Rais wa Afrika ya Kati amfuta kazi Jaji Mkuu aliyekataa kubadili Katiba kuruhusu agombee muhula wa 3

Rais wa Afrika ya Kati amfuta kazi Jaji Mkuu aliyekataa kubadili Katiba kuruhusu agombee muhula wa 3

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1666715542519.png

Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati amemfuta kazi Jaji Mkuu wa Mahakama ya Katiba, Danielle Darlan, na kumuwekea "kizuizi cha kudumu".

Agizo la Faustin Archange Touadera linakuja baada ya jaji huyo mwenye umri wa miaka 70 mwezi uliopita kutupilia mbali ombi la chama tawala la kufanyia marekebisho katiba ili aweze Rais Touadera kuwania muhula wa tatu.

Chama cha upinzani, Kwa Na Kwa, kilisema kimeshangazwa na amri hiyo, na kitaendelea kumtambua kama Mkuu wa Mahakama ya Katiba.

===========================

She was appointed to the post in 2017, and her term was due to end in 2024.

The presidential decree said she would also lose her post at the university in the capital Bangui, where she was teaching.

It did not explain the "permanent impediment".

Mr Touadera, 65, won elections in 2016 and 2020.

Many protests have been held against the court's decision.

BBC
 
Danielle Darlan.jpg
Maamuzi hayo ya Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin Archange Touadera yamefanyika mwezi mmoja tangu Jaji huyo, Danielle Darlan kukataa pendekezo la chama tawala kubadili katiba ili kiongozi huyo awe na nafasi ya kugombea kwa awamu ya tatu.

Danielle (70) aliteuliwa kuwa Jaji mwaka 2017 na alikuwa amalize muda wake 2024, lakini amri ya Rais imeelekeza kuwa atapoteza wadhifa wake katika chuo kikuu katika Mji Mkuu wa Bangui, ambako alikuwa akifundisha.

Rais Touadera (65) aliyewahi kuwa Waziri Mkuu mwaka 2008-2013, ameshinda katik chaguzi mbili za Mwaka 2016 na 2021.


==============

Top judge sacked for 'impediment' by CAR president

The president of the Central African Republic has sacked the head of the constitutional court, Danielle Darlan, for "permanent impediment".

Faustin Archange Touadera decree came after the 70-year-old judge last month threw out a bid by the ruling party to amend the constitution so that he could run for a third term.

The opposition party, Kwa Na Kwa, said it was appalled by the decree, and it would continue to recognise her as the head of the court.

She was appointed to the post in 2017, and her term was due to end in 2024.

The presidential decree said she would also lose her post at the university in the capital Bangui, where she was teaching.

It did not explain the "permanent impediment".

Mr Touadera, 65, won elections in 2016 and 2020.

Many protests have been held against the court's decision.


Source: BBC
 
Kuna watu wataanza kujisema vibaya as Waafrika.

Shida yetu ni mchawi anayeendelea kuturoga. Tuna limnwata la magharini na hatuchomoi hadi tuunde aina yetu ya demokrasia
 
Kuna watu wataanza kujisema vibaya as Waafrika.

Shida yetu ni mchawi anayeendelea kuturoga. Tuna limnwata la magharini na hatuchomoi hadi tuunde aina yetu ya demokrasia
Africa na WaAfrica ni wa hovyo. Linapokuja swala la kufuata utaratibu na maadili.

Tusiwasingizie magharibi kwenye ujinga wetu. Tumeyaona Tanzania spika akikamia kumuongeza mwendazake mihula.
 
Africa na WaAfrica ni wa hovyo. Linapokuja swala la kufuata utaratibu na maadili.

Tusiwasingizie magharibi kwenye ujinga wetu. Tumeyaona Tanzania spika akikamia kumuongeza mwendazake mihula.
Unaambiwa chagua kufa ama kula neema.

Hope umeelewa kauli yangu
 
Shit hole countries, Trump alisema munahitaji kutawaliwa tena, sababu zenyewe ndio hizi
 
Back
Top Bottom