Rais wa Bolivia ajiuzulu na kutanganza uchaguzi mpya kutokana na machafuko nchini humo

Rais wa Bolivia ajiuzulu na kutanganza uchaguzi mpya kutokana na machafuko nchini humo

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
November 10, 2019
La Paz, Bolivia
Jeshi lamlazimisha Rais kujiuzulu Bolivia
Rais wa Bolivia Mhe. camarade Evo Morales ameachia ngazi bila kutegemea leo jumapili na kutangaza kujiuzulu kufuatia mbinyo wa kisiasa baada ya kudai kuwa ameshinda uchaguzi kwa kipindi cha nne, uchaguzi na matokeo yake yalipingwa sana na vyama na wananchi wa Bolivia.

Hatua hiyo ya 'kujiuzulu' Rais Evo Morales ilikuja ndani ya saa moja leo jumapili baada ya mkuu wa majeshi wa Bolivia, Jenerali Williams Kaliman kuonekana ktk televisheni akimtaka Rais Evo Morales kujiuzulu ili kuiepusha nchi hiyo na mabalaa ya maandamano na uvunjifu wa amani.

Source: 24horas.cl
Kabla ya hatua hiyo ya kujiuzulu Rais Evo Morales wa Bolivia alikubali kuwa uchaguzi ambao alidai ameshinda na baadaye matokeo yake kupingwa kwa maandamano makubwa yasiyoisha ya wananchi .urudiwe tena.

Rais huyo kukubali uchaguzi urudiwe ulikuja baada ripoti ya Jumuiya ya nchi za bara la Marekani ( the Organization of American States) kuainisha mapungufu makubwa ktk mchakato mzima wa upigaji na uhesabu kura na uchaguzi uliomtangaza Rais Evo Morales ushindi mwezi Oktoba 2019 ambao ulipigiwa makelele ya kupinga matokeo.

Lakini kutokana na jeshi pia kuingilia pingamizi la wananchi, Rais Evo Morales yaliyehudumu toka mwaka 2006 hadi leo 10.Nov 2019 imebidi ajiengue kutoka madarakani kwa kujiuzulu nafasi yake ya urais bila kusubiri marudio ya uchaguzi.

Bolivian president resigns following demand by country’s top general
By Bruce Golding
November 10, 2019 | 4:57pm


Bolivian President Evo Morales

Bolivian President Evo MoralesAP
Bolivian President Evo Morales unexpectedly announced his resignation on Sunday amid mounting controversy over his claim to have won a fourth term in a hotly disputed election last month.

The unexpected move came during a day of fast-moving political developments in the South American nation, which has been rocked by deadly protests since voting took place on Oct. 20, The Associated Press reported.

Little more than an hour before Morales’ announcement, Bolivia’s military chief, Gen. Williams Kaliman, appeared on national television and publicly called on him to quit and spare the country further turmoil.

Earlier in the day, Morales had agreed to hold a new election after a preliminary report by the Organization of American States cited a “heap of observed irregularities” during the voting.

That allegation led the head of Bolivia’s Supreme Electoral Tribunal, María Eugenia Choque, to announce she was stepping down.
 
November 10, 2019
La Paz, Bolivia

Shangwe na nderemo mitaani baada ya Rais kujiuzulu
Wakaazi wakijtokeza huku wakipeperusha bendera na kuwasha fashifashi ktk maeneo mbalimbali nchini Bolivia wakishangilia baada ya Rais Evo Morales kujiuzulu
10 Nov 2019
Ciudadanos de Bolivia salieron a las calles para celebrar la renuncia de Evo Morales como presidente


Source: Noticieros Televisa
 
Wachunguzi wa Kimataifa waliokuwa wakichunguza Uchaguzi ulifanyika Nchini humo jana walitengua matokeo yaliyomtangaza Rais Evo Morales mshindi wakisema kulikuwa na udanganyifu katika upigaji kuwa wa Oktoba 20

Morales alikubaliana na Uchunguzi huo na kutangaza uchaguzi mwingine mpya ikiwa ni baada ya kuivunja Tume ya Uchaguzi wa Nchi hiyo huku akiwataka Wananchi kuacha vurugu na kuharibu mali hovyo

Rais huyo amenukuliwa akisema kwamba ameamua kuitisha uchaguzi mwengine ili Wananchi wa Bolivia waweze kuchagua Serikali mpya kwa njia ya kidemokrasia

Kwa wiki kadhaa Bolivia imeshuhudia machafuko na ghasia dhidi ya madai ya udanganyifu katika uchaguzi wa Oktoba 20 ambapo Watu watatu wameuawa na zaidi ya 300 kujeruhiwa

Matokeo ya uchaguzi uliopita yalimpa ushindi Morales kwa asilimia 10 dhidi ya mpinzani wake Carlos Mesa na kusababisha upande wa upinzani kuishutumu Serikali kwa udanganyifu.
***

Bolivian President Evo Morales has resigned amid turmoil following his disputed re-election last month.

On Sunday, international monitors called for the election result to be annulled, saying they had found "clear manipulations" of the 20 October poll.

Mr Morales agreed with the findings and announced his intention to call fresh elections - after overhauling the country's election body.

But politicians - and the army and police chiefs - had urged him to quit.

Some of his allies were attacked earlier this week, and said their homes had been set alight.

In a televised address, Mr Morales said he would resign as president, and urged protesters to "stop attacking the brothers and sisters, stop burning and attacking".
 
Meko nae ajiuzulu aone kama watu watalia au kushangilia

Tena hii Ni nzuri Sana....Gamael Nasser wa Misri alijiuzuli mara mbili na Mara zote alirudishwa na wananchi .....

Alivyoona jinsi anapendwa na watu wake ndio aka-cement udikteta wake...

So, Kama mtu anajiona anapendwa then ajiuzulu kinafki huku akisikilizia watu watasemaje.....Halafu ukirudishwa ndio ntolee....
 
Tena hii Ni nzuri Sana....Gamael Nasser wa Misri alijiuzuli mara mbili na Mara zote alirudishwa na wananchi .....

Alivyoona jinsi anapendwa na watu wake ndio aka-cement udikteta wake...

So, Kama mtu anajiona anapendwa then ajiuzulu kinafki huku akisikilizia watu watasemaje.....Halafu ukirudishwa ndio ntolee....
Umesahau ile ya kuzushiwa kifo reaction yake ilivyokuwa?kuna jamaa yangu alishanunua Kreti ya Bia
 
Kumekucha, Nchini Bolivia jeshi la ulinzi lamlazimisha Rais Morales ajiuzulu, likidai hakushinda uchaguzi wa majuzi na alibatilisha matokeo.

Hayo yanajiri huku maandamano yakitawala Jiji kuu La Paz na Miji mingine huku wafuasi wa pande mbili wakipigana.
 
Hali ni hatari, watu hawaamini utulivu ulivyojongea kwa kasi.

Lakini nikumbushe alipo US hakutokuwa na amani.
 
October 11, 2019
La Paz, Bolivia

Mafanikio ya ktk awamu za utawala wa Rais Evo Morales zilizopelekea anguko lake

Miundo mbinu aliyoyenga Evo Morales kuibadilisha miji ya Bolivia katika utawala wake wa kuanzia 2006 mpaka jana November 11, 2019 haikumwezesha kubaki madarakani kwa mbinu za kuchakachua uchaguzi uliofanyika mwezi October 2019.

Miundombinu kama viberege vya kutumia cable vya juu kwa juu kutokana na jiji la La Paz, Bolivia lilopo mita zaidi ya 4,000 toka usawa wa bahari na milima na vilima vilivyosababisha changamoto ya usafiri anbayo Rais Evo Morales aliona ni vibaumbele vya kuvitatua.

Mabadiliko ya miundo mbinu yaonekanayo kwa macho na 'uchumi kupaa' vyote havikuweza kumnusuru Rais Evo Morales na chama chake kuendelea kubaki madarakani kutokana na nguvu ya upinzani toka kwa wananchi wa kawaida yaani nguvu ya umma.

Kote upitapo ktk Jiji la La Paz mji mkuu wa Bolivia ulikuwa unasikia uzalendo na mafanikio ya Rais Evo Morales ktk kutetea uzawa na kulinda desturi za utamaduni wa ki-Bolivia.

Lakini pamoja na juhudi zote za Rais Evo Morales kuipigania nchi yake cha ajabu kuna kundi kubwa la wana Bolivia wasioridhika na mafanikio ya awamu yake ya uongozi ktk kupigania maendeleo.

Makundi ya wapinzani yakiwemo wanafunzi wa elimu ya juu na wakulima mashambani wa zao la majani ya coca pia pamoja na kufaidika na 'maendeleo' anayoleta Rais Evo Morales lakini hawaridhishwi na mfumo wautawala wa Rais Evo Morales.

Makamu wa Rais Alvaro Garcia Linera ktk serikali ya Evo Morales anasema, hashangazwi na hali hiyo maana kupitia maendeleo unazalisha kundi kubwa la wenye uchumi wa kati na ni hao hao baada ya muda huchoshwa na utawala na hivyo ingawa wapo karibu nacserikali lakini ndiyo wanaoongoza vuguvugu la upinzani na wengi wao hutokana na chama tawala hicho hicho kinacho ongoza nchi chini ya Rais Evo Morales.
Cochabamba por brindarnos seguridad y cuidado.

