Rais Uhuru Kenyatta ataka Makamishina wa IEBC watimuliwe haraka

Rais Uhuru Kenyatta ataka Makamishina wa IEBC watimuliwe haraka

Siasa za Kenya pasua kichwa. Juzi Kabogo amechafuwa hali ya hewa alipomwambia Ruto asiwe na uhakika mia kwa mia atapata kura za wa kikuyu 2022. Raila amechangamkia fursa na kumwaalika Ruto kushirikiana cord! Meanwhile katika mji wa Eldoret(ngome ya Ruto) imebidi wakikuyu kuundamana kupinga kauli ya Kabogo ambayo bila shaka inahatarisha masilahi ya mkikuyu North Rift. Sijui lini Kenyans will outgrow tribal politics.
 
Ina maana hii katiba mpya ya Kenya ati iliwekwa ili kuwakandamiza wakikuyu kisiasa? How?
Jameni Barbarosa. Hii kukurupuka kwako kutakutia pabaya sana siku moja!
Kama ni hivo, basi wakikuyu hata hawangelikubali. Lakini waliisupport karibu 99%!
 
Hauwezi ukavunja ukabila kwa kubagua baadhi ya makabila. Leo hii tukiendekeza dhana ya kuwakandamiza Wajaluo na Wakikuyu hapo tutakua tumeongeza petroli kwa moto.

Cha msingi ni atokee mtawala ambaye hatokubali kuwa na makundi ya wabaguzi ndani yake.
Haiwezekani kutoka mtu kando amalize tatizo kenya la kutawala, kwanza angalia history, babayake Uhuru Kenyatta na babayake Raila, na Tom mboya, waligombania madaraka na katika hilo wajaluo walikuwa 6 kati ya wa 8 katika sakata hilo, kwahivyo kwa kuwa kulikuwa na ugomvi kati ya Odinga na Tom mboya wakaamua kumpisha Kenyatta kwa vile alikuwa mkubwa wao,waliingiza mila, lakini Serikali ilitaka kati ya Odinga na Tom mboya kwahivyo bifu imeanza kwa wazee kwanza,mjaluo kuachia hilo hawezi kukubali.!
 
Ina maana hii katiba mpya ya Kenya ati iliwekwa ili kuwakandamiza wakikuyu kisiasa? How?
Jameni Barbarosa. Hii kukurupuka kwako kutakutia pabaya sana siku moja!
Kama ni hivo, basi wakikuyu hata hawangelikubali. Lakini waliisupport karibu 99%!

I was asking myself the same thing.. yani hii katiba anadhani tuliipitisha ndio tubane wakikuyu ama kabila lolote lile? jamaa ashanchanganya mimi.
 
I was asking myself the same thing..yani hii katiba anadhani tuliipitisha ndio tubane wakikuyu ama kabila lolote lile?jamaa ashanchanganya mimi.
Kenyatta na Raila walikuwa pamoja wakipigia debe katiba!
 
Kenyatta na Raila walikuwa pamoja wakipigia debe katiba!
Ndo ujue tatizo sio KATIBA wala IEBC siku ambayo kenya itaacha ukabila tu, inanyooka kwani unadhani upinzani malalamiko yao ndo basi yameisha, hapana mkuu..!
 
Ndo ujue tatizo sio KATIBA wala IEBC siku ambayo kenya itaacha ukabila tu, inanyooka kwani unadhani upinzani malalamiko yao ndo basi yameisha, hapana mkuu..!
Elewa hili, suala hapa sio ukabila.
 
Kaabah, hili suala la upinzani kutokuamini elections supervisors sio jambo geni, hasa kwenye democracy changa. Hata hapo tz tulishuhudia jinsi vyama vya upinzani vilivolalamika jinsi (IEBC ya huko) ilivyokuwa ikipendelea chama kilicho mamlakani.
 
Hapo shida siyo hiyo IEBC wapinzani wote akili zao zinafanana ni ndogo, hapo ni zaidi ya hiyo Tume na utaona hata kama hiyo Tume ikiondolewa watakuja na demands nyingine mpya na hilo Raisi
Uhuru Kenya analijua, lengo la Raila ni kama alivyokuwa fisadi Lowasa anataka kuwa sehemu ya Serikali yaani anataka kama vile mwaka 2007/08 aidha awe Raisi wa Kenya au ikishindikana kabisa basi waunde Serikali ya mseto hicho ndicho kiko nyuma yake kwa maana wanajua kwamba kwa hali ya kawaida hawawezi kumshinda Uhuru Kenya kwa kuwa Wakikuyu ndiyo kundi kubwa Kenya, hivyo ni kwa hila tu ndiyo wanweza kushinda!

