Rais Trump: Rekodi zake si mchezo

Rais Trump: Rekodi zake si mchezo

Apparently imekuja kufahamika takwimu alizotumia kuingia kwenye Guinness book of record zilikua za uwongo, alichanganya assets za watu wengine na zakwake ku justify utajiri wake. One of the reasons amekataa kutoa takwimu zake za mapato na kodi hadharani kama maraisi wengine waliopita.
Na baada ya kuganikiwa kuingia kwenye Guinness book of record ndio ikaweza kumpa nafasi ya hayo mafanikio mengine.

Ana sifa kubwa Sana ya uongo pia, kama viongozi wengi wa Africa walivyo. Maisha yake yamejaa ujanja ujanja.
Trump alidanganya mwaka 1982 kuingia kwenye Forbes. Si gunness rekod za guinnes zote huwa ni za kweli
Lakini mpaka leo huwa anawekwa kwenye hizo list za forbes. Anaweza asiwe tajiri sana kama anavo claim but he is damn rich
Kuhusi taxi partly hataki tuone utajiri lakoni pia hataki tuone kodi alizo kwepa na baadhi ya deals zake. Its politics they will kill him politically wakiona kodi zake.

Other wise all nimeandika ni kweli
 
Trump alidanganya mwaka 1982 kuingia kwenye Forbes. Si gunness rekod za guinnes zote huwa ni za kweli
Lakini mpaka leo huwa anawekwa kwenye hizo list za forbes. Anaweza asiwe tajiri sana kama anavo claim but he is damn rich
Kuhusi taxi partly hataki tuone utajiri lakoni pia hataki tuone kodi alizo kwepa na baadhi ya deals zake. Its politics they will kill him politically wakiona kodi zake.

Other wise all nimeandika ni kweli
Hicho ndicho nilitaka ufahamu, maisha yake ujanja ujanja mwingi, sio mtu wa kumuamini, ukizungumzia utajiri anao ila sioni kama yeye ni exceptional kama ulivyomuweka.

Ana sifa ya urushu wa kupindukia as well.
Kama aliweza kudanganya huko nyuma hawezi shindwa sahivi.
Kama aliweza danganya Forbes hawezi shindwa Guinness.

Imagine watu kama Bilgets wasingekua wanatoa misaada wangekua na utajiri kiasi gani.. Ulishawahi kusikia Trump anatoa msaada?
 
Hicho ndicho nilitaka ufahamu, maisha yake ujanja ujanja mwingi, sio mtu wa kumuamini, ukizungumzia utajiri anao ila sioni kama yeye ni exceptional kama ulivyomuweka.

Ana sifa ya urushu wa kupindukia as well.
Kama aliweza kudanganya huko nyuma hawezi shindwa sahivi.
Kama aliweza danganya Forbes hawezi shindwa Guinness.
Nafaham nimeanza kumfuatilia Tangu akiwa calabrity Apprentince. I know him
Gennesis ni scientific na wanauhakika na wanacho kifanya so kwa hao hakuna shida.
You may hate the guy but you cant dismiss some of his accomplishments just as a person
 
Nafaham nimeanza kumfuatilia Tangu akiwa calabrity Apprentince. I know him
Gennesis ni scientific na wanauhakika na wanacho kifanya so kwa hao hakuna shida.
You may hate the guy but you cant dismiss some of his accomplishments just as a person
Hahahaaaa.. Opposing your statement doesn't mean I hate the guy. Wewe ulileta topic kila mtu akubaliane na wewe??

Utajiri wake anaujua mwenyewe, there is no proof anywhere kuhusu kiasi cha utahiri alionao. Hua anajisemea mwenyewe tu.
By the time anaingia Forbes alidai anautajiri wa $200 mil. In reality alikua anautajiri wa $5mil.

So he might be reach but not to the extent that he claims.
Ukumbuke pia Forbes wamekuja gundua jamaa alidanganya mwaka 2016.
 
Hahahaaaa.. Opposing your statement doesn't mean I hate the guy. Wewe ulileta topic kila mtu akubaliane na wewe??

Utajiri wake anaujua mwenyewe, there is no proof any where kuhusu kiasi cha utahiri alionao. Hua anajisemea mwenyewe tu.
By the time anaingia Forbes alidai anautajiri wa $200 mil. In reality alikua anautajiri wa $5mil.

So he might be reach but not to the extent that he claims.
Ukumbuke pia Forbes wamekuja gundua jamaa alidanganya mwaka 2016.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Una dismiss mafanikio yake hata ya guinesa kwenye ishu ya Forbes Ambayo hata walivo gundua bado wana mueka kwa list
It was 1982!! Get over it man!

He is not rich to that extent ndio but he is still rich. Sijakataa point zako hata
 
Pia kuamini katika imani katoliki ni jambo limopelekea mafanikio yake, hii imani kiukweli ni takatifu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Una dismiss mafanikio yake hata ya guinesa kwenye ishu ya Forbes Ambayo hata walivo gundua bado wana mueka kwa list
It was 1982!! Get over it man!

He is not rich to that extent ndio but he is still rich. Sijakataa point zako hata
Hahahaaaa.. Mkuu if your posting ili watu wa support unachosema then ur his type, ni kama yeye tu asivyopenda kua challenged. Anapenda kusifiwa tu. Kama ana utajiri wa kawaida kwanini umzungumzie as if ni exceptional? Huko Guinness wanawekwa watu waliovunja records, sio wa kawaida. His life is a big lie.

Ishu ya kudanganya Forbes imegundulika 2016.
 
Pia kuamini katika imani katoliki ni jambo limopelekea mafanikio yake, hii imani kiukweli ni takatifu
Wafia dini hawa nao. Mtu anamaisha yametawaliwa na kashfa mwanzo mwisho bado unamhusisha na imani za kidini.
 
