JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
This is ridiculous! Badala ya kutatua matatizo ya, wananchi, Ruto nae ameamua kufanya siasa za matope, hii politicision of regal system, haitamuacha salama, a weke wazi kama kweli wanamiriki siraha isivyo halali,Serikali ya Rais William Ruto imemuagiza Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na familia yake kurejesha silaha zote wanazomiliki kama familia ya Kenyatta.
Familia hio inatarajiwa kurejesha jumla ya bunduki 28 wanazomiliki tangu enzi za babake mzazi Hayati Rais Jomo Kenyatta.