirus.
Wakapigwa pini,wakaondolewa wale seniors na jeshi likashika hatamu ya Wuhan lab chini ya meja jenerali!

Na hii ndio controversial lab inayonyooshewa kidole na every researcher wa hili jambo kuwa possibility ya chanzo cha tatizo.

Sasa goma limesambaa duniani mchina anatake leverage.
But is China alone?Kuna powers zozote behind China?!

Makampuni yanayofadhiliwa na Gates na wenzie yako bize kutengeneza Vaccines.

Soros na makampuni yake yaliyo na mizizi ndani ya China (kama vile GLD) pia yako bize na dawa ya kutibu.

Na hao wawili Gates na Soros wana syndicate fulani inayoonekana kwenye mambo mengi ya medical industry.

Ukiyafuatilia yana syndicate ndani ya China na WHO.

Anyway,tufuatilie but something fishy is going on in China.Yapo mengi ya kuandika hii topic.

Trump ana sababu.Kuna kitu,sio bure!
 
haya mambo tunaona ni conspiracy theories ila iko siku yatakuwa wazi for everyone to see the truth.

Nendeni mkafanye research muone whats going on kati ya China,George Soros,Bill Gates,WHO,UNITAID,The so called CEPI,na makampuni mbalimbali yote yakiwa funded na Gates.

UNITAID ilianzishwa ili iweke utaratibu fulani ambao unawezesha developing countries kununua dawa kwa bei nafuu zaidi ya mataifa makubwa.

Punde kabla ya corona kuibuka na China nayo iliyo taifa kubwa ikaingizwa kwenye utaratibu huo wa kununua kwa bei ndogo,then ghafla corona ikaibukia China.

Haikudumu sana,ikapoa,ikaanza Ulaya na Marekani (kule ambako dawa zitauzwa kwa bei kubwa) ilikoleta uharibifu mkubwa kuliko China.

Tangu mwanzo China iliombwa kuelezea scale ya ugonjwa ikawa inaficha data.

Baada ya outbreak ndani ya China (kabla haijavuka mipaka) kuna wanasayansi wa kichina waliochunguza kirusi kwa haraka na kukielewa maumbile yake,kitu muhimu katika kuanzisha research za tiba na kinga.

Wataalamu wa US na wataalamu wengine nguli duniani wakaiomba China ifanye sharing ya hizo taarifa za kisayansi ili watu waanze kuhangaika nacho wakiwahi mapema kabla hakijaenea na kufika kwingine.China ikawapiga pini wanasayansi wake wote.

Wuhan laboratory ndio ilikuwa center ya research za virusi na manguli wa virusi na tiba zake wako hapo (its a level 4 lab).
Ndani ya wiki walishapata solution ya kudeal na coronavirus.
Wakapigwa pini,wakaondolewa wale seniors na jeshi likashika hatamu ya Wuhan lab chini ya meja jenerali!

Na hii ndio controversial lab inayonyooshewa kidole na every researcher wa hili jambo kuwa possibility ya chanzo cha tatizo.

Sasa goma limesambaa duniani mchina anatake leverage.
But is China alone?Kuna powers zozote behind China?!

Makampuni yanayofadhiliwa na Gates na wenzie yako bize kutengeneza Vaccines.
Ukiyafuatilia yana syndicate ndani ya China na WHO.

Anyway,tufuatilie but something fishy is going on in China.Yapo mengi ya kuandika hii topic.

Trump ana sababu.Kuna kitu,sio bure!
Sababu inaweza ikawepo lakini sidhanii kama inaweza ikawa kama hv ulivyo elezea.

Sent using My COVID-19
 
Sababu inaweza ikawepo lakini sidhanii kama inaweza ikawa kama hv ulivyo elezea.

Sent using My COVID-19
Hii ni tip tu mkuu.Something big is behind it.Go and do a research.
Muda utazungumza.Ntakuja kukukumbusha huu uzi muda ukifika.You will see the connection with my post.
 