Ver imagen en Twitter
Picha: Mzalendo Rais Evo Morales akionesha haiba ya alipotokea ktk 'unyonge na umasikini'

Pia Rais mzalendo Evo Morales amekuwa kinara ktk kuongoza kuhakikisha makampuni ya nchi beberu yanayomiliki migodi na vyanzo vya kuzalisha nishati muhimu kwa ukuzi wa uchumi wa nchi mikataba yao inaputiwa upya na pale kunapokosekana maridhiano baina ya kampuni hizo beberu na serikali ya wanyonge, basi uwekezaji huo wa makampuni ya nje hutaifishwa kwa manufaa ya nchi ya Boliviaa.

Sababu kuu la vuguvugu la mabadiiko kupamba moto ni matumaini waliyopewa wakati Rais Evo Morales anachukua madaraka yanakuwa yamefikia kikomo na hawaoni tena muendelezo, kwa kifupi wanaona serikali na chama tawala wameishiwa pumzi ya kisiasa na sera kugota ukomo hivyo hawaoni tena kama tuna(serikali/chama tawaka) utashi (legitimacy) ya kuendelea kutawala.

Pamoja na upinzani huo bado kuna maeneo machache wananchi walipoona serikali imewapendelea kwa kuwapa kipaumbele kwa kuwekeza ujenzi mkubwa, vituo vya afya, viwanja vya kimichezo, mitambo ya kuzalisha umeme n.k hasahasa maeneo masikini yanayofanana na alipozaliwa Evo Morales unakuta mashabiki wakubwa wa kisiasa juu ya juhudi za Rais kuwakumbuka kwa kuwapekekea 'maendeleo'.

Makada hao wa chama cha Evo Morales kila mara bila kuchoka hukumbushia pia wanahubiri maendeleo makubwa ya vitu yaliyopatikana ktk utawala wake wa miaka 13 wakipata nafasi kuongea na wananchi na kutumia maendeleo ya vitu kama mtaji wa kisiasa kuelekea katika chaguzi za mwishoni mwa Oktoba 2019.

Rais Evo Morales waliwatia moyo vijana kusoma masomo ya elimu ya juu kuhusu migodi, mafuta na gesi pamoja na lugha ya kigeni ya Kiingereza ili waweze kutoa ushindani ktk kupata ajira ktk sekta hizo zenye wabia wa maendeleo wakigeni nchini Bolivia.

Hata hivyo siasa za kibabe za Evo Morales ktk kutimiza miradi ya vitu kama kuhamisha watu kwa nguvu kupisha ujenzi mabarabara n.k kulizua upinzani hata maeneo ya vijijini na kusababisha maandamano yaliyozimwa na vikosi vya usalama vilivyotumia nguvu kubwa kupita kiasi na kusababisha maafa hivyo kuchochea upinzani dhidi ya Evo Morales. Mbali ya hilo pia pamoja na wananchi kugoma mihula ya kuongoza nafasi ya Urais isiongezwe, Rais Evo Morales alikimbilia Mahakama ya Juu kupinga kunyimwa 'haki yake ya kibinadamu' kuongoza bila kikomo na kupewa ushindi ktk kesi kisa labda ashindwe kupita sanduku la kura ndiyo anaweza kuachia urais.

Matukio ya ubabe yaliwagusa na kuwatibua hata wale waliopo ndani ya serikali na chama tawala cha Evo Morales na upinzani wa ndani kwa ndani na ule wa kutoka kambi ya upinzani kushika kasi.

Wabobezi wa siasa za Evo Morales wanasema kufikia hapo wakatambua mageuzi anayotaka Evo Morales yanafuata njia isiyo sahihi. Mbaya zaidi badala ya kujisahihisha, Evo Morales na kikundi cha watu wachache wateule wake wakaanza kujihamia kwa gharama yoyote ilikubaki madarakani.

Makamu wa Rais Alvaro Garcias Linera anahitimisha kwa kusema mapinduzi kupitia vuguvugu la kupinga serikali inayofanya juhudi za maendeleo ya vitu ni aina ya mapinduzi mapya yasiyozuilika na serikali za karne hii inatakiwa kujifunza kufanya maendeleo ya watu pia yaende sambamba na agenda ya maendeleo
Source: France 24 English

9 Nov 2019
Police guarding the presidential palace in Bolivia have abandoned their posts, in the latest blow to President Evo Morales as he tries to calm weeks of unrest. At least three people have been killed in protests focused on allegations of fraud in the October 20th election. Police in several cities have now joined the marchers.

Source: CGTN English
 
Mleta thread unamuwashia indiketa jiwe letu
 
Back
Top Bottom