God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
Huyu Rais wa Kenya sina imani nae kwa kweli.
Macho yake mekundu na baadhi ya speech kadhaa namuona kama mtu flani ivi mlevi.
Kuna kipindi alikuwa anasalimiana na Raila Odinga nikahisi huyu jamaa alikuwa amekunywa kidogo maana alikuwa anaongea kwa kuvuta mno na kuyumba.
Ni kweli wakuu au ni mtizamo mbaya?
Macho yake mekundu na baadhi ya speech kadhaa namuona kama mtu flani ivi mlevi.
Kuna kipindi alikuwa anasalimiana na Raila Odinga nikahisi huyu jamaa alikuwa amekunywa kidogo maana alikuwa anaongea kwa kuvuta mno na kuyumba.
Ni kweli wakuu au ni mtizamo mbaya?