Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Baada ya Babu wa kikombe wa Loliondo sasa Babu wa chupa wa Madagasca! Kumbukeni huyu Rais Rajoelina wa Madagascar alikuwa DJ kabla ya kuingia madarakani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio Tatizo la waafrika lilipo, hatujui kitu tunachokitaka, sisi ni kulalamika mwanzo mwisho, sasa hivi mkuu wa WHO ni mwafrika na bado tunasema WHO ni mabeberu.Hao WHO wamegombana na Wamarekani, hivyo unaposema mabeberu unamaanisha nani haswa.
Km ni hvyo itakua poaNdio maana marais wote kumi wameamua kuwekeza humo kwa kutoa maagizo kwa wataalam wa kila taifa husika waungane na wa hao Madagascar na kuwasaidia kufanikisha shughuli yote nzma.
Shida unaitana wajinga na mko busy kuzikana usiku wa manane,relook into your stupidityOhio,wazee wa vaccine, mlisema hamtumii miti shamba hiyo ni kazi ya Kinjekitile,mmeona mabwana zenu hawawatumii mmeamua kuju kiafrika?karibu kwenye mitishamba sisi tulikuwepo natunaendelea.Kenya wajinga sana! Jinga kabisa.
Dah 😀Hiyo dawa iwekewe na mkuyati pia ili itibu nguvu za kiume kwani wagonjwa wengi wa Corona wana kisukari
Wako hadi na mganga mkuu wa taifa! 😂 😂 duh!Kwenu huwa mnapondwa kwa jinsi mnapenda kujikanganya, full mikwara isyokua na tija na kauli zisizoendana, mara
- Corona itaungua ikiingia kanisani
- Corona ni kaugonjwa
- Watu wajifukize maana Corona ni futa
- Mara mganga mkuu wa taifa atahadharishe dhidi ya kufukiza
- Msije Dar watu wanapukutika
- Corona inaletwa na barakoa
- Corona inasambazwa kwa kunyunyiza dawa Dar es salaam maana ni upuzi
- Mara sijui yule Mwigulu anasema data zifichwe zitangazwe za wanaopona
- Mara waziri wenu wa afya aseme ameamua kuongea ukweli tangu sasa
- Mara waziri mkuu wenu aseme waliopona ni kumi na mmoja huku rais akisema ni zaidi ya mia
Mara hiki mara kile, hamna kauli moja ya kueleweka ili msiklizwe, kila mmoja anaibuka na lake.
Mjifunze na rais wa Madagascar, yeye ameshikilia kimoja, ameipigia debe dawa yao na hajatetereka sehemu yoyote na kuja na kauli tofauti.
Ni vizuri kama mpaka Uhururu pia ameichukua... Lakini pia ingekuwa ni vizuri zaidi kama wangeishauri WHO iongoze kuifanyia research ili kama inamadhara ijulikane na sio kuipinga tu!Hii dawa ya Madagascar japo haijatolewa maelezo ya kisayansi vizuri, lakini imebidi ipokelewe maana kuna ushahidi wa watu wachache kupona Corona baada ya kuitumia. Hivyo rais Uhuru na marais wengine kumi wa mataifa ya Afrika wameamua kuhamasisha utumiaji wake, watawekeza nguvu, raslimali, wataalam n.k. katika kuwasaidia Madagascar wazalishe kwa wingi ili itumike Afrika na duniani kote.
WHO bado wameshikilia kwamba ni hatari kutumia dawa yoyote ambayo hawajaidhinisha wao, ila kwa sasa tupo kwenye dharula, hamna muda wa urasimu, hata Marekani juzi wamezindua dawa ambayo hao hao WHO hawajakubali itumike dhidi ya Corona.
Maelfu ya watu wanakufa, hakuna muda wa kusubiri, inabidi kila mmoja afanye chochote anahisi kitamuokoa.
Marais hao ni Cyril Ramaphosa (South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
=====
![]()
President Uhuru Kenyatta addresses the nation at State House, Nairobi, in April 2020
President Uhuru Kenyatta was part of a teleconference call involving 10 African Heads of State that discussed the adoption of Covid-19 organic medicine.
The meeting on Saturday, May 2, was held to discuss in detail the efficacy of the Covid Organics Medicine(CVO) that was developed by Madagascar in treating Covid-19 patients.
The President of Madagascar, Andry Rajoelina took to Twitter on Monday, April 20, to claim that the concoction named Covid Organics (CVO) – a form of herbal tea – is curing Covid-19 patients.
World Health Organization (WHO) however in a statement warned against any self-medication and said that it has not recommended any medicine as a cure for the Covid-19.
Malagasy President, chaired the meeting and presented the product to the other Heads of States in the video conference call.
