Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Hayo maamuzi siyo ya Tramp, Ni kundi la watu la watu wenye malengo tofauti na hii Dunia, Tramp Yeye kama msemaje
Iran wamezuia misaada na America kupambana na Ugonjwa.
Wamezuia misaada ili watu wafe,
Hakuna atakaye kufaa watu wanaohusiana na mm watakufaa wao
 
Boss niko Dakota county, Minnesota. nasoma chuo kimoja hamna hata population kubwa eneo hili.
.
Embu nitajie basi hiyo mitaa hata kama ni nje ya hili jimbo (japo silijui sehemu kubwa) naweza kuuliza kwa wenyeji nikapata picha nikaweka hapa
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Wewe bana Dakota usome wewe...
Kichwani umebeba Maganda ya makebichi na Nyanya.

Familia yako inakufa kwa njaa huko Handeni wewe unamtetea trump hapa.
 
Kwan kuna nchi gan inashindwa kuishi, mfano Bakhresa anaishi na pia yule maskin wa chini kabisa hapa bongo naye anaishi ila cha Moto anakiona,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa za Trump ni siasa za kijinga. Yeye aliwandanganya wananchi wake kwa takriban miezi miwili na kisha akapeleka msaada China na kuwasifia. Sasa maji yako shingoni anajidai kuchukua hatua ambazo zitadhoofisha mapambano dhidi ya korona kidunia. Marekani wamepatikana kweli kweli.
 
Tunautofauti mkubwa sana wa kihali ya hewa na Ecuador. Wao leo jtano joto ni 9C kwetu ni 29C

Sikuwa specific nilikuwa namaanisha mji wa guayaquil walipokuwa hit hard... walipokuwa wanaongelea BBC wakawa wanasema average temperature in a year ni 30 celcius kwahiyo kwamba belief kuwa corona haifanyi well kwenye hot ni uwongo n.a. leo guayaquil ni 24 celcius
 
Bosi kachomoa betri kidogo tu wapenda vitongo sasa povu linawatoka, kama mna mbavu si mchangie na nyie pesa zenu[emoji38][emoji38][emoji38]. Mchina atoe hiyo pesa kufidia hilo gap, mnavyolialia hapa Kwan Trump ni baba yenu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UMEANDIKA KWA TENSION SANA
Hivi ulitaka WHO amtambue TAIWAN as a NATION huku TAIWAN sio member wa UN (Recognized)
Pili usiji Trumplize mpaka ukajisahau Ufuasi usikusahaulishe kua Wingi wa kura zilimwangukia mpinzani wa Trump
Yani chombo kinachoangalia popularity na kuripoti obvious kingeakisi upande usio wa Trump hivyo Ushindi wa Trump ni suprise hasa kwa upande wa Dunia usioFamiliar na ElectroVote

Trump alishawishiUSA kwamba ameAct fast... issue za Research huwezi kulaumu taarifa zinapobadilika...coz hata sasa watu wanasearch taarifa bado.
 
USA inakufa...ilijitoa UNESCO sasa WHO...mahakama ya kimataufa pia haimo...initoe hata kwenye UN...
 
Wakati kama huu ndo tunaona umuhimu wa viongozi kutoka nchini mwao ...imagine who imekuwa na limited funds si itabidi tuwageukie mabeberu
 
Asichokijua huyo unayebishana naye ni kuwa, wewe ni mwehu.

Kama ungekuwa na akili usingeweza kufikiri achilia mbali kumuita Trump ni Tahahira.
Uzuri wawehu hua tunajua kumbe tuko wengi ahsante ndugu yang kmbe na ww upo Jf unakaribia kupona kama mm

Sent using My COVID-19
 
Appreciate mchango wa America kwa dunia.
Hapo nimeonesha kwakiasi gan naujua nakuuelewa mchango wa US Duniani nanikakujibu kabisa kujitoa kwa US Kwenye WHO Kuna Athari

Ila bora alivyojitoa maana kuna wakati mtu mmoja akiwa anajua mda mtegemea kwenye kitu flan atataka awafanye kama kawaoa madhara yake ndio haya anayoyafanya US

Alijitoa UNESCO Sababu nn Na UNESCO Ipo Alipo Ambiwa Wanajeshi Wakw Wahalifu Akajitoa ICC Kisa Nn Akajitoa Katika Mkataba wahali Yahewa kisa Nini NaSasa kajitoa WHO Kisa Hakijulikani

Nawaambienu Huyu Bwege Atajitoa Mpaka Duniani Kama Hamuamini Haya

Sent using My COVID-19
 
Unashindwa kumuona raisi wako taahira anaewaambia msali kutokomeza corona unavuka maji na kumuona us president ndio taahira.


Una kichaa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kama mm nna kicha kinaweza kikawa moja yakigezo chakujuana vichaa ahsante kichaa mwenzangu

Sent using My COVID-19
 
Kwan kuna nchi gan inashindwa kuishi, mfano Bakhresa anaishi na pia yule maskin wa chini kabisa hapa bongo naye anaishi ila cha Moto anakiona,

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ukione chamoto ukiwa unaishi kwamaamuzi yako kuliko kuishi kwa ufakhari ila ukiwa chini yamashinikizo

IRAN Washajigomboa wewe nataifa lako sijajua mpaka sasa mnakwamia wapi.

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hata UNESCO ICC Nakwengine Alijitoa ila maisha yaliendelea kama kawaida Kile kibabu kinamichezo yakitoto sana asee na US Itaangukia Mikononi Mwake Labda Asirejelee Tena Madarakani

Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…