Boss niko Dakota county, Minnesota. nasoma chuo kimoja hamna hata population kubwa eneo hili.
.
Embu nitajie basi hiyo mitaa hata kama ni nje ya hili jimbo (japo silijui sehemu kubwa) naweza kuuliza kwa wenyeji nikapata picha nikaweka hapa

Miaka ilopita masanja mchekeshaji alienda marekani jimbo moja hivi akaenda hadi vijijin aisee huko vijijin kuna kila kitu nyumba zimepangiliwa vizuri maji ya uhakika kila kitu barabara za lami
Masanja akasema jamani nipo eti kijijini alikuwa anashangaa balaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ilopita masanja mchekeshaji alienda marekani jimbo moja hivi akaenda hadi vijijin aisee huko vijijin kuna kila kitu nyumba zimepangiliwa vizuri maji ya uhakika kila kitu barabara za lami
Masanja akasema jamani nipo eti kijijini alikuwa anashangaa balaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi niliko ni chuo cha kilimo kipo kijijini lakini ni posta ya Dar utofauti ni kwamba huku kwa sasa ni barafu tupu we play soccer on ice!
 
Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19.

Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia wajitafakari wakati US ikiendelea kufanya uchunguzi wake.

Mtazamo wangu: Ngoma ndio kwanza imeanza, japo wataalamu wanaona hii ni mbinu mbadala ya ku-deviate lawama ambazo wamarekani wamekuwa wakizielekeza kwenye utawala wake kwa kuchelewa kuchukua hatua juu ya ugonjwa huo.

=======

President Donald Trump announced Tuesday he is halting funding to the World Health Organization while a review is conducted.

Trump said the review would cover the WHO's "role in severely mismanaging and covering up the spread of coronavirus."

Trump's announcement comes in the middle of the worst global pandemic in decades and as he angrily defends his own handling of the outbreak in the United States.

Amid swirling questions about whether he downplayed the crisis or ignored warningsfrom members of his administration about its potential severity, Trump has sought to assign blame elsewhere, including at the WHO and in the news media.

The US funds $400 million to $500 million to the WHO each year, Trump said, noting that China "contributes roughly $40 million."

"Had the WHO done its job to get medical experts into China to objectively assess the situation on the ground and to call out China's lack of transparency, the outbreak could have been contained at its source with very little death," Trump said.

His decision to withdraw funding from the WHO follows a pattern of skepticism of world organizations that began well before the coronavirus pandemic. Trump has questioned US funding to the United Nations, withdrawn from global climate agreements and lambasted the World Trade Organization -- claiming all were ripping off the United States.

Democratic Sen. Chris Murphy of Connecticut, who serves on the Senate Foreign Relations Committee, said earlier Tuesday that while the WHO and China "made mistakes," Trump is also looking to deflect blame from his own administration.

"Right now, there is a very coordinated effort amongst the White House and their allies to try to find scapegoats for the fatal mistakes that the President made during the early stages of this virus," he said.

Murphy added: "It is just wildly ironic that the President and his allies are now criticizing China or the WHO for being soft on China when it was in fact the President who was the chief apologist for China during the early stages of this crisis."

Trump said Tuesday if the WHO had acted appropriately, he could have instituted a travel ban on people coming from China sooner.

He said the WHO made a "dangerous and costly" decision to oppose travel restrictions from China.

But just days before Trump instituted his ban on travelers from China, he also was praising the country.

On January 24, Trump tweeted: "China has been working very hard to contain the Coronavirus. The United States greatly appreciates their efforts and transparency. It will all work out well. In particular, on behalf of the American People, I want to thank President Xi!"

Later Tuesday, US Secretary of State Mike Pompeo echoed Trump's criticism of the WHO, but did not specifically react to the announcement that the US would withhold funds from the global body.

"We need answers to these questions, we need transparency and we need the World Health Organization to do its job, to perform its primary function, which is to make sure that the world has accurate, timely, effective, real information about what's going on in the global health space, and they didn't get that done here," Pompeo said in an interview with Fox News' Sean Hannity.

Pompeo had reiterated the administration's dissatisfaction with the international organization amid the coronavirus pandemic in a series of interviews prior to the President's announcement.

