Rais Uhuru Kenyatta atoa amri ya kufungwa kwa boda ya Kenya-Tanzania na Kenya-Somalia kwa siku thelathini

Rais Uhuru Kenyatta atoa amri ya kufungwa kwa boda ya Kenya-Tanzania na Kenya-Somalia kwa siku thelathini

Watanzania wanaumwa kweli kweli.They are good in talking but action ni zero, I can remember a time that Kenya blocked flour which were coming from Tanzania. Waliongea hapa venye watarevenge but up to date I'm still waiting for the revenge.
Mdomo refuuu tu na ubabe ambao haushirikishi ubongo, hata kwenye masuala ya janga ambalo limefanya nchi zote zishirikiane ukanda huu, isipokuwa Tanzania. Mwisho wa siku itakula kwao. Nakukumbuka wakati wa figisu hizo zao za kibiashara dhidi ya Kenya. Baada ya kupiga marufuku maziwa kutoka Kenya walikomeshwa na hadi sasa hivi unga wa ngano kutoka Tz haujakubaliwa tena Kenya. Zaidi ya hiyo, Uganda wakawapiku kwenye mauzo ya bidhaa zao Kenya. Hata mahindi tu ambayo Kenya imekuwa ikiagiza kutoka mwaka huo, 70% huwa yanatoka Uganda. Kenya iliagiza tani 69,000 kutoka UG, Tz tani 10,000 tu na mwaka huo Kenya ikazalisha tani 360,000, na bado. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
 
Madereva wenu lazima wapimwe upande wa Kenya kwa kutumia vifaa vyetu ili waruhusiwe kuingia. Juzi niliona kwenye video mkuu wa mkoa wa Tanzania uliopakana na Namanga akitoa amri kuwa madereva wa TZ hawatapimwa upande wa Kenya, lazima wapimwe upande wa TZ. Rais Uhuru leo amesema aidha madereva wenu wapimwe upande wa KE au hawataruhusiwa kuingia. Middle income imeanza kupiga pressups. Nyie Ldc itabidi mumetii. Vipimo vyenu hatuviamini sisi, vinasema eti nanasi na chungwa vina corona? Geza Ulole
Tutaona kama watapimia upande wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdomo refuuu tu na ubabe ambao haushirikishi ubongo, hata kwenye masuala ya janga ambalo limefanya nchi zote zishirikiane ukanda huu, isipokuwa Tanzania. Mwisho wa siku itakula kwao. Nakukumbuka wakati wa figisu hizo zao za kibiashara dhidi ya Kenya. Baada ya kupiga marufuku maziwa kutoka Kenya walikomeshwa na hadi sasa hivi unga wa ngano kutoka Tz haujakubaliwa tena Kenya. Zaidi ya hiyo, Uganda wakawapiku kwenye mauzo ya bidhaa zao Kenya. Hata mahindi tu ambayo Kenya imekuwa ikiagiza kutoka mwaka huo, 70% huwa yanatoka Uganda. Kenya iliagiza tani 69,000 kutoka UG, Tz tani 10,000 tu na mwaka huo Kenya ikazalisha tani 360,000, na bado. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
You know very little or nothing about this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdomo refuuu tu na ubabe ambao haushirikishi ubongo, hata kwenye masuala ya janga ambalo limefanya nchi zote zishirikiane ukanda huu, isipokuwa Tanzania. Mwisho wa siku itakula kwao. Nakukumbuka wakati wa figisu hizo zao za kibiashara dhidi ya Kenya. Baada ya kupiga marufuku maziwa kutoka Kenya walikomeshwa na hadi sasa hivi unga wa ngano kutoka Tz haujakubaliwa tena Kenya. Zaidi ya hiyo, Uganda wakawapiku kwenye mauzo ya bidhaa zao Kenya. Hata mahindi tu ambayo Kenya imekuwa ikiagiza kutoka mwaka huo, 70% huwa yanatoka Uganda. Kenya iliagiza tani 69,000 kutoka UG, Tz tani 10,000 tu na mwaka huo Kenya ikazalisha tani 360,000, na bado. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
Last year we had surplus balance of trade against them. That shows that we sell more to them compared to what they sell to us.
 
Hebu kuwa serious kidogo!
Unachukuliaje unapoambiwa sitaki watu wako wana corona ila lete chakula chako! Dharau!

Kufunga mipaka ni ishu nzito kimataifa ndugu, tumeshaathirika kidiplomasia tayari kwa kauli ya Kenyatta kusema anafunga mpaka na Tanzania sababu wamekuwa covid centre!

Tafakari kiUtanzania achana na tafakari za kichama!

Halafu wenzenu tulikosa mikopo Loan Board tukatafuta scholarship nje, tulipata elimu buree! Huu ni mfano tu, lakini hata tunaonunua madini na kwenda kuuza nje ishakula kwetu!

