Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
KitukuuHahahaha daah! Babu yako huyo pengine mtake radhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KitukuuHahahaha daah! Babu yako huyo pengine mtake radhi
Mh! Unatushangaza sana Bw. Mdogo. Kwa hiyo kwa unavyoelewa wewe mtu akijiuzulu nyadhifa flan basi taswira yake imeshachafuka?? Huo ndio ufahamu wako?? !!ilikuwaje mpaka yeye ndie aonekane tena anafaa wakati taswira yake ni kama ilishachafuka kutokana na kujiuzulu kwake uwaziri wa Mambo ya Ndani.
Mliokula chumvi msaada tafadhali.
... naomba nitofautiane na wewe. Kuna wanaofanya mazoezi kuliko yeye; kuna wanaopata chakula bora na cha asili kuliko yeye lakini "zikifika zimefika". Ni kwa neema tu, yupo hivyo alivyo maana maisha marefu ni kitu ambacho mwanadamu aliyejaliwa hupewa bila kustahili. Na hiyo ndio maana halisi ya neema.Huyu mzee ngoma ngumu sana
Mazoezi, Chakula bora na asili vimemsaidia sana
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ampe maisha marefu yenye heri , Mzee wetu huyu hapendi shari kabisaAli Hassan Mwinyi (amezaliwa 8 Mei 1925) alikuwa Rais wa Pili wa Tanzania kuanzia 1985 hadi 1995.
Aliyemtangulia ni Mwalimu Julius Nyerere, na aliyemfuata ni Benjamin Mkapa.
Pia, Mwinyi alikuwa mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 1990 hadi 1996.
Mzee Mwinyi aliwahi pia kuwa Rais wa Zanzibar, Makamu wa Rais na Waziri wa Mambo ya Ndani.
Wakati wa utawala wake wa mihula miwili, Mwinyi alichukuwa hatua za mwanzo kubadilisha sera za ujamaa za Mwalimu Nyerere. Alilegeza vikwazo vya manunuzi ya nje na kuhamasisha watu kuanzisha biashara.
View attachment 1443335
Picha ya Rais iliyokuwa ikibandikwa katika ofisi wakati wa utawala wake
Ni katika muhula wake wa pili ambapo mfumo wa vyama vingi nchini Tanzania ulianzishwa kufuatia shinikizo kutoka kwa wafadhili wa kigeni.
Akifahamika zaidi kama Mzee Ruksa (Kila kitu ruksa), aliwapa watu ruksa ya kufanya kile wakitakacho pasipo na kuvunja sheria.
Baada ya kustaafu, Mwinyi huonekana kwa nadra hadharani na anaendelea kuishi jijini Dar es Salaam.
Alikuja kukata moto nadhani haijapita miaka miwili, kijana kwao palikuwa manzeseHBP Mwinyi, mwaka jana akizungumzia siri ya maisha yake ni kufurahi, kuto kukasirika, na kufanya mazoezi.
Alisema hata kama kutatokea jambo la kukukasirisha, usiliruhusu, samehe
Hata yule jamaa aliye wahigi kumpiga kibao, alimsamehe pale pale na kuwasisitiza wale jamaa wa usalama wamwache, ila jamaa walimngangania ili tuu kujiridhisha he was real insane and was acting alone na hajatumwa !.
P
Ilikuaje akapigwa kibao? Mwaka gan?HBP Mwinyi, mwaka jana akizungumzia siri ya maisha yake ni kufurahi, kuto kukasirika, na kufanya mazoezi.
Alisema hata kama kutatokea jambo la kukukasirisha, usiliruhusu, samehe
Hata yule jamaa aliye wahigi kumpiga kibao, alimsamehe pale pale na kuwasisitiza wale jamaa wa usalama wamwache, ila jamaa walimngangania ili tuu kujiridhisha he was real insane and was acting alone na hajatumwa !.
P
Take advantage ya utandawazi na the world of information power kwa ku Google tuu,
Hii ya kutokukasirika ngumuu dah,kuna jamaa nimetoka kulifokea muda si mrefu hapa na nimekasirika kinoma.HBP Mwinyi, mwaka jana akizungumzia siri ya maisha yake ni kufurahi, kuto kukasirika, na kufanya mazoezi.
Alisema hata kama kutatokea jambo la kukukasirisha, usiliruhusu, samehe
Hata yule jamaa aliye wahigi kumpiga kibao, alimsamehe pale pale na kuwasisitiza wale jamaa wa usalama wamwache, ila jamaa walimngangania ili tuu kujiridhisha he was real insane and was acting alone na hajatumwa !.
P
Yule jamaa japo alisamehewa ila alifungwa.HBP Mwinyi, mwaka jana akizungumzia siri ya maisha yake ni kufurahi, kuto kukasirika, na kufanya mazoezi.
Alisema hata kama kutatokea jambo la kukukasirisha, usiliruhusu, samehe
Hata yule jamaa aliye wahigi kumpiga kibao, alimsamehe pale pale na kuwasisitiza wale jamaa wa usalama wamwache, ila jamaa walimngangania ili tuu kujiridhisha he was real insane and was acting alone na hajatumwa !.
P
Alishamaliza kifungo chake piaYule jamaa japo alisamehewa ila alifungwa.
Unadhani kwanini hawa viongozi wetu wa siku hizi wanaogopa kujiuzulu?Mh! Unatushangaza sana Bw. Mdogo. Kwa hiyo kwa unavyoelewa wewe mtu akijiuzulu nyadhifa flan basi taswira yake imeshachafuka?? Huo ndio ufahamu wako?? !!
Unamaanisha hajawahi kutuita "Malofa?" au enzi zake hajawahi kutishia kuwatandika "Shangazi zetu?"Hongera sana Mzee mwinyi ,siku zote ukiwa na huruma na wenzako kama kiongozi utaishi maisha marefu maana Dua za heri zinakuwa nyingi.
Nakiri sijawahi kumsikia Mzee Mwinyi akiwadharau wananchi wake. Big up zako Mzee mwinyi.
Muwe mnakumbuka kumpa Mungu heshima na utukufu.Huyu mzee ngoma ngumu sana
Mazoezi, Chakula bora na asili vimemsaidia sana
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app