Presidents present in the meeting were, Cyril Ramaphosa (African Union Chairperson and South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), President Uhuru Kenyatta (Kenya).
Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
They also formed a Covid-19 Ministerial Response Coordinating Committees on Health, Transport, Finance and Agriculture to respond to the various factors surrounding the Coronavirus pandemic.
The Bureau of Heads of State of the African Union also formulated a continental strategy to better prepare and respond to any new cases of the virus on the continent.
The meeting also shared experimental drugs on the deadly virus, vaccines and clinical trials that have kicked off around the world.
Source: Kenyans.co.ke
Baada ya Babu wa kikombe wa Loliondo sasa Babu wa chupa wa Madagasca! Kumbukeni huyu Rais Rajoelina wa Madagascar alikuwa DJ kabla ya kuingia madarakani.
Wazungu wamechanganyikiwa Waafrica tumewaharibia dili lao la kutunza vaccinationHii dawa ya Madagascar japo haijatolewa maelezo ya kisayansi vizuri, lakini imebidi ipokelewe maana kuna ushahidi wa watu wachache kupona Corona baada ya kuitumia. Hivyo rais Uhuru na marais wengine kumi wa mataifa ya Afrika wameamua kuhamasisha utumiaji wake, watawekeza nguvu, raslimali, wataalam n.k. katika kuwasaidia Madagascar wazalishe kwa wingi ili itumike Afrika na duniani kote.
WHO bado wameshikilia kwamba ni hatari kutumia dawa yoyote ambayo hawajaidhinisha wao, ila kwa sasa tupo kwenye dharula, hamna muda wa urasimu, hata Marekani juzi wamezindua dawa ambayo hao hao WHO hawajakubali itumike dhidi ya Corona.
Maelfu ya watu wanakufa, hakuna muda wa kusubiri, inabidi kila mmoja afanye chochote anahisi kitamuokoa.
Marais hao ni Cyril Ramaphosa (South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
=====
![]()
President Uhuru Kenyatta addresses the nation at State House, Nairobi, in April 2020
President Uhuru Kenyatta was part of a teleconference call involving 10 African Heads of State that discussed the adoption of Covid-19 organic medicine.
The meeting on Saturday, May 2, was held to discuss in detail the efficacy of the Covid Organics Medicine(CVO) that was developed by Madagascar in treating Covid-19 patients.
The President of Madagascar, Andry Rajoelina took to Twitter on Monday, April 20, to claim that the concoction named Covid Organics (CVO) – a form of herbal tea – is curing Covid-19 patients.
World Health Organization (WHO) however in a statement warned against any self-medication and said that it has not recommended any medicine as a cure for the Covid-19.
Malagasy President, chaired the meeting and presented the product to the other Heads of States in the video conference call.
Presidents present in the meeting were, Cyril Ramaphosa (African Union Chairperson and South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), President Uhuru Kenyatta (Kenya).
Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
They also formed a Covid-19 Ministerial Response Coordinating Committees on Health, Transport, Finance and Agriculture to respond to the various factors surrounding the Coronavirus pandemic.
The Bureau of Heads of State of the African Union also formulated a continental strategy to better prepare and respond to any new cases of the virus on the continent.
The meeting also shared experimental drugs on the deadly virus, vaccines and clinical trials that have kicked off around the world.
Source: Kenyans.co.ke
mbona Uganda na Rwanda wapo hivyo pia!View attachment 1439080Ila kuna kitu hawa jamaa wanafanya poa. We should borrow a leaf. Hamna vifo kwake. Labda ni kweli hii dawa inaponya.
Eti aongoza marais Africa, hivi nyinyi wakenya mbona mnajiona mna akili sana wakati ni watu wa kawaida tu,hivi mentality, za kikoloni zitawatoka lini,mnawaona waafrika wenzenu ni 2nd class, inasikitisha sana.hii dawa ya Madagascar iliagizwa na nchi ya DRC Kwanza baadae nchi za Afrika magharibi zikafuata,alafu nchi yetu za EAC,ikiwemo Kenya.Na kwa hili swala la Corona, tungenyamaza Kwanza kwa sababu, Corona is here to stay,msijitape na mass testing na curfew, nakuhakikishia,kuna watu wataibika hapa EAC mda si mrefu.Shida unaitana wajinga na mko busy kuzikana usiku wa manane,relook into your stupidity
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari hii inanikumbusha kikombe cha babu huko loliondo. watu walikufa kwa mamia wamefuata upepo! sisi waafrika wakati mwingine huwa watu aina yake. mie ni nimehitimu na degree mbili. moja ni BSC horticulture-Egerton Kenya, na pili nikajiunga na chuo kimoja marekani na kutunukiwa associate degree in biotechnology 2019. hili ni baada ya kufanya kazi kenya kwa miaka kadhaa na kuingia masomoni tena baadaye 2016/2017. Kwa sasa najitayarisha kuingia masomo ya Masters japo sijaamua niegemee phamaceutical au agribiotechnology kwa sababu ya somo langu la hapo awali in horticulture. Lakini bahari la biotech ni pana nitafika tu!Hii dawa ya Madagascar japo haijatolewa maelezo ya kisayansi vizuri, lakini imebidi ipokelewe maana kuna ushahidi wa watu wachache kupona Corona baada ya kuitumia. Hivyo rais Uhuru na marais wengine kumi wa mataifa ya Afrika wameamua kuhamasisha utumiaji wake, watawekeza nguvu, raslimali, wataalam n.k. katika kuwasaidia Madagascar wazalishe kwa wingi ili itumike Afrika na duniani kote.
