Rais Uhuru Kenyatta aagizwa kurejesha bunduki zote familia yake inazomiliki

Ukiona unaongoza kwa kudhibiti wengine maana yake kazi imekushinda na hukubaliki, madikteta na manchi maskini ndio yanaongoza kwa kudhibiti wengine, Waafrica wameamka huwezi kuwaburuza unavyotaka, CCM mwisho wao unakaribia labda wabadilike
 
Ikiwa Baba yake General Muhoozi Kainerugaba Mzee YK Mu7 alitumia SmG 27 kuipindua Uganda
Basi na yeye Muigai Kenyatta atumie hizo 28 Rifles kurudi Madarakani.
Kama hataki basi akuje tuijenge kenya yetu.
Kenya sio ya kwenyu ni ya kwetu sote
 
Ruto ni mbwa toka aingie ikulu anajamba tu na kubwata na kubwaka hovyo kabisa ushuzi Kila sehemu na ngojera kinywani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…