Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko sawa nadhan mdahalo alo shindwa hasa ni ule wa kwanza, ila MSM zote zilisema kashindwa wa pili na watatu, kama wa pili ndio alishinda kabsa.Yeah!
Kwa watu makini lazima utagundua huyu mtu anauwezo mkubwa sana.
Japo hilo la kushindwa midahalo yote siliafiki ingawa umeeleza hio ni dhana kuwa alishindwa ila kiukweli mie niliangalia LIVE Midahalo miwili alidhihirisha uwezo wake na alimshinda kabisa Clinton.
Japo kwa mtazamo wa wengi walitaka Mpaka huku Kwetu Bongo walitaka Clinton ashinde so hata watoa matokeo walimfavour MMAMA HILLARY CLINTON.
Kiuhalisia TRUMPH alimshinda clinton midahalo yote akiongea ukweli, watu hawakumpenda maana Dunia ndio inawataka Viongozi waongo wenye kushabikia USHOGA NA KUSAGANA.
debate ya kwanza alishindwa dhahiri, ila debate ya pili na ya tatu it is debatable, kama ya pili sikuhisi kama alishindwa mpaka leo.I am not sure anybody who knows English and was able to follow the debates would say that in their right mind. I am sorry. Trump is a snake oil salesman. He did not win ANY of the debates unless hujui Kiingereza au una mahaba niue. He conned people and now they realize too late when they have elected a conman. The last two months have proved he is a know-nothing conman. Uchaguzi si juu ya ushoga tu. Na kama unafuatilia zaidi, hata hayo masuala ya ushoga hana habari tena. Usimwangalie mtu kwa suala moja tu. Ukifanya hivyo unaweza ukampenda mtu kwa kuwa tu alikupa mkate, kumbe alikupa mkate ili akupumulie kisogoni, wewe na mkeo wa watoto wako. Huwezi ukashikilia kwamba huyo ni mtu bora.
kuna waziri wa ujerumani alimsema kishenz alipo shinda ikabid aseme bas tutafanya kazi naye tu, ila jamaa mpaka leo hampendi hata MerkelAlipondwa na vyombo vingi vya habari vyakwao, ulaya na hata huku bongo... Lakini alishinda...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ili iweje?