Rais Uhuru Kenyatta akiendesha gari kwenye mitaa ya jiji la Nairobi jana.

britanicca hivi umetuona wote humu ni watoto wa la nne B.
 
Ninamheshimu sana President Kenyatta,ni mmoja wa Marais hapa Africa ambao wanajua kuwa siasa za kutofautina kiitikadi sio vita ya kuuana,anaelewa kuwa kuna maisha baada ya siasa,kwetu tumefikia hatua ya kuanza hata kutozikana kisa tofauti za kiitikadi wakati nchi hii ni ya watanzania wote,kitendo cha President Kenyatta kutofanya chochote wakati mpinzani wake alipokwenda kujiapisha kama Rais wa Kenya kiliniacha na imani kubwa kuwa next generations ya Wakenya wataishi maisha ya kupendana na kuvumiliana kisiasa,kwetu tutasubiri sana na tuendelee kuandamana kwenye key boards zetu.
 
Licha ya Kenya kuwa na msuguano na Al Shabab ila UK huwa anajiachia sana.

Ni kujiamini au nini?

Kwa nini wamuue UK wakati yeye ndiye anatoa pesa za kuwawezesha hao Al Shabab

Huo ni mchezo wa western power ambao UK ameuridhia. akishirikuana na vigogo wa Al Shabab
 
Umenielewa? Nimesema walinzi wanakuwapo
 
Mnadanganya wee unadhani Rais anaishi kwa utashi wake, iyo picha tuu. Uhalisia Hapo kazungukwa na ulinzi hata iyo gari ukiangalia kwa haraka ni bullet proof
 
Kuzaliwa unaona ng’ombe na kukua unachunga ng’ombe ni shida. Kutoa damu kwako si shida. UK amezaliwa kwenye bata, bila urais yeye ni tajiri.
Hivi utajiri wa kina Uhuru ulipatikanaje mkuu?
 
Shida kubwa maisha ya Viongozi wakubwa wengi ni maigizo hapo waweza kuta gari tano mbele nyuma kushoto kulia ni usalama, huyo bibi ni usalama na hata mpiga picha ni usalama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini wamuue UK wakati yeye ndiye anatoa pesa za kuwawezesha hao Al Shabab

Huo ni mchezo wa western power ambao UK ameuridhia. akishirikuana na vigogo wa Al Shabab
Ukiitwa kutoa ushahidi utakwenda? Madaraka yasiwafanye kudhani mnaweza kuropoka chochote juu ya kiongozi yeyote. Ujue UK siyo Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…