Rais Uhuru atoa hotuba fupi kwa historia ya Kenya

Rais Uhuru atoa hotuba fupi kwa historia ya Kenya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Yaani huy rais amefaulu ku-demystify presidency.

 
Last edited by a moderator:
Lakini kawaeleza kuwa yeye ndie rais hivyo anawaeleza bado usalama kenya hakuna
 
Lakini kawaeleza kuwa yeye ndie rais hivyo anawaeleza bado usalama kenya hakuna
Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.
 
Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.
Kwani hapa inazungu mziwa hotuba ya kikwete?
 
hawa ma dwanzi wa tz shinda yao inakuangi nn haswa?
 
Peleka ukabila wako TZ, mbona unawashwa na habari za wakenya

Ukabila aache huko huko kwenu sisi wala hatuna hzo kwamba eti IGP kama alikua Luo akafa basi substitute anachukua mluo tena
 
Kwa yote aliyoyasema hilo tu ndio limekuumiza akili, mbona hukutokwa na povu wakati Kikwete alisema jinsi anahofia mashambulizi ya kigaidi yanaweza tokea hata Tanzania.

alisema anahofia tu, ila kwenu ugaid umepamba moto, TANZANIA itabaki salama milele, ila ugaid wenu unatupunguzia watalii huku tz, koz wanajua EA n moja
 
U are an embarasment to the Tanzanians on this 4rum.Haunanga hoja!
Sijakuelewa kidogo umelenga U are an EMBARRASSMENT to the Tanzanians on this 4rum. Au nivinginevyo hbuyosh
 
Last edited by a moderator:
kenya ukabila moto,kila mtaa unaokatiza watu wanazungumza kikabila ,yaani wana mambo ya kishamba sana,asilimia 98 ya redio za hapa kenya wanazungumza kikabila,watanzania hatuenjoy kutune redio za kenya , , , ,na hizi redio ndio huwagawanya wakenya
 
kenya ukabila moto,kila mtaa unaokatiza watu wanazungumza kikabila ,yaani wana mambo ya kishamba sana,asilimia 98 ya redio za hapa kenya wanazungumza kikabila,watanzania hatuenjoy kutune redio za kenya , , , ,na hizi redio ndio huwagawanya wakenya

Yet tuko mbele yenu bado mpaka ukahamia kenya
 
Wa tz wadwanzi et! kwani weumeona shidagan?


shinda zao n mingi,utapia mlo,akili punguani,ufala,na zingine haziadikiki,lakini hayo mashinda yote yaletwa na elimu duni na kuropokwa ovyo
 
Wacha mwuongo weye enda kwa fb pages za kbc,milelefm,radiomaisha,citizen ama qfm uwaone wa tz wako asilimi 60,
kenya ukabila moto,kila mtaa unaokatiza watu wanazungumza kikabila ,yaani wana mambo ya kishamba sana,asilimia 98 ya redio za hapa kenya wanazungumza kikabila,watanzania hatuenjoy kutune redio za kenya , , , ,na hizi redio ndio huwagawanya wakenya
 
shinda zao n mingi,utapia mlo,akili punguani,ufala,na zingine haziadikiki,lakini hayo mashinda yote yaletwa na elimu duni na kuropokwa ovyo

Wewe umeandika lugha gani hapa??
 
Back
Top Bottom