Rais, tunamuomba Dotto James atembelee Kisutu

Rais, tunamuomba Dotto James atembelee Kisutu

Waliohusishwa na ufisadi mostly 95% ni wateule wa aliyekuwepo nyakati zile, she must..........!
(Upo uwezekano kuna fungu kubwa linakusanywa ili kuja kuhonga wajumbe)
Ingawaje tumesha mpitisha, huu wizi unaushirikiano mkubwa sana, na si kamtu kamoja kanaiba tu.
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Ripoti ya 2023 wewe unataja Doto James?
 
Waliohusishwa na ufisadi mostly 95% ni wateule wa aliyekuwepo nyakati zile, she must..........!
(Upo uwezekano kuna fungu kubwa linakusanywa ili kuja kuhonga wajumbe)
Ingawaje tumesha mpitisha, huu wizi unaushirikiano mkubwa sana, na si kamtu kamoja kanaiba tu.
Inabidi miamala yao iwe chini ya uangalizi mkali, hasa kuelekea 2025, wajumbe wote wawe monitored.

Vile vikao walikuwa wanafanyia Malawi, Sasa itabidi waende mpaka Cuba.
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Wewe utakuwa na Mimba ya Magufuli wapigaji wapo kwenye serikali hii hii ya Samia
images%20(9).jpg
JamiiForums-967246791.jpg
 
Waliohusishwa na ufisadi mostly 95% ni wateule wa aliyekuwepo nyakati zile, she must..........!
(Upo uwezekano kuna fungu kubwa linakusanywa ili kuja kuhonga wajumbe)
Ingawaje tumesha mpitisha, huu wizi unaushirikiano mkubwa sana, na si kamtu kamoja kanaiba tu.
Akili ya kuku
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Sio Dotto James peke yake bali wote wale ambao CAG ameibua madudu yao washughulikiwe bila huruma !! Wezi wa kuku mtaani wanachomwa moto !! Mungu anawaona. !!
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Unampigia debe jambazi, umefeli.
 
Inatakiwa watolewe mfano watu wachache
Walishindwa kwa Sabaya hakuna tena kitachoendelea,yule alikuwa awe mfano hai unaoishi.

Sabaya live alikuwa wakula mvua zisizopungua angalao 15 watu waogope ila sasa wameshaona kumbe hata wakihukumiwa kuna gap la kutoka so wanajipigia tu litajulikana mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom