BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga tu kelele hapo wakati sisi tunasonga mbele.
Hongereni kwa kusonga mbelePiga tu kelele hapo wakati sisi tunasonga mbele.
Bongolalas so obsessed with Kenya....
Hahahaha hivi kwanini miradi yote inayofilisi Taifa lenu ni ya Nairobi?
Miradi yote ipo central Kenya na yote ni ya kifisadi.
ignorance at a national level...Kwanini usipolijua jambo huwezi nyamaza?
Hii barabara umesoma wapi ni ya Nairobi?
Bongolalas so obsessed with Kenya....
ha ha ha... projects zinazoendelea Kenya hata mimi zinanishtua ...Bongolalas wamebaki na ile ujinga ya kutoka 2005..mara kibera..and such shit...They are jealous when they see mega projects in Kenya.
Their biggest road project is an interchange that is about 200m long. π π π
Kuna bongolala mwingine hadi leo anangoja sign post ya Nairobi Expressway ndio aamini inajengwa.
Columns ambazo zimeshajengwa anasema ni kifumba macho. πππ
guys..arent you not aware that this road had already been started to be built..this road will be connected with nairobi expressway..by the time they will be done with it bechtell from USA will also begin constructing mombasa-nairobi expressway..when it comes to infrustructures in kenya president uhuru is not a force to recorn with...na msihau president uhuru has also directed that railway city to be constructed within 2-5 years since 40 investors have already being found..remember the no joke general badi stated that railway city will be constructed very soon..the old railway pension schemes houses have being marked for demolision and people were issued notice to vacate to pave way for the construction of the city..below are some progress of the road,,
View attachment 1584886
View attachment 1584887View attachment 1584888View attachment 1584889
Wewe hujaiona maskini akinunua baiskeli? Anataka kujilinganisha hadi na mwenye gari.They are jealous when they see mega projects in Kenya.
Their biggest road project is an interchange that is about 200m long. π π π
Kuna bongolala mwingine hadi leo anangoja sign post ya Nairobi Expressway ndio aamini inajengwa.
Columns ambazo zimeshajengwa anasema ni kifumba macho. πππ
It actually starts deep in Kiambu county......Nairobi border is at Uthiru which is like 20km south of Rironi where the proposed highway beginsKwani Nakuru iko Nairobi ?
Is kericho in Nairobi?
This is a road that starts at the border between Nairobi and Kiambu County and ends in Kericho county. The second phase will be from Kericho to Malaba
Thanks for the correction.It actually starts deep in Kiambu county......Nairobi border is at Uthiru which is like 20km south of Rironi where the highway begins
- Rais Uhuru Kenyatta anapanga safari ya kwenda Ufaransa kuomba mkopo wa KSh 180 bilioni
- Uhuru atafanya mkutano wa kibiashara na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron katika ikulu ya ΓlysΓ©e
- Fedha hizo zinatarajiwa kugharamia ujenzi wa barabara ya Rironi-Nakuru-Mau Summit yenye umbali wa kilomita 190
- Kulingana na katiba, Rais anapaswa kumuachia naibu wake majukumu kwa muda ambao hatakuwa nchini
Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuondoka nchini Jumatano, Septemba 30, 2020 kuelekea nchini Ufaransa kwa ajili ya mkutano wa kibiashara.
Kikatiba, Naibu wake William Ruto anapaswa kushikilia nafasi ya urais hadi atakaporejea nchini baada ya kukamilisha shughuli zake.
Rais atafanya mkutano na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron kuhusu mkopo wa KSh 180 bilioni ambao unatarajiwa kugharamia mradi wa ujenzi wa barabara ya Rironi-Nakuru-Mau Summit.
Barabara hiyo inasemekana ni ya umbali wa kilomita 190.
Hii inakuwa safari ya kwanza ya kimataifa kwa Rais Uhuru Kenyatta tangu kisa cha kwanza cha virusi vya corona kiliporipotiwa nchini Machi 13.
Hata hivyo, Rais na naibu wake hawajakuwa wakionekana pamoja kwa umma kama walivyokuwa hapo awali hasa wakati wa muhula wa kwanza walipoingia afisini.
Licha ya tofauti ambazo zimekithiri kati yao kwa miezi za hivi majuzi, Wakenya wamesubiri kuona iwapo Rais atampokeza naibu wake majukumu yake kabla ya kuondoka nchini.
Macho ya Wakenya sasa yameelekezwa kwa Ruto, wengi wangependa sana kuona utendakazi wake akiwa amekalia kiti cha Rais hata iwe kwa siku mbili.
---
MY TAKE: Hivi hali ya maambukizi ya Corona Ufaransa yakoje?
Hawa ndio wenye akili? π π π π πignorance at a national level...
Hahahaha, anatafuta "Mdhungu", aka " Mungu wa wakunya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wenye akili? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Slave looking for a master
To master her puuussssy
View attachment 1585193
π π π π π Dah yaani hawa watu sijui wazungu waliwafanyaga nini! Sio wanaume kila kukicha wanaolewa na wazungu sio dada zao π π π πHahahaha, anatafuta "Mdhungu", aka " Mungu wa wakunya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]