Wafanyabiashara wanaokwenda China je? Dubai? Singapore? Passport yetu inapigwa blacklist kote huko! Twende tuu
corona ipo dunia nzima sasa kwa nini watunyanyapae ?
hata wao kenya bado hawajadhibiti.
corona ya kenya ilipitia airport yao haukutokea tz.
ndo nasema kama wanaona sisi ni covid centre basi wafunge mpaka mazima.
corona ni tatizo ambalo hata super power hawajapata utatuzi bado sas kwa nini kudharauliana ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndio muendelezo wa mapigo ya kuipuuza kuibeza na kuiita Corona kaugonjwa kadogo. Sasa hasara itatuandama sisi sote, wakenya kwa watanzania, baada ya rais Kenyatta kufunga boda kati ya Kenya na Tanzania na pia Kenya-Somalia. Amri ambayo itadumu kwa siku thelathini zijazo.

Sio jambo njema wala la kufurahiwa ila haina budi kufikia maamuzi kama haya ili kujilinda dhidi ya maambukizi zaidi ya Corona. Ikitiliwa maanani kwamba Kenya imetimiza hatua nyingi, kwenye malengo yake ya vita dhidi ya maambukizi ya Corona. Hatua zote hizo na shughuli zote hizo zitakua za bure iwapo tutalegeza kamba. Hadi leo hii kwenye boda Kenya imewazuia madereva 78 kuingia nchini, baada ya wao kupatikana wana virusi vya Corona.



Heri kufa kuliko kuisaliti Tanzania na serikali yake hata awe Rais wa aina gani am nothing to this amazing nation, it's awesome to be Tanzanian. Kenyans are just Hypocrite and this is is the only time that we should exercise our patriotism than ever. I stand firm with my assertion.
 
Mdomo refuuu tu na ubabe ambao haushirikishi ubongo, hata kwenye masuala ya janga ambalo limefanya nchi zote zishirikiane ukanda huu, isipokuwa Tanzania. Mwisho wa siku itakula kwao. Nakukumbuka wakati wa figisu hizo zao za kibiashara dhidi ya Kenya. Baada ya kupiga marufuku maziwa kutoka Kenya walikomeshwa na hadi sasa hivi unga wa ngano kutoka Tz haujakubaliwa tena Kenya. Zaidi ya hiyo, Uganda wakawapiku kwenye mauzo ya bidhaa zao Kenya. Hata mahindi tu ambayo Kenya imekuwa ikiagiza kutoka mwaka huo, 70% huwa yanatoka Uganda. Kenya iliagiza tani 69,000 kutoka UG, Tz tani 10,000 tu na mwaka huo Kenya ikazalisha tani 360,000, na bado. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
Sasa unaongea kama tumedhurika vile..,sisi hatuna hasara kwa chochote,...zaidi mtaumia ninyi wenyewe.
 
Watanzania wanaumwa kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23]. They are good in talking but action ni zero, I can remember a time that Kenya blocked flour which were coming from Tanzania. Waliongea hapa venye watarevenge but up to date I'm still waiting for the revenge.
Tulizuia maziwa na Sigara zenu mkaachia haraka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani mada si ni kenya kufunga mpaka wao kwa 30 days,na wewe uka saport kwamba wanalinda wananchi wao ?
ingekuwa kufunga mpaka corona ndo inaisha hapo ni sawa lakini wanafunga mpaka alafu watakuja fungua na corona haijaisha.
mi nachoona waache kufanya kama tanzania ndo imeasisi corona na kama ni tanzania basi wafunge mazima hatutaki ujirani nao.
dawa ya kiburi na zarau.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ni wajinga kwasababu wameogopa kufunga magari ya mizigo wanajua watakosa kula,chakula wanategemea Tz,hawana jeuri ya kufunga kabisa
 
Mdomo refuuu tu na ubabe ambao haushirikishi ubongo, hata kwenye masuala ya janga ambalo limefanya nchi zote zishirikiane ukanda huu, isipokuwa Tanzania. Mwisho wa siku itakula kwao. Nakukumbuka wakati wa figisu hizo zao za kibiashara dhidi ya Kenya. Baada ya kupiga marufuku maziwa kutoka Kenya walikomeshwa na hadi sasa hivi unga wa ngano kutoka Tz haujakubaliwa tena Kenya. Zaidi ya hiyo, Uganda wakawapiku kwenye mauzo ya bidhaa zao Kenya. Hata mahindi tu ambayo Kenya imekuwa ikiagiza kutoka mwaka huo, 70% huwa yanatoka Uganda. Kenya iliagiza tani 69,000 kutoka UG, Tz tani 10,000 tu na mwaka huo Kenya ikazalisha tani 360,000, na bado. Kenyans import $31.2m maize from the region to meet demand - Kenya
Sisi hatutegemei Kenya, Tafadhali fahamu kwamba 80% ya mahindi yetu yanaenda kusini mwa Afrika, ila Uganda wanategemea kuuza kwenu by 90%. Actually hatuhitaji kuuza kwenu ila ninyi ndio mnakuja kutuomba tuwauzie mahindi, sasa hivi WFP ndio wanachukua mahindi kwetu, wananunua kwa bei nzuri zaidi yenu, tukiuza mahindi mengi kwenu tunapata hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom