Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

Nimesikia captain Traole anakija Tanzania kwenye hafla ya mapinduzi ya nishati safi.

Ushauri wang: Asiruhisiwe kukanyaga hapa kwetu
 
Nimesikia captain Traole anakija Tanzania kwenye hafla ya mapinduzi ya nishati safi.

Ushauri wang: Asiruhisiwe kukanyaga hapa kwetu
asiruhusiwe kivipi wakati ni kiongozi wa nchi? Aje tu, regardless uongozi wake ulipatikane
 
Karibu Tanzania. Tumpe na nafasi ya kuhutubia Taifa hasa vyombo vyetu vya ulinzi.
 
Tafadhari mkuu, na kiti chake kiwe cha mbele kabisa aisee
 
Nguvu na ushawishi wa KiDiplomasia wa Rais Samia inazidi kuheshimishwa Kimataifa
 
Hivi JW hatuna vijana wazalendo wenye maono kama huyu Ibrahim Traore wakatuondolea haya manyang'au ya kijani yanayouza rasilimali zetu kwa mabeberu? Limebarikiwa tumbo lililombeba huyu mwamba. Sisi vijana wetu wako kuwashangilia majizi ya CCM vijana kama Lucas Mwashambwa ni hasara kwa Taifa.
 
Unafahamu GDP ya Burkina Faso ni $20billion tu?!
Ni ujinga na kujidanganya kufikiria kuna wawekezaji wa maana huko nje wanafuatilia habari za Traore kama Waafrica wa aina yako. Burkina Faso inajulikana zaidi kwa habari za Ugaidi huko nje, zaidi ya hapo ni nchi ya wakulima waganga njaa kwa 80%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…