SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kuanzia leo Tati Mkuu tumuite dodoki, sawa!Huyo hua ana akili za kushikiwa,amekaa kama sponji tu,anameza kila kimiminika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia leo Tati Mkuu tumuite dodoki, sawa!Huyo hua ana akili za kushikiwa,amekaa kama sponji tu,anameza kila kimiminika.
Wanaolalamila hapa JF ni wana UTOPOLO watupu!Mbona watu wanashinda bahati nasibu kwenda kuangalia mechi tatu za Kombe la Dunia huko QATAR, na wanalipiwa kila kitu?
Hao al hilal siku zote wana chuki kibwa sana na simba kwasababu simba alishawafanya vibaya sana toka miaka ya nyuma.Rais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.
Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.
Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Mwosha Huoshwa 😝😝Na yalivyo mambumbumbu, hivi yanaweza kwenda eti!!
Lete mzunguuuuuu, hueleweki hoja yako ni nini hapo!Unaonekana ubaguzi unakutesa sana,vipi ingekua aliyetoa hiyo ofa ni Mzungu?
Yanga inashiriki klabu bingwa Africa kwakuwa ndio mabingwa wa nchi na siyo kwa juhudi za Simba, rekebisha hili kwanza kuepuka upotoshaji wa makusudi.Huu mchezo mliuanza wenyewe,, msione wivu, tena mlifanya figisu hizi mkijua kabisa kuww juhudi za Simba zitawafanya mshiriki klabu bingwa Afrika,,
Aanzae mmalize
Mkuki Kwa nguruwe.....
Kunya anye kuku akinya Bata,,,
Mwiko nyuma inawawasha komeni
Wote tunajua juhudi za Simba ndo zimefanikisha ushiriki wenu,Yanga inashiriki klabu bingwa Africa kwakuwa ndio mabingwa wa nchi na siyo kwa juhudi za Simba, rekebisha hili kwanza kuepuka upotoshaji wa makusudi.
Sikulazimishi kuwa na akili.Wote tunajua juhudi za Simba ndo zimefanikisha ushiriki wenu,
Weka uzi wa rais basi tuukagueRais wa Al Hilal amechafua hali ya hewa, hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya leo kutangaza ofa ya kuwagharamia mashabiki wa Simba walioishangili timu yao Jumamosi kwa Mkapa kuwalipia nauli na makazi bure ili waende kuishangilia tena Al Hilal.
Na haya ndiyo majibu ya mashabiki wengi wa Al Hilal, wamepinga vikali pendekezo hilo na kusema hao mashabiki wa Simba hawana mapenzi yoyote na Al Hilal, kinachowasumbua ni uchawi, roho mbaya na kukosa uzalendo tu.
Msinichoshe, nami nisiwachoshe, jionee mwenyewe.
View attachment 2383295View attachment 2383296
Ukiona kua huelewi jambo tambua kua jambo hilo lipo nje ya uwezo wako wa uelewa,umekuja na ID nyingine au umetumwa na niliyemquote?Lete mzunguuuuuu, hueleweki hoja yako ni nini hapo!
Mkuu unateseka sana, pole, tangu ile siku mnabanwa pale taifa nakumbuka ulikimbia wenzako hapa jukwaani ukakosa uzalendo kwa timu yako ambayo hapa unajidai kuitetea, wewe ni askari muoga.Usisahau kwenda kumuaga Mwenyekiti wako wa zamani wa timu yako Mh.Ismail Aden Rage ili akupe baraka zake.
Hawa mashabiki wa simba sijui wana shida gani! Imagine Yanga ni bingwa wa ligi kuu, na pia kombe la shirikisho la Azam!Yanga inashiriki klabu bingwa Africa kwakuwa ndio mabingwa wa nchi na siyo kwa juhudi za Simba, rekebisha hili kwanza kuepuka upotoshaji wa makusudi.
Bibiye mpira wa miguu una ufahamu nao kweli! Au ndiyo upo kwenye hatua ya awali kabisa za kujifunza kuufahamu? Simba ina juhudi zipi hizo za kuiwezesha Yanga kushiriki Klabu Bingwa Afrika?Huu mchezo mliuanza wenyewe,, msione wivu, tena mlifanya figisu hizi mkijua kabisa kuww juhudi za Simba zitawafanya mshiriki klabu bingwa Afrika,,
Aanzae mmalize
Mkuki Kwa nguruwe.....
Kunya anye kuku akinya Bata,,,
Mwiko nyuma inawawasha komeni
Link https://m.facebook.com/story.php?st...Rgw3Z1E51Ee6v6irGPMQ3MRWxl&id=100057801293354Weka uzi wa rais basi tuukague
Iandikwe wapi mkuu ? Yaani uache kujiandaa kushindana usubiri ya imeandikwa kweli mkuu?Wao ata wakibeba mashabiki wote wa simba nchi nzima kama imeandikwa wanaondoshwa kwenye michuano wataondoka tu watake wasitake, Na wasiishie hapo wawalipie na viongozi wa simba wakawape sapoti uko lakini mbungi itapigwa mpaka watashangaa nyie tulieni, Mpaka hapo wanazidi kuchochea morali ya jeshi la wananchi bila wao kujielewa patachimbika
Mnaliaibisha sana taifa nyie ziro point faivuHawa mashabiki wa simba sijui wana shida gani! Imagine Yanga ni bingwa wa ligi kuu, na pia kombe la shirikisho la Azam!
Hivi katika akili ya kawaida tu, inahitaji juhudi zipi kutoka simba ili ishiriki mashindano ya kimataifa?
Daah unazungumzia kabumbu kabisaa...Wote tunajua juhudi za Simba ndo zimefanikisha ushiriki wenu,