Rais Trump: Rekodi zake si mchezo

 
Sema jamaa hajakutana na mademu wa kibongo amuulize idriss sultan
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hivi marekan itakuwa haina material za kina wema
 
Yeah!
Kwa watu makini lazima utagundua huyu mtu anauwezo mkubwa sana.
Japo hilo la kushindwa midahalo yote siliafiki ingawa umeeleza hio ni dhana kuwa alishindwa ila kiukweli mie niliangalia LIVE Midahalo miwili alidhihirisha uwezo wake na alimshinda kabisa Clinton.

Japo kwa mtazamo wa wengi walitaka Mpaka huku Kwetu Bongo walitaka Clinton ashinde so hata watoa matokeo walimfavour MMAMA HILLARY CLINTON.

Kiuhalisia TRUMPH alimshinda clinton midahalo yote akiongea ukweli, watu hawakumpenda maana Dunia ndio inawataka Viongozi waongo wenye kushabikia USHOGA NA KUSAGANA.
 
Umenikumbusha The Apprentice Tv show ya Trump ilikua nzuri sana. UK nao waliiga hii show ikawa inaendeshwa na Sir Alan Sugar.
 
I am not sure anybody who knows English and was able to follow the debates would say that in their right mind. I am sorry. Trump is a snake oil salesman. He did not win ANY of the debates unless hujui Kiingereza au una mahaba niue. He conned people and now they realize too late when they have elected a conman. The last two months have proved he is a know-nothing conman. Uchaguzi si juu ya ushoga tu. Na kama unafuatilia zaidi, hata hayo masuala ya ushoga hana habari tena. Usimwangalie mtu kwa suala moja tu. Ukifanya hivyo unaweza ukampenda mtu kwa kuwa tu alikupa mkate, kumbe alikupa mkate ili akupumulie kisogoni, wewe na mkeo wa watoto wako. Huwezi ukashikilia kwamba huyo ni mtu bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…