Rais Uhuru Kenyatta anapanga safari ya kwenda Ufaransa kuomba mkopo wa Ksh 180 Bilioni

Piga tu kelele hapo wakati sisi tunasonga mbele.

Kwa hiyo Wanjohi atamuachia kiti Mhesh wa wananchi kwa kipindi chote akiwa ana blaze huko Paris?.. au ataongoza nchi kwa kutumia zoom na wasap akiwa huko Paris?
 
Bongolalas so obsessed with Kenya....
 
Hahahaha hivi kwanini miradi yote inayofilisi Taifa lenu ni ya Nairobi?

Miradi yote ipo central Kenya na yote ni ya kifisadi.

Kwanini usipolijua jambo huwezi nyamaza?
Hii barabara umesoma wapi ni ya Nairobi?
 
Bongolalas so obsessed with Kenya....

They are jealous when they see mega projects in Kenya.
Their biggest road project is an interchange that is about 200m long. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Kuna bongolala mwingine hadi leo anangoja sign post ya Nairobi Expressway ndio aamini inajengwa.
Columns ambazo zimeshajengwa anasema ni kifumba macho. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ha ha ha... projects zinazoendelea Kenya hata mimi zinanishtua ...Bongolalas wamebaki na ile ujinga ya kutoka 2005..mara kibera..and such shit...
tumewaacha
 
guys..arent you not aware that this road had already been started to be built..this road will be connected with nairobi expressway..by the time they will be done with it bechtell from USA will also begin constructing mombasa-nairobi expressway..when it comes to infrustructures in kenya president uhuru is not a force to recorn with...na msihau president uhuru has also directed that railway city to be constructed within 2-5 years since 40 investors have already being found..remember the no joke general badi stated that railway city will be constructed very soon..the old railway pension schemes houses have being marked for demolision and people were issued notice to vacate to pave way for the construction of the city..below are some progress of the road,,


 
Hapa nayo hujadanganya, when it comes to infrastructure there is no President that can come close to Uhuru. Maybe huko mbeleni.
 
Wewe hujaiona maskini akinunua baiskeli? Anataka kujilinganisha hadi na mwenye gari.
 
Kwani Nakuru iko Nairobi ?
Is kericho in Nairobi?
This is a road that starts at the border between Nairobi and Kiambu County and ends in Kericho county. The second phase will be from Kericho to Malaba
It actually starts deep in Kiambu county......Nairobi border is at Uthiru which is like 20km south of Rironi where the proposed highway begins
 
It actually starts deep in Kiambu county......Nairobi border is at Uthiru which is like 20km south of Rironi where the highway begins
Thanks for the correction.
 

Hii taarifa mwenye aliweka kwa mtandao ka kosea, it is a PPP(public private partnership) basis. Treasury wont be burdenned to repay, so national budget wont be affected in any way, project itajilipa yenyewe kama express way., pole zangu kwako, unatakia Kenya ku fail, but come 2022-2030, mtalia lia humu eti Kenya imepika GDP ama kusema ni ya makaratasi ilhali facts ziko open.
 
Hahahaha, anatafuta "Mdhungu", aka " Mungu wa wakunya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Dah yaani hawa watu sijui wazungu waliwafanyaga nini! Sio wanaume kila kukicha wanaolewa na wazungu sio dada zao πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Pamoja na wazungu na wachina kuwatembezea vichapo kila leo nchini kwao lakini bado hawakomi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…