WHO bado wameshikilia kwamba ni hatari kutumia dawa yoyote ambayo hawajaidhinisha wao, ila kwa sasa tupo kwenye dharula, hamna muda wa urasimu, hata Marekani juzi wamezindua dawa ambayo hao hao WHO hawajakubali itumike dhidi ya Corona.
Maelfu ya watu wanakufa, hakuna muda wa kusubiri, inabidi kila mmoja afanye chochote anahisi kitamuokoa.
Marais hao ni Cyril Ramaphosa (South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
=====
![]()
President Uhuru Kenyatta addresses the nation at State House, Nairobi, in April 2020
President Uhuru Kenyatta was part of a teleconference call involving 10 African Heads of State that discussed the adoption of Covid-19 organic medicine.
The meeting on Saturday, May 2, was held to discuss in detail the efficacy of the Covid Organics Medicine(CVO) that was developed by Madagascar in treating Covid-19 patients.
The President of Madagascar, Andry Rajoelina took to Twitter on Monday, April 20, to claim that the concoction named Covid Organics (CVO) – a form of herbal tea – is curing Covid-19 patients.
World Health Organization (WHO) however in a statement warned against any self-medication and said that it has not recommended any medicine as a cure for the Covid-19.
Malagasy President, chaired the meeting and presented the product to the other Heads of States in the video conference call.
Presidents present in the meeting were, Cyril Ramaphosa (African Union Chairperson and South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), President Uhuru Kenyatta (Kenya).
Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
They also formed a Covid-19 Ministerial Response Coordinating Committees on Health, Transport, Finance and Agriculture to respond to the various factors surrounding the Coronavirus pandemic.
The Bureau of Heads of State of the African Union also formulated a continental strategy to better prepare and respond to any new cases of the virus on the continent.
The meeting also shared experimental drugs on the deadly virus, vaccines and clinical trials that have kicked off around the world.
Source: Kenyans.co.ke
Kumbuka pia watu asymptomatic yaani hawana dalili za corona japo wana ugojwa wanapona ata bila ufahamu waliugua COVID-19. Kwa hivyo bila utafiti wa kina, hauwezi kutoa vibitisho dawa hii ndio kaponya hawa wagojwa!Hii dawa ya Madagascar japo haijatolewa maelezo ya kisayansi vizuri, lakini imebidi ipokelewe maana kuna ushahidi wa watu wachache kupona Corona baada ya kuitumia. Hivyo rais Uhuru na marais wengine kumi wa mataifa ya Afrika wameamua kuhamasisha utumiaji wake, watawekeza nguvu, raslimali, wataalam n.k. katika kuwasaidia Madagascar wazalishe kwa wingi ili itumike Afrika na duniani kote.
WHO bado wameshikilia kwamba ni hatari kutumia dawa yoyote ambayo hawajaidhinisha wao, ila kwa sasa tupo kwenye dharula, hamna muda wa urasimu, hata Marekani juzi wamezindua dawa ambayo hao hao WHO hawajakubali itumike dhidi ya Corona.
Maelfu ya watu wanakufa, hakuna muda wa kusubiri, inabidi kila mmoja afanye chochote anahisi kitamuokoa.
Marais hao ni Cyril Ramaphosa (South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
=====
![]()
President Uhuru Kenyatta addresses the nation at State House, Nairobi, in April 2020
President Uhuru Kenyatta was part of a teleconference call involving 10 African Heads of State that discussed the adoption of Covid-19 organic medicine.
The meeting on Saturday, May 2, was held to discuss in detail the efficacy of the Covid Organics Medicine(CVO) that was developed by Madagascar in treating Covid-19 patients.
The President of Madagascar, Andry Rajoelina took to Twitter on Monday, April 20, to claim that the concoction named Covid Organics (CVO) – a form of herbal tea – is curing Covid-19 patients.
World Health Organization (WHO) however in a statement warned against any self-medication and said that it has not recommended any medicine as a cure for the Covid-19.
Malagasy President, chaired the meeting and presented the product to the other Heads of States in the video conference call.
Presidents present in the meeting were, Cyril Ramaphosa (African Union Chairperson and South Africa), Abdul Fatah El Sisi (Egypt), President Felix Tshisekedi(DRC), President Uhuru Kenyatta (Kenya).
Paul Kagame (Rwanda), Ali Bongo (Gabon), Mahamadou Issoufou (Niger), Idris Derby (Chad), Boubacar Keita (Mali) and Andry Rajoelina (Madagascar).
They also formed a Covid-19 Ministerial Response Coordinating Committees on Health, Transport, Finance and Agriculture to respond to the various factors surrounding the Coronavirus pandemic.
The Bureau of Heads of State of the African Union also formulated a continental strategy to better prepare and respond to any new cases of the virus on the continent.
The meeting also shared experimental drugs on the deadly virus, vaccines and clinical trials that have kicked off around the world.
Source: Kenyans.co.ke
Kumbuka pia watu asymptomatic yaani hawana dalili za corona japo wana ugojwa wanapona ata bila ufahamu waliugua COVID-19. Kwa hivyo bila utafiti wa kina, hauwezi kutoa vibitisho dawa hii ndio kaponya hawa wagojwa!
katika jiji la chelsea, MA ambalo ni jirani yangu walikwenda kwa street na kuomba volunteers watoe damu kupimwa corona (antibody test) pasipo kutambulishwa. Asilimia 33 ya samples waligunduliwa kuugua corona na kupona pasipo wao kuhisi wagonjwa kamwe!
Na kwa taarifa yako ukiwa ni mtu na afya zako na hauna shinda za kiafya zinazokusumbua, kuugwa corona ni faida kubwa. Unapata anti-bodies kwa jina memory B cells ambazo udumu kwa mwili hadi kufa kwa mtu.hizi unapata baada ya maambukizi ya virusi. Na ndio kazi ya chanjo. Wanakutia mwilini vidudu vya ukambi na kupelekea mwili kugenerate antibodies (memory B cell) halafu kingi ya ukambi unaipata. virusi vya ukambi vikishambulia tena memory B cells wanakumbuka maumbile ya antigen za ukambi na kuziangamiza!
Nakumbaliana na wewe juu ya marais kuwa na makundi makubwa kiutaalamu lakini kumbuka focus ni hilo kombe la babu chapter 2.Binafsi nakiri kwamba mimi sio mtaalam wa haya mambo hivyo siwezi nikawa msaada sana kwenye kuchangia, ila ninachofahamu ni kwamba hao marais kumi wana kundi kubwa la wataalam nyuma yao wanaowashauri, kwa mfano rais wa Afrika Kusini anaongoza taifa lenye wataalam wa kuaminika, hivyo wote hawa haiwezekani wakawa wanajikanganya.
Yaani kabla yao kuipigia dawa upatu lazima kuna namna fulani wataalam wao wamelijadili hili suala na kufikia hayo maamuzi, ingekua yanasemwa na rais mmoja tungedhani labda ni ukaidi wake tu anakurupuka au anatafuta uungwaji mikono kwenye mwaka wa uchaguzi, lakini wote kumi, inatia dukuduku fulani.
Anyway tusubiri tuone mwisho wake, virusi kweli havina dawa ila tumeona watu wanatibiwa UKIMWI kwa kutumia ARV mpaka wanapima tena na kirusi kutoonekana kwenye damu, japo hajapona kabisa lakini kirusi kinalemazwa kabisa.
Nakumbaliana na wewe juu ya marais kuwa na makundi makubwa kiutaalamu lakini kumbuka focus ni hilo kombe la babu chapter 2.
Wapi data za development, trials na nakadhalika! Most of the drugs za ARV huwa haziui virusi vya HIV moja kwa moja mbali ni blockers katika stages tofauti tofauti katika reproduction au division kwa virusi! kwa njia hizi zinapunguza kwa sehemu kuwa HIV kuenea mwilini na namba zake kupungua kama ulivyosema.
Kwa hivyo inawezekana pia kwa Corona japo changamoto kubwa ya corona ni respiratory virus. compare with a flu virus. Hata chanjo ikipatikana inawezekana utahitaji kurudi kila mwaka au baada ya muda fulani kwa marudio. reason- virusi vya maambukizi kupitia njia ya mfereji wa kupumua ni vigumu kupata immunity kikamilivu yaani ata kuamkukiza corana, wale Memory B cells (anti-bodies) itakua temporary immunity. Na hii ndio sababu south korea wanapata watu wanapata maambukizi mara ya pili COVI-19.