Pia kuamini katika imani katoliki ni jambo limopelekea mafanikio yake, hii imani kiukweli ni takatifu
hahaaa bangi hzi "" wewe mbona haujawa na ukwasi "" au huna imani ya kikatoliki...kama imani tu inatosha kumfanya mtu awe na mafanikio hayo "" unasubiri nini kuwa na imani hiyo"" ili utoboe mkuu......

IMANI nyingine hizi daah
 
Ni rais pekee wa marekani aliyeweza kujichanganya na makahaba akiwashika makalio na akashinda urais
 
hahaaa bangi hzi "" wewe mbona haujawa na ukwasi "" au huna imani ya kikatoliki...kama imani tu inatosha kumfanya mtu awe na mafanikio hayo "" unasubiri nini kuwa na imani hiyo"" ili utoboe mkuu......

IMANI nyingine hizi daah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaaaa.. Mkuu if your posting ili watu wa support unachosema then ur his type, ni kama yeye tu asivyopenda kua challenged. Anapenda kusifiwa tu. Kama ana utajiri wa kawaida kwanini umzungumzie as if ni exceptional? Huko Guinness wanawekwa watu waliovunja records, sio wa kawaida. His life is a big lie.

Ishu ya kudanganya Forbes imegundulika 2016.
Haya bro
Basi na wewe fungua uzi wako halafu uandike unayo ya sema kama unaona nimeandika uongo.
Ulicho ongea kuhusu utajiri nilikubali nika kwambia iligunduliwa 2016 ila ni tukio la mwaka 1982.
Kama his life is a big lie fungua uzi wako ka prove.
Maana unabisha hadi na Guinnes saa mi ntakwambia nn
 
Donald Trump ni deal maker hakuna ubishani,Mafanikio Yake ni makubwa kibiashara na siasa kwa Sasa.Ndani ya Miaka ya Urais amefanya makubwa kuliko mtangulizi wake Obama.Nlichojifunza ni kwamba kwenye forum hii wengi tunabisha ila hatuna fact wala atufatilii
 
Donald Trump ni deal maker hakuna ubishani,Mafanikio Yake ni makubwa kibiashara na siasa kwa Sasa.Ndani ya Miaka ya Urais amefanya makubwa kuliko mtangulizi wake Obama.Nlichojifunza ni kwamba kwenye forum hii wengi tunabisha ila hatuna fact wala atufatilii
Nawe fact gani uliyotoa kuprove kwamba amefanya makubwa kuliko Obama? Kama huuoni ubaguzi unaoongoza hizo dhidi ya people of color in general na Obama in particular, ngoja nielezee kidogo.
One thing is clear: mambo ya ufidhuli aliyoyafanya Trump, angefanya Obama, angekuwa jela na hata uraisi asingeupata.
-kwanza kabisa chaos ya White House ambayo inajidhihirisha kwa nje kwa jinsi watu wanavyofukuzwa au kujiuzulu au kufuatwa na mkono wa serikali na mikashifa kibao.
-kaoa mara tatu, na amecheat na wote hao. Tena hii moja na porn star. Imagine kama Obama angefanya hivyo. Kwanza wangesema watu weusi wote ni sex maniac.
-kaanzisha Trump University ikagunduliwa kuwa ni feki na haikusajiliwa (kesi bado inaendelea)
-alitamba kwamba he could grab p**** bila kupata shida yoyote.
-anasema uongo kila siku: ya sasa, kwamba hakumfukuza Comey kwa sababu ya Russia issue. Lakini alisema hivyo mwenyewe alipohojiwa na Lester Holt. Majuzi alidai kuna "deep state" ndani ya Justice Dept na FBI kwamba waliweka spy kwenye kampeni yake na akaiita spygate. Uchunguzi wa Congress umeonesha wazi kwamba huo ni uzushi.
-anadai anaweza kujipa msamaha (mnakumbuka jinsi ambavyo Obama aliitwa dikteta na FoxNews?)
-alidai anataka ku 'drain the swamp' akimaanisha kuondoa influence ya politicians wa muda mrefu, lobbysts and big money kama Wallstreet. . Lakini sasa angalia baraza lake la mawaziri: S. Mnuchin (Treasury) kutoka Goldman Sachs (Wallstreet), J. Sessions (Justice) mwanasiasa wa miongo mingi ana background ya KKK. T. Price (Health, aliondoka baadae) alikuwa exec wa Lilly (Big Pharma). Betsy DeVos (Education) ana biashara kubwa ya kukusanya madeni ya mikopo ya wanafunzi. Kakake anaitwa Eric Prince mmiliki wa kampuni ya mamluki ya Blackwater. Siwezi kuendelea na listi ndefu mno.
-Alijaribu sana kuua sera ya afya kwa wote ya Obama, bado anakusudia kufanya hivyo kwani anataka tu kufuta legacy ya hasimu wake.
-Je, umefuatilia ongezeka la mauaji ya halaiki Marekani? Nani wanaoua hivyo. Na raisi anasema nini kuhusu jambo hilo? Yeye kashikilia kwamba wahamiaji ni animals?
-Mashamba mengi yamekosa wafanyakazi hivi karibu na kusababisha hasara kubwa kwa sababu wanazuia wafanyakazi wa msimu kutoka Central America.
Nisikuchoshe, ningeweza kuandika zaidi. Hoja yangu, watu tusimeze madai ya Trump na wapenzi wao wenye siasa zilizonjekwa kwa misingi ya kiubaguzi.
 
Pia ni mwana mieleka wa WWE usisahau Hilo ,kama vile putini alivyokuwa mwana karate.
 
Back
Top Bottom