Rais, tunamuomba Dotto James atembelee Kisutu

Rais, tunamuomba Dotto James atembelee Kisutu

Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Umeyakanyagaa!!!! Ngoja walinda legacy waje.
 
Walishindwa kwa Sabaya hakuna tena kitachoendelea,yule alikuwa awe mfano hai unaoishi.

Sabaya live alikuwa wakula mvua zisizopungua angalao 15 watu waogope ila sasa wameshaona kumbe hata wakihukumiwa kuna gap la kutoka so wanajipigia tu litajulikana mbele kwa mbele.
Kabisa !
 
Umeyakanyagaa!!!! Ngoja walinda legacy waje.
Hakuna cha legacy wala nini sheria ni msumeno ! Wote waliohusika washughulikiwe kikamilifu bila kuwaogopa na bila kuwaonea !! Serikali iliyopita ya legacy na hii ya sasa zote ni za CCM kwahiyo haki itendeke tu ! Watu wamechoka na wizi wa mali za Umma !!
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Mtoto wa "MJOMBA"
 
Hakuna cha legacy wala nini sheria ni msumeno ! Wote waliohusika washughulikiwe kikamilifu bila kuwaogopa na bila kuwaonea !! Serikali iliyopita ya legacy na hii ya sasa zote ni za CCM kwahiyo haki itendeke tu ! Watu wamechoka na wizi wa mali za Umma !!
Hili ndilo la msingi but wazee wa legacy hawataki kusikia wala kukubali awamu ile kulikua na ufisadi
 
Awamu ya wizi na ufisadi ndio hii Sasa watu wamepiga Trilioni 1.7 kwenye Reli huko hii nchi inaliwa sana.
 
Awamu ya wizi na ufisadi ndio hii Sasa watu wamepiga Trilioni 1.7 kwenye Reli huko hii nchi inaliwa sana.
CCM ni ukoo wa panya hakuna aliemsafi awamu zote!! Isipokua mzalendo wa kweli Mwalimu Julius kambarage Nyerere!!
 
Sio Dotto James peke yake bali wote wale ambao CAG ameibua madudu yao washughulikiwe bila huruma !! Wezi wa kuku mtaani wanachomwa moto !! Mungu anawaona. !!
Yeye ame chagua Dotto ila mama yao ametajwa hapana.

Hizi tabia ndio zinafanya wapige pesa, maana tunachagua wakushtakiwa
 
Kwa maoni yangu wanao takiwa kuwajibika hadi sasa ni wafuatao....
1. Makame Mbarawa
2. January Makamba
3. Nape Nnauye
4. Mwigulu Nchemba
5. Mwana sheria mkuu wa serikali
Ila sukumagang hawatakiwi kuwajibika
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Hivi yupo wapi sasa hivi? Yaani ana position gani kwa sasa au yupo benchi anasubiri kupangiwa kazi nyingine?
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Atembelee Kisutu Kwa maana ya mahakama au kwenye soko!?
 
Huyu mtu anatajwa katika Kila jambo la upigaji, ukiona unataka kumuachia Baraba, tupe Dotto James. Hii kisiasa itaonyesha Nia yako ya dhati ya kupambana na ufisadi, na wananchi watakuwa wamekuwa na Imani sana kisiasa kuhusu wewe.
Dotto James immediate chief wake alikuwa Philip Mpango.Philip Mpango leo ni Makam wa Rais.HAITATOKEA kama ambavyo HAIKUTOKEA kwa Paul Makonda.
Tunywe maji tutulie ila kuna kishindii kitawastua.
 
Back
Top Bottom