"The World Health Organization in its history has done some good work. Unfortunately, here it didn't hit the top of its game, and we need to make sure that we push through efforts to fundamentally change that or make a different decision that says we're going to do our part to make sure that these important world health obligations, things that frankly keep Americans safe too, actually function," Pompeo said in an interview with "Good Morning Orlando."

And just weeks earlier, Pompeo and the State Department had highlighted the US contribution to the global pandemic response, including its role as "the largest supporter of the World Health Organization since its creation in 1948."

Tuesday's announcement about the halting of funding came days after a major US ally -- the United Kingdom -- announced an additional £65 million contribution to the WHO.

The move to freeze the funding is the latest in a series of administration actions against international multilateral organizations. Prior to the pandemic, the administration's fiscal year 2021 proposal laid out a $65 million cut to the World Health Organization -- a more than 50% decrease over FY20.

Trump halts World Health Organization funding over handling of coronavirus outbreak
There are 21 seniors WHO directors (of all health experts) from different countries, More than Half are from America, Canada and Europe another 9 members are from other countries (Japan, Korea etc). There is only 1 from China.
How the hell can WHO be consider China centric???.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
There are 21 seniors WHO directors (of all health experts) from different countries, More than Half are from America, Canada and Europe another 9 members are from other countries (Japan, Korea etc). There is only 1 from China.
How the hell can WHO be consider China centric???.


Sent using Jamii Forums mobile app
akikujibu unitag.

Sent using My COVID-19
 
Wewe huna staha wala busara hata kidogo.

Do you give money to an unbiased organization that is biased? Probably not. Take Trump out of the equation. Now pretend you are a CEO or COO You’re company is relying on truthful info, and your competitor has just covered up a scandal that can physically hurt not just your company but all the people that work for you, their families, and friends, and any strangers they come in contact with. This includes all of the people you sell a product to, including distributors around the world. Huge impact. It’s a domino effect. Now... what were you saying?
.
BTW i reported your comment to Mods
hahhahah foolish you! naenda kukusemea kwa babaaaa...ndio akina nyie hapo ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi ukawa na akili nyingi alafu ukawa huna pesa nyingi!
.
Donald Trump senior na Jr wote wana B.S in economics what do you got?
Jr ni businessman mkubwa sana wewe na ukoo mna nini?
Senior ni Tajiri mkubwa sana nyie mna nini?
.
Nakuuliza haya maswali kwa sababu kuu moja umesema ni tahira na hana akili.
Borron William Trump unaweza ukawa unamzidi nini labda? I wonder
we msengenyo una dharau sana, eti ukoo una nini, utafikiri wewe una kitu hapo ulipo kumbe choka mbaya tu umekaa juu ya mawe, kinyago cha mpapure wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He is doing this because DG is from Africa

Bara ambalo halina mchango wowote zaidi ya kueneza magonjwa duniani kwa kutegemea kusali Mungu badala ya kufuata taratibu za kitaalam. We are not serious about anything.

Miezi mitatu baada ya kuingia madarakani Tedros alimteua MUGABE kuwa balozi wa WHO wa dunia, moto ukawaka dunia nzima, akamchomoa almost immediately!

Lenyewe Tedros lilikuwa KABUDI la foreign affairs wa Ethiopian dictatorships for many years.

Wa Ethiopia wenyewe walisema mikono yake imejaa damu yetu, waliandamana huyu KABUDI asipite, lakini akatetewa na kura ya CHINA, akapita. Sasa Trump anamng'oa.
 
Bara ambalo halina mchango wowote zaidi ya kueneza magonjwa duniani kwa kutegemea kusali Mungu badala ya kufuata taratibu za kitaalam. We are not serious about anything.

Miezi mitatu baada ya kuingia madarakani Tedros alimteua MUGABE kuwa balozi wa WHO wa dunia, moto ukawaka dunia nzima, akamchomoa almost immediately!

Lenyewe Tedros lilikuwa KABUDI la foreign affairs wa Ethiopian dictatorships for many years.

Wa Ethiopia wenyewe walisema mikono yake imejaa damu yetu, waliandamana huyu KABUDI asipite, lakini akatetewa na kura ya CHINA, akapita. Sasa Trump anamng'oa.
Akilie changa inakusumbua ukikuwa utaacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom