Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.Lakini kawaeleza kuwa yeye ndie rais hivyo anawaeleza bado usalama kenya hakuna
U are an embarasment to the Tanzanians on this 4rum.WEWE UTAKUWA MKIKUYU NDO MAANA KILA SIKU UNAMFAGILIA uhuru
Peleka ukabila wako TZ, mbona unawashwa na habari za wakenyaWEWE UTAKUWA MKIKUYU NDO MAANA KILA SIKU UNAMFAGILIA uhuru
Kwani hapa inazungu mziwa hotuba ya kikwete?Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.
Watanzania hatuna ukabilaPeleka ukabila wako TZ, mbona unawashwa na habari za wakenya
Watanzania hatuna ukabila
Peleka ukabila wako TZ, mbona unawashwa na habari za wakenya
Umeshakubari kuwa hatuna ukabila kwanza?Udini je..?
Wa tz wadwanzi et! kwani weumeona shidagan?hawa ma dwanzi wa tz shinda yao inakuangi nn haswa?
Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.
kenya ukabila moto,kila mtaa unaokatiza watu wanazungumza kikabila ,yaani wana mambo ya kishamba sana,asilimia 98 ya redio za hapa kenya wanazungumza kikabila,watanzania hatuenjoy kutune redio za kenya , , , ,na hizi redio ndio huwagawanya wakenya
Wa tz wadwanzi et! kwani weumeona shidagan?
kenya ukabila moto,kila mtaa unaokatiza watu wanazungumza kikabila ,yaani wana mambo ya kishamba sana,asilimia 98 ya redio za hapa kenya wanazungumza kikabila,watanzania hatuenjoy kutune redio za kenya , , , ,na hizi redio ndio huwagawanya wakenya
shinda zao n mingi,utapia mlo,akili punguani,ufala,na zingine haziadikiki,lakini hayo mashinda yote yaletwa na elimu duni na kuropokwa ovyo