Rais Trump awapa wiki tatu ukraine na Ulaya kumaliza vita

Rais Trump awapa wiki tatu ukraine na Ulaya kumaliza vita

Kwa sababu hii nilidhani Ukraine yote ilipaswa kuwa mikononi mwa Urusi.

Kwanin Urusi iwe dude kubwa baada ya Trump kuingia madarakani?
Tumia akili kufikiri sio kipaji chakubishana ulichojaaliwa.

Unadhan Urusi angekuwa dhaifu Marekani ingekaa nae chini kujadili amani au ingetumia nguvu za kijeshi.

Je Europe nao wangeona Putin dhaifu wangeishia kuchangia silaha na kushiriki vita kificho.Unadhan kwanini hawakutangaza vita kamili na mrusi maana wanamuona ni muonevu kwa ukraine.

Mbona kina Gadaffi hawakuitwa mezani wajadili amani ya Libya,Iraq ya Saddam je.
 
Tumia akili kufikiri sio kipaji chakubishana ulichojaaliwa.

Unadhan Urusi angekuwa dhaifu Marekani ingekaa nae chini kujadili amani au ingetumia nguvu za kijeshi.

Je Europe nao wangeona Putin dhaifu wangeishia kuchangia silaha na kushiriki vita kificho.Unadhan kwanini hawakutangaza vita kamili na mrusi maana wanamuona ni muonevu kwa ukraine.

Mbona kina Gadaffi hawakuitwa mezani wajadili amani ya Libya,Iraq ya Saddam je.
Jibu swali kwanini Ukraine haipo mikononi mwa Urusi mpaka sasa? Hayo mengine hayatuhusu.
 
Jibu swali kwanini Ukraine haipo mikononi mwa Urusi mpaka sasa? Hayo mengine hayatuhusu.
Kwani Putin alisema anataka Ukraine yote iwe mikononi mwake au majimbo ya wanaoonewa ndio alitaka yawe upande wake.

Je amefanikiwa hilo au hajafanikiwa.

Tusiandike mipasho tuandike uhalisia wa mqmbo.

Mna ile propaganda yenu ya masaa 72 sijui nani alisema hilo.

Trump ni raisi wa marekani ila anakwambia Urusi hakuamua kuisambaratisha Ukraine ila kama angeamua angeweza kufanya hilo.

Wewe na Trump unadhani nani anaijua zaidi Marekani,Urusi na Ukraine.?
 
Donald Trump hawezi kumsaliti swahiba wake Vladmir Putin. Jambo hili lilitarajiwa mapema kabisa baada tu Trump kushinda uchaguzi. Zelensky hawezi kuamini kinachoendelea kutokea.
 
Kwani Putin alisema anataka Ukraine yote iwe mikononi mwake au majimbo ya wanaoonewa ndio alitaka yawe upande wake.

Je amefanikiwa hilo au hajafanikiwa.

Tusiandike mipasho tuandike uhalisia wa mqmbo.

Mna ile propaganda yenu ya masaa 72 sijui nani alisema hilo.

Trump ni raisi wa marekani ila anakwambia Urusi hakuamua kuisambaratisha Ukraine ila kama angeamua angeweza kufanya hilo.

Wewe na Trump unadhani nani anaijua zaidi Marekani,Urusi na Ukraine.?
Sina uhakika kama unajua unachoandika na unaelewa vizuri kuhusu huu mgogoro ukiweka mahaba upande fulani na ukaacha facts utaendelea kuonekana kilaza.
 
Jibu swali kwanini Ukraine haipo mikononi mwa Urusi mpaka sasa? Hayo mengine hayatuhusu.
Urusi alikuwa anapigania Jimbo la Crimea, na eneo la kusini mwa Urusi la Donbas lenye raia wengi wenye asili ya Urusi. Na katika hilo amefanikiwa kwa zaidi ya 90%.

Alichobakiza kwa sasa ni kumuondoa tu Zekensky na wapambe wake kuongoza Ukraine, na hivyo kuweka serikali tiifu kwa yeye Putin, na nchi yake Urusi.
 
Urusi alikuwa anapigania Jimbo la Crimea, na eneo la kusini mwa Urusi la Donbas lenye raia wengi wenye asili ya Urusi. Na katika hilo amefanikiwa kwa zaidi ya 90%.

Alichobakiza kwa sasa ni kumuondoa tu Zekensky na wapambe wake kuongoza Ukraine, na hivyo kuweka serikali tiifu kwa yeye Putin, na nchi yake Urusi.
To make story short Putin anaitaka Ukraine as whole kwanini bado hajaichukua kwa miaka 2 sasa? Ukiacha Crimea na Donbas ambayo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa?
 
Kwani Putin alisema anataka Ukraine yote iwe mikononi mwake au majimbo ya wanaoonewa ndio alitaka yawe upande wake.

Je amefanikiwa hilo au hajafanikiwa.

Tusiandike mipasho tuandike uhalisia wa mqmbo.

Mna ile propaganda yenu ya masaa 72 sijui nani alisema hilo.

Trump ni raisi wa marekani ila anakwambia Urusi hakuamua kuisambaratisha Ukraine ila kama angeamua angeweza kufanya hilo.

Wewe na Trump unadhani nani anaijua zaidi Marekani,Urusi na Ukraine.?
Mjomba jamaa atakupasua kichwa yeye anajificha kwenye neno moja moja.Mpotezeetu
 
To make story short Putin anaitaka Ukraine as whole kwanini bado hajaichukua kwa miaka 2 sasa? Ukiacha Crimea na Donbas ambayo kwa kiasi kikubwa amefanikiwa?
Kwa mtazamo wangu mimi nadhani lengo kuu la Putin ni kutaka kumuweka Rais mtiifu na mwaminifu kwake kuongoza Ukraine! Na jambo hili alilifanya mwaka 2014!

Ila kwa bahati mbaya yule Rais aliondolewa kupitia mapinduzi yaliochagizwa na nchi za Magharibi. Na matokeo yake ndiyo haya sasa kuchukua kimabavu maeneo ya Ukraine yenye raia wengi wanaozungumza lugha ya Kirusi.
 
Kwa mtazamo wangu mimi nadhani lengo kuu la Putin ni kutaka kumuweka Rais mtiifu na mwaminifu kwake kuongoza Ukraine! Na jambo hili alilifanya mwaka 2014!

Ila kwa bahati mbaya yule Rais aliondolewa kupitia mapinduzi yaliochagizwa na nchi za Magharibi. Na matokeo yake ndiyo haya sasa kuchukua kimabavu maeneo ya Ukraine yenye raia wengi wanaozungumza lugha ya Kirusi.
Big Up. Umejibu kisomi sana na nimepata kitu kipya.
 
Rais wa Marekani Donald Trump amewaeleza Ulaya na Ukraine hataki kuona vita inaendelea Ukraine badala yake ametoa muda wa siku 21 kuanzia tatehe ya tamko vita viishe au vinginevyo atajitoa katika ushirika na Ulaya, hayo yamethibitishwa na mjumbe wa Ulaya Mika Aalota
Trump kichaa
 
Sina uhakika kama unajua unachoandika na unaelewa vizuri kuhusu huu mgogoro ukiweka mahaba upande fulani na ukaacha facts utaendelea kuonekana kilaza.
Mimi na wewe nani anaonesha mahaba kiongozi.

Maana haukubali ukweli ambao Trump yupo Marekani na Raisi anaejua siri nyingi anaukubali huo ukweli ila wewe kutoka Mpekenyela ndio unaukataa.
 
Back
Top Bottom