Rais tunaomba usikilize vilio vya watanzania, mfumuko wa bei ni mkubwa mno

Rais tunaomba usikilize vilio vya watanzania, mfumuko wa bei ni mkubwa mno

Kama lilivyo deni la taifa hata huo mfumko wa bei utakuwa ni himilivu
 
Hao Wana uwezo na nyenzo,Nchi za ulimwengu wa tatu tutapata wapi pesa hizo?
Unajifanya kusahau kuwa CCM ndiyo imetawala Tanzania tokea uhuru na ndiyo imeifanya Tanzania kuwa nchi ya ulimwengu wa Tatu!Unaelewa kuwa miaka ya 1950 Korea ya kusini na Tanzania zilikuwa sawa kiuchumi na kimaendeleo?
 
Tumieni mafuta ya KITIMOTO ni mazuri sana na bei yake ni nafuu sana!
 
Unajifanya kusahau kuwa CCM ndiyo imetawala Tanzania tokea uhuru na ndiyo imeifanya Tanzania kuwa nchi ya ulimwengu wa Tatu!Unaelewa kuwa miaka ya 1950 Korea ya kusini na Tanzania zilikuwa sawa kiuchumi na kimaendeleo?
Sio swala la ccm,ukiacha South Africa na Egypt,Nchi zingine zote za Africa ziko ulimwengu wa tatu..

Kwani kote huko ni CCM imetawala? Kwani ni Tzn pekee iliyozidiwa na Korea Kusini? South Korea imeizidi hadi Russia sijui unasemaje..

Bara la Africa iliko Tanzania inakabiliwa na limitations nyingi,ingekuwa Tzn pekee ndio iko third world country na Nchi zingine za Africa zimejikwamua ingekuwa ni hoja ya maana..

Ulipo hapo huna hata mbinu hata moja ya kuiweka mezani Ili tutoke hapa umeishia kulaumu ccm kwa sababu tuu hujapata madaraka unayoyahangaikia.
 
Sio swala la ccm,ukiacha South Africa na Egypt,Nchi zingine zote za Africa ziko ulimwengu wa tatu..

Kwani kote huko ni CCM imetawala? Kwani ni Tzn pekee iliyozidiwa na Korea Kusini? South Korea imeizidi hadi Russia sijui unasemaje..

Bara la Africa iliko Tanzania inakabiliwa na limitations nyingi,ingekuwa Tzn pekee ndio iko third world country na Nchi zingine za Africa zimejikwamua ingekuwa ni hoja ya maana..

Ulipo hapo huna hata mbinu hata moja ya kuiweka mezani Ili tutoke hapa umeishia kulaumu ccm kwa sababu tuu hujapata madaraka unayoyahangaikia.
Mifumo mibovu imeletwa na CCM kiongozi ana haribu ufisadi mkubwa anaishia kuambiwa jihuzulu badala ya kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu
 
Huko si kuchana live bali ni wizi na kutokujitambua:

Bei za Mafuta zinakoshuka watawala wao siyo wezi
Wewe unaejitambua hamia kwenye Nchi yeyote unayoona wewe bei zimeshuka..

Pili itaje Nchi yeyote unayoijua wewe hapa Africa kwamba Bei zimeshuka..

Narudia tena Rais anajitambua ndio maana kawachana live,hajataka kutumia zile lugha za yule Katuni wenu aliyesema kama Bei zimepanda Jenga kiwanda chako uuze bei nafuu wala kujibu watu kwamba unataka nije nikufanyie mimi Kazi.
 
Ameingia kipindi kigumu sana huyu mama....aliachiwa msala kapata msala mwingine tena wa kipindi cha vita
 
Wewe unaejitambua hamia kwenye Nchi yeyote unayoona wewe bei zimeshuka..

Pili itaje Nchi yeyote unayoijua wewe hapa Africa kwamba Bei zimeshuka..

Narudia tena Rais anajitambua ndio maana kawachana live,hajataka kutumia zile lugha za yule Katuni wenu aliyesema kama Bei zimepanda Jenga kiwanda chako uuze bei nafuu wala kujibu watu kwamba unataka nije nikufanyie mimi Kazi.

Hizo nchi ziko humo:

Bei za Mafuta zinakoshuka watawala wao siyo wezi

Au nikusomee pia?
 
Hata mimi au uliza hata mafundi,Bora mfumuko wa bei uwepo lakini pesa iwe inapatikana.

Turkey kule mfumuko wa bei uko karibu 40% tena toka mwaka Jana na maisha yanaendelea.
Mfumuko wa Bei ukiwepo pesa inapoteza thamani, na hupelekea uchumi kuanguka. Mfano Leo hii mkate uuzuwe 20000, mafuta 30000, kilo y aunga 20000. Mnajikuta mnaanza kuwa na noti ya mil 1
 
Hebu tuongee ukweli huu mfumuko wa bei uko tanzania pekee?,huu mfumuko kauleta samia?na kwamba huo mfumuko samia unataka afanye nini?
Acha kuwa mjinga vitu vilianza kupanda bei hata kabla ya visingizio vyao. Ni raisi mjinga pekee anateweza kutamka hadharani kuwa vitu vitapanda bei.
 
Mfumuko wa Bei ukiwepo pesa inapoteza thamani, na hupelekea uchumi kuanguka. Mfano Leo hii mkate uuzuwe 20000, mafuta 30000, kilo y aunga 20000. Mnajikuta mnaanza kuwa na noti ya mil 1
Hayo yote yanaeleweka lakini metrics ya hadi kuita mfumuko wa bei unajua inaanzia kiasi gani?

Unadhani BoT imekaa tuu kimya haichujui hatua au?

Harafu bei zimeongezeka kidogo tuu na Kwa baadhi ya vitu lakini kwenye component ya CPI ya Tanzania bado average ya bei hazijavuka hata 5% kwa hiyo hakuna mfumuko wa bei na ndio maana shilingi iko stable kabisa.
 
Back
Top Bottom