Rais wa Brazil, Lula da Silva amewashtukia wachezaji wao wanaocheza Ulaya, hawataki kabisaa kwenye timu yake. Hawapambani kivileee kama kwenye timu zao.
Mchezaji kama Saidun, Sulemani Mwalimu, Waziri jr, Kibabage, Balua, Mzize, Kibwana, Kihimbwa, Andabwile unawaona kabisa wanavyopambana wakiwa uwanjani (do or die) lakini looo!!
Hujui mpira wewe, unabwabwaja tu
Congo DR wapo bora sana kwasbb kikosi chao kati ya wachezaji 24 ni wawili tu wanacheza ligi za África,, Inonga na Mayele (anayeanziaga benchi mechi nyingi) waliobaki 22 wote wanacheza Ulaya na Asia , quality ya wachezaji ipo juu kuliko sisi
Ukiangalia mataifa kama Nigeria, Senegal, Ivory Coast, Morroco, Cameroon wanatamba África ktk michuano ya Afcon na FIFA kwasbb wanabebwa na quality ya players wanaocheza Vilabu vya Ulaya
Huko wanapata exposure kubwa sana ya kiushindani, tough games, quality technical Managers (makocha) nk
Sisi Tz hawa local players wetu hata wajitume vp National team Kamwe hatuwezi kuja kutamba África kwa kutegemea wachezaji wetu wanaocheza ligi ya ndani África tena wengi NBCPL kwasbb ubora wa ligi yetu ipo chini kulinganisha na mataifa ya Ulaya, América na Asia
Angalia mpishano wa quality ktk hizi Sub mechi ya jana
Sub za Congo Dr
Meshack Elia (Young Boys fc, Switzerland)
Nathaniel Mbuku ( Dynamo Zagreb, Croatia)
Sadiki (Royale Unión, Belgium)
Mayele ( Pyramids, Egypt)
Sub Starz
Mwamnyeto (Yanga, anakaa benchi)
Selemani Mwalimu (Fountain Gate)
Himid ( El Gaish, Egypt)
Wakati huo huo Starz tumeacha Mapro wetu wengi wanaocheza ulaya & Asia: Kwesi Kawawa, Morrice Abraham, Charles Mmombwa, Msuva, Nova, Baraka Majogoro, Haji Mnoga nk