#COVID19 Rais ulifanya makosa makubwa kuifanya chanjo kuwa hiari, ulipaswa kukubaliana na Mbowe kuwa chanjo lazima ili tuweze kupambana na Gwajima

Hayo ni maoni yako ndg, wanaopinga nao wana hoja zao hivo kwa vile ni hiari kila mtu aamue mwenyewe,

Tz tuko vizuri tu tena sana, waliojifungia na sisi ambao hatukujifungia hakuna tofauti tena kwao yaweza kuwa worse zaidi,

Rais kasema hili ni kuishi nalo tu hakuna namna
 
Itakua lazima tu hivi karibuni pale utakapo ambiwa huwezi ingia hospitali bila kadi inayo onesha ume chanjwa
Na akitokea mwingine, akasema hauingii nyumbani kwangu bila udhibitisho wa kuonyesha bado haujachanjwa!!! Ninyi pimeni mapendekezo yenu kabla ya kuyaweka hewani. Yaani mnataka kuvuruga amani ya nchi kwa visingizio vya kuchanjwa ama kutochanjwa....!?

Mama ameishasema kuwa chanjo ni hiyari, na serikali imesisitiza hivyo. Ndiyo maana imetoa fomu ya kuiondoa serikali kwenye lawama endapo channjo itakudhuru. Mnataka muambiweje!?
 
Askofu Rashid Gwajima ameishika CCM na Serikali yake pabaya,wamebakia kubweka bweka tu lakini cha kumfanya hawana. Gwajima ana 'watu'.
 
Wala usipate taabu!!!

Taarifa za kitabibu zinasema mtu anakuwa highly protected anapokuwa Fully Vaccinated!! Ukichanjwa mara moja, endelea kuchukua tahadhali hadi pale utakapokuwa full vaccinated.

Cha kuombea ni chanjo kuja kwa wingi, na hao Wanaomsikiliza Gwajima, ambao wengi wao kimsingi wanachofanya ni kulinda legacy ya Magu, achana nao!!
 
Mungu akusamehe sana.You dont know what the "hell" you are dealing with.
Sio miezi mingi sana mtatamani asingechanjwa hata mmoja wetu maana tunaleteana matatizo wote.
Bahati mbaya yatakapotokea mtasema ni sisi tusiochanjwa ndio tunasababisha kumbe ni nyinyi mnaochanjwa mnakwenda kuiletea dunia tatizo kubwa sana.Mmeuvaa mtego!
Ila Mungu mwema.Huenda akaingilia kati BiG PLAN isifike mwisho.
Endeleeni kutuona machizi!Time will tell!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…