Rais Uhuru Kenyatta akiendesha gari kwenye mitaa ya jiji la Nairobi jana.

Rais Uhuru Kenyatta akiendesha gari kwenye mitaa ya jiji la Nairobi jana.

alikuwa anajifungia ndani?
Mbona mwenzake tunakunya naye madafu mtaani? tena akiwa anatembea kwa miguu.
Mlikunywa naye dafu wapi.

FB_IMG_1500545818469.jpg
 
Sometimes hua unatoa vi_comments kama binti ambae hajavunja ungo. Ni hatari sana hawa ndio wasomi wetu, ndio wazee wetu few years to come. Shame
Kuzaliwa unaona ng’ombe na kukua unachunga ng’ombe ni shida. Kutoa damu kwako si shida. UK amezaliwa kwenye bata, bila urais yeye ni tajiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ili ni jambo la kawaida sana?

Hata Jakaya niliwahi kutana naye Ocean Road mwaka 2008 akiwa anaendesha mwenyewe, na hakuna mtu angemgundua maana gari lilikuwa na Plate number ya kawaida, alafu wakati anarudi kutoka anakotoka ndipo akasimama kumsalimia jamaa (Mr Salu wa IFM)

Kwa Uhuru Kenyatta yeye anaenda mpaka mazingira hatarishi zaid kuna sehem inaitwa Kayole kuna wahuni wengi anaenda mpaka huko, cha msingi uwa anabeba mpunga wa kutosha,

Hivyo hata Magufuli hamjakutana naye akiamua anatokea huko Nyuma anaenda zake,

Mbona kuna kipindi walinzi walimzuia kutokea geti la mbele, akawa mjanja akarudi nyuma kama anaokota okota uchafu mara huyo kaibukia kwa Wavuvi, akaanza kupiga nao story, baada ya Muda wale jamaa kugundua ndo wakaanza kufurika kuleta ulinzi,

Mara Nyingi huwa ni scenario za kutengeneza maana hawa marais huwa wana watu wao kwamba ntaenda sehem, we unaona hakuna ulinzi kumbe umeimarishwa sana, usije thubutu hata siku moja kukutana na president akiwa mwenyewe ukafurahi kwamba umepata nafasi ya kutimiza unalotaka , utakufa kabla ya siku zako

Britannica
Kadanganye wapumbavu wenzio huko Lumumba.
 
Magu kaza hivyo hivyo baba, haya ma_chadeema majizi hayana nafasi. Ulinzi ni muhimu kwako hata ukiwa unaenda chooni. Wewe ndio kauli ya mwisho na unapambana na majizi yaliyo jimilikisha nchi LAZIMA ULINDWE na hakuna haja ya kuzurura mitaani sijui nini ila ukijiskia zurura nchi yetu haina magaidi, hakuna vita ya wenyewe kwa wenyewe. Magu mpaka 2025.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raisi Uhuru Kenyatta ni kiboko ya Maalshababu na Serikali yao.
 
Huyo aliepiga picha ni mtu wa kitengo kwenye kioo cha side mirror unaziona gari nyeusi nyuma ya gari la Raisi ni gari za Kitengo huyo mama anaweza kuwa mkimbizi wa Kisomali.
 
Back
Top Bottom