Hata hiyo Katiba mpya wengi hawawelewi lkn lengo lilikuwa ni hilo hilo kuvunja nguvu ya Wakikuyu ili Raila aweze kuwa Raisi kwa maana kwa kura peke yake hawezi, na ndiyo maana unaona mambo yalivyo kwenda ndivyo sivyo Raila huyo huyo ambaye ndiye champion wa Katiba mpya na aliyeshiriki kuunda hiyo Tume inayoitwa huru leo hii haitaki, na sababu wala siyo ufanisi wa hiyo Tume la hasha, bali sababu ni kwamba imeshindwa kumuingiza madarakani hawo ndiyo wanasiasa wetu ...
sijakuelewa Raila kama alivyokuwa fisadi Lowassa anataka awe sehemu ya serikali! kwani Lowssa toka ameihama ccm amewahi kuwa sehemu ya serikali?. Akili yangu inanituma kuwa Uhuru ni kiongozi msikivu nimekuwa nikiona na kusikia kauli zake ni za kusaidia wakenya katika kuhakikisha amani ya Taifa lao.
 
Lakini Kaabah, kinyume na Kenya, watanzania ni wanyenyekevu, hampendelei vurugu hata kidogo. Ndio uzuri wenyu.
Otherwise, ile karata tuliona imechezwa pale Zanzibar ingeibua fujo kubwa sana hapa Kenya.
 
Kaabah, hili suala la upinzani kutokuamini elections supervisors sio jambo geni, hasa kwenye democracy changa. Hata hapo tz tulishuhudia jinsi vyama vya upinzani vilivolalamika jinsi (IEBC ya huko) ilivyokuwa ikipendelea chama kilicho mamlakani.
Sasa kama ni hivyo...kwa mtazamo wako nini kifanyike
 
Lakini Kaabah, kinyume na Kenya, watanzania ni wanyenyekevu, hampendelei vurugu hata kidogo. Ndio uzuri wenyu.
Otherwise, ile karata tuliona imechezwa pale Zanzibar ingeibua fujo kubwa sana hapa Kenya.
Sawa Watanzania ni wanyenyekevu na hawapendelei vurugu,mambo haya hayakuja hivi hivi tu nikutokana na juhudi za waasisi wa taifa hili kwamba walizingatia usawa, haki, upendo na kujali utu wa binadamu.hali ikiwa kinyume matokeo yake ndio hayo ambayo inawabidi watu kama Uhuru wayafanyie kazi. Kiukweli Uhuru Kenyatta ni kiongozi wa ukweli.
 
Sasa kama ni hivyo...kwa mtazamo wako nini kifanyike
It's obvious, there has to be instituted an INDEPENDENT and CREDIBLE electoral body that will carry out its functions without fear or favor.
 
Kaabah, hata ukabila liondolewe kabisa kwenye desturi ya jamii ya Kenya leo hii, as long as kutakuwa na makundi zinazong'ang'ania uongozi kwa kutegemea chaguzi zinazosimamiwa na mamlaka za uchaguzi, matatizo bado yataikuwa ikiwa mamlaka hiyo haitaminika.
 
Kaabah, hili suala la upinzani kutokuamini elections supervisors sio jambo geni, hasa kwenye democracy changa. Hata hapo tz tulishuhudia jinsi vyama vya upinzani vilivolalamika jinsi (IEBC ya huko) ilivyokuwa ikipendelea chama kilicho mamlakani.

Lakini hebu tuulizane maswali Iconoclastes hivi una uhakika leo huyo Hassan na kundi la viongozi wenzie wa IEBC wakiondolewa ndio hili zogo litakua limeisha?
Ninachojua ni kwamba Afrika, labda Yesu mwenyewe ndiye asimamie uchaguzi ndio uwe wa huru asilimia mia kwa mia. Wizi wa kura Kenya hutendeka tu kwa vyoyote vile, na huwa unatendeka hata kwa upinzani, unakuta hata maeneo ya upinzani wanakua na takwimu zinazidhihirisha wizi umetendeka huko.

Ilmradi viongozi wanashindana kila mtu anataka aongoze nchi, pamoja na wapambe wao, lazima panakua na mvutano wa shika nikamate, pasua kichwa. Hata kule Tanzania tulishuhudia unyanyasaji wa hali ya juu haswa pale Zanzibar, japo wao huwa waoga na serikali ilijaza huko askari wa JWTZ hadi jamaa wakanywea tuli. Ikizingatiwa Waswahili walivyo waoga hata kuinua kichwa ili walalamike hawakuthubutu, japo watakuambia eti ni kwasababu Nyerere aliwafanya wakawa wastaarabu, na ndio maana ukiwa Tanzania wakati wa kampeni, TV huonyesha hotuba za Nyerere sana. Yaani watu wasihoji sera maana Nyerere alisema wawe wastaarabu, Zanzibar iliwalazimu Marekani ndio wahangaike kuwatetea.

Hapa Kenya kwa sasa kitakachowaokoa upinzani ni kuhamasisha wafuasi wao wajisajili kwa mamilioni, yaani hadi hata kura zikiibiwa bado waibuke washindi. Lakini hizi vurugu wanazozifanya zitazidi kuwazika kwenye kaburi la sahau, maana tayari wafuasi wa upande wa serikali wameingiwa na taharuki, hivyo watajitokeza hadi wazee, wagonjwa, walemavu kujisajili kwa nguvu zote ili wazuie upinzani.

