Rais Uhuru Kenyatta aagizwa kurejesha bunduki zote familia yake inazomiliki

This is ridiculous! Badala ya kutatua matatizo ya, wananchi, Ruto nae ameamua kufanya siasa za matope, hii politicision of regal system, haitamuacha salama, a weke wazi kama kweli wanamiriki siraha isivyo halali,
 
Political motivated move.... anyway yule kiongozi wa Mungiki aliyekamatwa na polisi amejulikana alipo.

MK254 zitto junior
 
Ndiyo maana Tanzania Mkristo thehebu la Protestant haruhusiwi kuwa rais. Sasa ninaona logic. Protestant is too religious hata kwa vitu vya kawaida na kaishasimamia jambo walau kwa hisia tu basi ni hapohapo
Acha uongo na chuki za kimadhehebu
 
 
Ngoja wachapane
 
Waacheni wakenya wafanye ya kwao, tujitahidi kuacha ujuaji. Huku mbona kuna wastaafu wanashutumiwa kufanya mauaji kwa kujificha kwenye kivuli cha nchi ya amani.
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ˜…
Aduyi ya Mserikali
 
Kazuia pia Maziwa ya Brookside Uganda ambayo ni Kampuni ya Kenyata kuingia Kenya.

Its all out war
Si tuliambiwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia kweli kweli?

Huu udikteta unatokea tena wapi?
 
Mnataka Uhuru awe kama huku ashike remote kumuongoza Ruto ? Kama kamaliza muda wake atulie mbona yeye hakuingiliwa na Mzee Kibaki? Atulie ale pension zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…