Rais Uhuru Kenyatta aagizwa kurejesha bunduki zote familia yake inazomiliki

Rais Uhuru Kenyatta aagizwa kurejesha bunduki zote familia yake inazomiliki

Sooner naiona Kenya ikizama kwenye machafuko.
Ruto alipaswa awaache wastaafu wapumzike, then alipaswa adhibiti anao dhania wanapewa nguvu na wastaafu.
Lakini pia naona Ruto akiiongoza Kenya na kufanya maamuzi kwa kuongozwa na hasira ama hisia. Badala yake alipaswa amuombe Mungu wake ampe hekima na busara ili aongoze nchi vyema.
Ukiona unaongoza kwa kudhibiti wengine maana yake kazi imekushinda na hukubaliki, madikteta na manchi maskini ndio yanaongoza kwa kudhibiti wengine, Waafrica wameamka huwezi kuwaburuza unavyotaka, CCM mwisho wao unakaribia labda wabadilike
 
Ikiwa Baba yake General Muhoozi Kainerugaba Mzee YK Mu7 alitumia SmG 27 kuipindua Uganda
Basi na yeye Muigai Kenyatta atumie hizo 28 Rifles kurudi Madarakani.
Kama hataki basi akuje tuijenge kenya yetu.
Kenya sio ya kwenyu ni ya kwetu sote
 
Ruto ni mbwa toka aingie ikulu anajamba tu na kubwata na kubwaka hovyo kabisa ushuzi Kila sehemu na ngojera kinywani
 
Back
Top Bottom