Tusipokua makini, 2017 patachimbika maana utakua ni ushindani wa kubanana shingoni na kwenye pua, kila upande watajitokeza kupiga kura kiasi cha kutisha.
 
Lakini hebu tuulizane maswali Iconoclastes hivi una uhakika leo huyo Hassan na kundi la viongozi wenzie wa IEBC wakiondolewa ndio hili zogo litakua limeisha?
Ninachojua ni kwamba Afrika, labda Yesu mwenyewe ndiye asimamie uchaguzi ndio uwe wa huru asilimia mia kwa mia. Wizi wa kura Kenya hutendeka tu kwa vyoyote vile, na huwa unatendeka hata kwa upinzani, unakuta hata maeneo ya upinzani wanakua na takwimu zinazidhihirisha wizi umetendeka huko.

Ilmradi viongozi wanashindana kila mtu anataka aongoze nchi, pamoja na wapambe wao, lazima panakua na mvutano wa shika nikamate, pasua kichwa. Hata kule Tanzania tulishuhudia unyanyasaji wa hali ya juu haswa pale Zanzibar, japo wao huwa waoga na serikali ilijaza huko askari wa JWTZ hadi jamaa wakanywea tuli. Ikizingatiwa Waswahili walivyo waoga hata kuinua kichwa ili walalamike hawakuthubutu, japo watakuambia eti ni kwasababu Nyerere aliwafanya wakawa wastaarabu, na ndio maana ukiwa Tanzania wakati wa kampeni, TV huonyesha hotuba za Nyerere sana. Yaani watu wasihoji sera maana Nyerere alisema wawe wastaarabu, Zanzibar iliwalazimu Marekani ndio wahangaike kuwatetea.

Hapa Kenya kwa sasa kitakachowaokoa upinzani ni kuhamasisha wafuasi wao wajisajili kwa mamilioni, yaani hadi hata kura zikiibiwa bado waibuke washindi. Lakini hizi vurugu wanazozifanya zitazidi kuwazika kwenye kaburi la sahau, maana tayari wafuasi wa upande wa serikali wameingiwa na taharuki, hivyo watajitokeza hadi wazee, wagonjwa, walemavu kujisajili kwa nguvu zote ili wazuie upinzani.

Tusipokua makini, 2017 patachimbika maana utakua ni ushindani wa kubanana shingoni na kwenye pua, kila upande watajitokeza kupiga kura kiasi cha kutisha.
Swali gumu hilo, mimi pia nimekuwa nikiwaza juu ya suala hilo hilo; je, Isaak Hassan na tume lake wakitimuliwa hapo ndipo itakuwa suluhu kwa vyama vya kisiasa kutokuwa na uaminifu na tume ya uchaguzi? I really doubt that will happen.
Hata kama the next electoral body itasimamia uchaguzi ambao upinzani (CORD) itaibuka washindi, pengine baadhi ya wafuasi wa chama kilichoko mamlakani kwa sasa (JUBILEE) watadai udanganyifu, tume ya uchaguzi ni vibaraka vya upinzani na kuzua rabsha baadaye.

In 2013, mimi nilidhani kutumika kuwa electronic voter registry ingetatua hayo matatizo yote, lakini tena tulishuhudia yale maadai yaliyochipuka ati they could have hacked into the system, that it isnt temper proof after all.
What I think has further provided the CORD the fodder for their current objections against the IEBC is that so-called "chicken Gate Scandal". Otherwise, they had very little basis, for there was limited evidence about that hacking claim.

IMO, I think the solution to this problem of mistrust of the electoral authorities in such young democracies and rather volatile countries as Kenya is by having UN backed international bodies that are independent and impartial to supervise our elections, until such a time that we mature up. But ofcoss too many would oppose such an idea as preposterous, they would argue that would be contravening our national sovereignty.

Tusipochunga, whatever happened in 2007/08 would be chicken feeds in comparison to what would happen in 2017!
 
Hivi umesoma nilichokisema kabla hujajibu, nimekuuliza Kenya imeongozwa kwa miaka 24 na mtu asiye na asili ya Kikikuyu na pia sasa hivi muungano wa rais Uhuru una wabunge zaidi ya upinzani, na kwamba Wakikuyu ni asilimia 22% hapo wapo hata wasiokua na uwezo wa kupiga kura hadi watoto, hebu tafakari upya.
Ficha upumbavu wako
Kenya wakikuyu ndio waanzilishi wa Ukabila
Maneno yakipumbavu wakikuyu wanayapenda sana

Watu wasio penda.ukabila maneno kama haya kamwe hawezi ropoka ----- Kill Raila and All Luos - Moses Kuria and Waititu - Kenya Talks
Kumbukeni mwachezea shiringi juu ya tundu la choo
 
Let me also correct u MK254, that suluhisho kwa CORD sio kumasisha wafuasi wao kujiandikisha kwa mamilioni. It isnt like the other side isnt doing the same.
CORD marshalled millions in the last elections, remember. No wonder the result was almost 50/50.
 
Back
Top Bottom