God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Ni kweli huyu ndo Rais bora Duniani, ndio maana juzi katuwekea alicho-sign Zuma kwenye daftari la wageni Ikulu.Uhuru ni Rais bora kwa sasa Africa kuliko marais wengi uchwara ......
Mambo ya kutumia kilevu hayo ni mambo binafsi kwani hata kama anatumia naona kinamsaidia maana kimemfanya awe viongozi bora na wa kuigwa na viongozi karibu wote wa Africa ....
Maana atakuwa anatumia kwa taifa sio hasara.....
Amefanya mambo gani huko Kenya mkuu embu tupe habari tuanze kumfatilia huyu Mh RaisUhuru ni Rais bora kwa sasa Africa kuliko marais wengi uchwara ......
Mambo ya kutumia kilevu hayo ni mambo binafsi kwani hata kama anatumia naona kinamsaidia maana kimemfanya awe viongozi bora na wa kuigwa na viongozi karibu wote wa Africa ....
Maana atakuwa anatumia kwa taifa sio hasara.....
Nenda Kenya basi umfate huyo Kenyatta wako Hapa TZ unapoteza mda Tu.Hata akilala bar la msingi awape maendeleo watu wake sio anaeshinda ibadani alafu mtaani njaa kali na ajira hakuna,namkubali sana dogo harakati pamoja na usela wake.
Ndiye rais wa kwanza Afrika kutia saini ya mswada wa kupunguza riba huku akiwa anamiliki bank kutoka 24% mpaka 12%-14 %Amefanya mambo gani huko Kenya mkuu embu tupe habari tuanze kumfatilia huyu Mh Rais
Huu utani wa ngumi sasa...Ni kweli huyu ndo Rais bora Duniani, ndio maana juzi katuwekea alicho-sign Zuma kwenye daftari la wageni Ikulu.
View attachment 418558View attachment 418560
Nimefurahishwa nami pia kwa matendo yake mema.Ndiye rais wa kwanza Afrika kutia saini ya mswada wa kupunguza riba huku akiwa anamiliki bank kutoka 24% mpaka 12%-14 %
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri wapinzani wake
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri majirani zake...
Ujenzi wa reli ya kihistoria kutoka Mombasa kwenda Western Kenya ....
Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Mombasa litaenda mpaka south sudani...
Rais wa kwanza Africa aliyekubali kutengeneza tume huru akiwa madarakani bila kupepesa macho....
Rais pekee anayejichanganya na watu wa kila wawe masikini wawe matajiri
Kikubwa zaidi office ya rais nchini Kenya imetangazwa ndio ofisi pekee isiyokuwa na kiwango cha Rushwa iko chini ya 5% hasa Rushwa ya Ajira .
Ndiye pia rais pekee wa Africa ambaye safari za nje alizozifanya ndani ya mwaka huu pekee zitaongeza pato la taifa kwa 27% kwa mwaka mmoja yaani maana yake hakusafiri kwenda kushangaa au kubembea Bali ni kwa faida ya nchi yake !!
Na mengine mengi tu kiukweli nampenda sana kwa Sera zake akiwa ni msomi wa uchumi naona anaitendea haki hii taharuma yetu
Ana mwandiko mbaya ZumaHuu utani wa ngumi sasa...
Zuma hata elimu yake iko na utata.....sijui alikomea darasa la ngapi...Ana mwandiko mbaya Zuma
Mbona kaka mda mrefu madarakani huyu kwani katiba yao inasemaje kuhusu mihula ya marais? kwa sababu najua toka atoke thabo mbeki huyu ndio anaongoza mpaka leo.Zuma hata elimu yake iko na utata.....sijui alikomea darasa la ngapi...
Naona unaongelea nadharia zaidi. Anyway aliunda tume huru ya nini?Ndiye rais wa kwanza Afrika kutia saini ya mswada wa kupunguza riba huku akiwa anamiliki bank kutoka 24% mpaka 12%-14 %
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri wapinzani wake
Ndiye rais wa kwanza Africa ambaye sijawai kumsikia akiwakejeri majirani zake...
Ujenzi wa reli ya kihistoria kutoka Mombasa kwenda Western Kenya ....
Ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Mombasa litaenda mpaka south sudani...
Rais wa kwanza Africa aliyekubali kutengeneza tume huru akiwa madarakani bila kupepesa macho....
Rais pekee anayejichanganya na watu wa kila wawe masikini wawe matajiri
Kikubwa zaidi office ya rais nchini Kenya imetangazwa ndio ofisi pekee isiyokuwa na kiwango cha Rushwa iko chini ya 5% hasa Rushwa ya Ajira .
Ndiye pia rais pekee wa Africa ambaye safari za nje alizozifanya ndani ya mwaka huu pekee zitaongeza pato la taifa kwa 27% kwa mwaka mmoja yaani maana yake hakusafiri kwenda kushangaa au kubembea Bali ni kwa faida ya nchi yake !!
Na mengine mengi tu kiukweli nampenda sana kwa Sera zake akiwa ni msomi wa uchumi naona anaitendea haki hii taharuma yetu